Vingilio baadhi ya BAR umekuwa ni Ushamba

Vingilio baadhi ya BAR umekuwa ni Ushamba

Wakuu Salam sana,

Nipo Moro town, nikaona siyo mbaya nikafungue mwaka wakati napata vyombo murua.
Kichwani mwangu nikafukiria Samaki Samaki, Star Park na Eli's Pub.

Sasa nimeenda Star park nakuta kingilio ni Bia 2 mlangoni, nikasepa, Samaki Samaki nakuta pamejaa afu pako wazi na Kuna manyunyu, nikaenda Eli's Pub nikakuta pako poa sana space bado ipo ndo nipo now.

Ila Star Park wamenikera, kwa zama hizi bado tunaweka vingilio mlangoni lazima, mfano mim sinywi Bia nakunywa pombe Kali why unilazimishe ninunue hizo Bia zako.

Kiufupi hii imenikera na sijaipenda.
90% wanakunywa bia
Kibiashara hio iko poa sana ila Kwa wasiokunywa walitakiwa kuweka alternative method
 
Wakuu Salam sana,

Nipo Moro town, nikaona siyo mbaya nikafungue mwaka wakati napata vyombo murua.
Kichwani mwangu nikafukiria Samaki Samaki, Star Park na Eli's Pub.

Sasa nimeenda Star park nakuta kingilio ni Bia 2 mlangoni, nikasepa, Samaki Samaki nakuta pamejaa afu pako wazi na Kuna manyunyu, nikaenda Eli's Pub nikakuta pako poa sana space bado ipo ndo nipo now.

Ila Star Park wamenikera, kwa zama hizi bado tunaweka vingilio mlangoni lazima, mfano mim sinywi Bia nakunywa pombe Kali why unilazimishe ninunue hizo Bia zako.

Kiufupi hii imenikera na sijaipenda.
Hao nao biashara hawaijui inatakiwa upewe kuponi ukizama ndan ndio unaamua utumie kuponi kunywa bia au maji au iyo konyagi yako
 
Eti ya kuingia hapo Bar sio Club kumbukaa..😆😆
Sasa kwa mfano umetoka nje labda kwenda kutoa pesa napo ukirudi utalipia tena Maana wanaweza wasikukumbuke.
 
Back
Top Bottom