Vingilio baadhi ya BAR umekuwa ni Ushamba

Mkuu tapel na Mzugaji elf tano ni ndogo atalipia tu tofauti pasipo wekwa kiingilio na tapeli akiingia akiagiza Maji tena maji dogo anauziwa elf tatu na Bia local elf Saba, akijaribu kuagiza chips na mchikaka anakuta bei elf kumi na tano. Na akijaribu kuagiza konywagi ndogo anakuta inauzwa bei kubwa mara mbili ya bei ya kawaida nakuakikisha ataondoka Masaa siyo mengi na atakuja kutoa huzi hapa matapel wenzake watajua. Biashara ukishaiweka kwenye Daraja la kwanza Nakuakikushia masikini na matapeli wazugaji wataipitia mbali
Nilishawai kuishi Zanzibar, kule Zanzibar kuna Hoteli Nyingi mno kwa Tanzania Zanzibar ndiyo sehemu inayoongoza kwa Hoteli Nyingi na Restaurants pamoja na Bar ndani ya hotel.lakini huwezi kukuta tapeli na Masikini kaenda kula na kunywa na kuogolea kwasababu vitu bei Ghari mfano ice cream tu inauzwa elf 8 tena unapimiwa kwenye kikopo ukubwa wa kikombe cha wauza kahawa. Ndiyo Maana Wananchi wanaishi Kule sehemu za kula Bata wanazipita kama Kambi za jeshi, yani Wananchi wakitaka kwenda Beach siku ya sikuku wanabeba vyakula vyao pamoja na vinywaji ili wakatumie, Tofauti na Tanganyika kukuta familia inatoka Out wanabeba ndoo za pilaf na Soda na maji lakini Zanzibar ni kitu cha kawaida kwasababu huduma za starehe ni Ghari mno.
 
Nimeenda wavuvi nafika getini nakuta kiingilio 30k nalipa sema viingilio kma hvyo vinaleta standard sehemu husika some how nilienjoi coz nlikutana na watu classic kidogo hapakuwa na uswahili
 
Ishu ni spending aisee elewa sio utapeli, watu wanajaa lakini hawanunui, so kiingilio ni namna ya kuwaforce wote wanaokuja kuspend kwa minimum amount iliyowekwa. Sijaongelea mahali utapeli mimi. Wewe mgumu kuelewa hii mada. Na ujue sehemu hadi wanaweka kiingilio manake pametengezwa pana vibe na watu wanakuja kwa wingi. Ukizubaa utawapa watu vibe ila mauzo kwa cashier wako hayaendani na nyomi la watu.
 
Ungenunua hiyo pombe kali unayokunywa badala ya beer.
 
Ujue hata wapenzi wa mipira kwenye mabaa hawapendwi kwa sababu sio spenders, wao ni wazee wa free ama maji, wakijitahidi sana ni soda. Sasa wenye baa pia wengine huandaa eneo maalum la wa mpira na kuwatoza labda vinywaji vya kiasi kadhaa.
 
Biashara ni watu tena wanatakiwa waje kwa wingi, ili waje kwa wingi lazima kuwe na vivutio, pia tukumbuke kupata mrejesho toka kwa wateja ili tuboreshe biashara zetu
 
Uliwaambia badala ya Bia wakupe hizo Pombe unazokunywa wewe wakakataa ?
 
Huenda kulikuwa na event maalum zinazodhaniwa na makampuni ya bia, kama ni hivyo kiingilio huwa ni bia wanayoifanyia promosheni. Hapo huwezi kubadilisha na kinywaji kingine sababu nao lengo ni kupush bia husika
Yes, inawezekana mkuu
 
Zanzibar maji lita 1 ni Tsh 5000, elfu tano 🤣
 
Zanzibar maji lita 1 ni Tsh 5000, elfu tano 🤣
Ndiyo Maana Wazanzibar wanawaachia wageni mambo ya starehe, Wao Wazanzibar wakitaka kutoka siku za sikuku ni kwenda public Beach na pilau lao kutoka Nyumbani wana beba kwenye ndoo na Maji na soda na saani wanaenda kufurahia sikuku, Tofauti na huku Tanganyika mke na watoto uwabebeshe Chakula kwenye ndoo na saani na maji kwenda Coco Beach sizani kama huyo mke na watoto watakubali.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna Bar flani pale kimara nilienda eti kiingilio 5k alafu hakuna kitu unapewa?? Bora wew ulipewa bia, nikupe kiingilio kwa ajili ya kutumia hela zangu🤣🤣🤣
 
Tafta ela, mlevi halalamiki...



...Ni Hayo Tu!!!
 
Kuna Bar flani pale kimara nilienda eti kiingilio 5k alafu hakuna kitu unapewa?? Bora wew ulipewa bia, nikupe kiingilio kwa ajili ya kutumia hela zangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Je km kulikua na muhudumu wa kumla kimasikhara?
Ulijuajee? Ulikosaa bahatii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna Bar flani pale kimara nilienda eti kiingilio 5k alafu hakuna kitu unapewa?? Bora wew ulipewa bia, nikupe kiingilio kwa ajili ya kutumia hela zangu🤣🤣🤣
Mkuu hukuuliza elf tano kwaajili ya kulipia huduma gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…