fortis fortuna adiuvat
Senior Member
- Jan 20, 2016
- 154
- 278
yaaah ... kabsa kuna wakongomani kibao kule franceWafaransa wana ahueni kwanza timu zao zimejaa blacks...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaaah ... kabsa kuna wakongomani kibao kule franceWafaransa wana ahueni kwanza timu zao zimejaa blacks...
Kwa sasa duniani hakuna winga kama Vini Jr. Si mshabiki sana wa Mpira ila huwa naangalia mara moja moja. Jamaa anaweza sana na hiyo ni mbinu ya kumtoa mchezoni.na kwanini awe yeye tu? Real Madrid kuna wachezaji weusi wangapi? mbona hakuna mwengine aliyefanyiwa hayo maudhi?
Kwa sasa duniani hakuna winga kama Vini Jr. Si mshabiki sana wa Mpira ila huwa naangalia mara moja moja. Jamaa anaweza sana na hiyo ni mbinu ya kumtoa mchezoni.
Jibu ni rahisi sana kwa sababu vin ndiye key player wa Madrid kwa sasa magoli mengi yanatokea kwake...hao waliokuwa wanaomuita nyani walikuwa wanafanya ivo makusudi ili kumtoa mchezoniLa Liga wajitafakari, watu wanasema kwanini kila siku Vini tu na sio weusi wengine. Hapohapo wajiulize kwanini haya matukio hayamtokei kwenye mechi za UEFA?!
Acha kutetea wazungu chief...dogo anajua mpaka anakera ndio maana wanamzomea na kumuita majina ya kiubaguzi ili kumtoa mchezoniMimi ni shabiki wa RMA ila Vini kazingua sana kwani mweusi alikua peke yake uwanjani? yule dogo ana mambo mengi yasiyo na faida huwezi kucheza kwenye pitch akili zipo jukwaani ! atulize akili acheze mpira ubaguzi siku hizi umepungua sana Italy na Germany ndio kulikua makao makuu ya ubaguzi lakini siku hizi hatusikii matukio .
Acha kujustfy ubaguzi chiefHivi ubaguzi unawezaje kuumiza mtu ?
Katika watu ambao wanakuwaga i don't care ni Mimi
Nimewahi kufanya kazi sehemu ambayo kulikuwa ubaguzi wa rangi wafanyakazi wenzangu walikuwa wana nitukana kila kukicha Wala sikuchukuwa mda Wangu kuwajibu Wala kuumizwa Na wanacho kisema nilipambana Na kazi yangu mpaka ikafika hatua wenyewe wakachoka Zao
Kwa hiyo Kuna mda chukulia ni kawaida tu wewe angalia malengo Yako tu wakutukane wanavyo jua wewe pambana tu hata sisi waafrika tunabaguana sisi kwa sisi Hakuna sehemu ambayo Kuna kosa ubaguzi duniani
Hao uliowataja sio washambuliaji wasumbufu km vin ...kinachomgharim vin ni kwa sababu anajua sana kulisakata kabumbuIla tatizo ni mdomo wake, kwanini Rodrigo, Rudiger hawajawahi kutwa na hiyo kadhia?
Vini bado ana utoto na ubishi usio na sababu na ndo maana kila mechi lazima aliwe kadi.
Mi shabiki wa Madrid ila dogo huwa anazingua na ndo maana marefa humdunga kadi.
Mkoloni nafuu😂😂😂Mwingireza atabaki mkoloni nafuu kuliko wengine,Hana ujinga ujinga kama wa wafaransa na kenge wenzake
Hata man city Ina wachezaji weusi wawili tuHispania kiujumla ni wabaguzi wa rangi kuliko Taifa lolote duniani.
Ndiyomaana hata nami huwa nashangaa Watu wanaojipendekeza kwa Pep Kiparangoto, lina ubaguzi kupita maelezo na lilibaguaga akina Samuel E'too na Yaya Toure.
2019 lilihamasishaga ubaguzi wa ile Catalonia kipindi kile wanataka wajitenge na nchi ya Hispania wakiamini wao ni sayari nyingine kabisa kwa utajiri wa rasilimali zao za madini na wingi wa Wachezaji bora wakidai bila wao basi Hispania haiwezi kuendelea kabisa kifedha.
Pep Kiparangoto lilisapoti huo upumbavu lilipigwa faini na FA maana kwa sheria za UK Kocha hatakiwi kujihusisha kivyovyote na maswala ya kisiasa.
Weka wewe kwa Swahili utapanda cheo kazini!!!Kwamba hilo"inferiority complex" halina kiswahili chake au ?
Pep ndo kaharibu ndoto za Sterlingniambie wachezaji walikuwepo kabla ya pep aliyebaki ni kdb tu sterling hakusajiliwa na pep ko ni haki yake kumtoa au laa mbona husemi mane kaharibiwa ndoto na klopp
Mmmmh wapiiii?? Pep hujuma zake tyuuhHakuwa na jipya katu cost mno anakosa sana magoal