Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kushindana na washabiki jina lako linatakiwa liwe hivyo ni halali kabisaUnateseka sana nikiwa hamnazo?
Neymar pia amewahi kufanyiwa ubaguzi? Mbona mm naona kama yeye sio blackHuo mdomo anao La Liga tu? Etoo na Neymar nao walikuwa na mdomo?!
Ukiwaangalia Neymar na Dani Alves unaona utofauti? Neymar ni black lakini anajitahidi kuukataa. Mi naona sawa tu. Ublack ni mkosi, laana, mazingaombwe, uchawi yaani ukenge.Neymar pia amewahi kufanyiwa ubaguzi? Mbona mm naona kama yeye sio black
Moja ya malalamiko ya kipuuzi kabisaa ya watu weusi. Watu weusi sijui tuna tatizo gani na kujiamini kwetu. Hivi hapa Tanzania kuna wahindi wangapi, wazungu wangapi, waaràbu wangapi, wachina nk. Hivi unadhani hawabaguliwi? Hawasemwi vibaya na watanzania na wao wanajua!? Lkn hao wenzetu kwa sababu kujiamini kwao ni kwa kiwango juu na Wana manamatumizi mazuri ya akili, huwezi kukuta popote wakilalamika kuhusu kubaguliwa kwa rangi zao. Waafrika tunaficha ujinga wetu kwa kujifanya hatuna ubaguzi..! Sisi tuna ubaguzi pengine mara 1000 kulinganisha na wao iwe kazini au popote pale. Mfano mzuri ni yule mchezaji mserbia wa Simba aliyekuja hapa mwaka Jana kuchezea Simba, alifanyiwa kila aina ya bullying..na alikuwa anajuaa! Lkn kwa sababu wao wanatumia vizuri akili, anajua akilisema hilo litaonyesha uhalisia..! Waafrica akitupiwa ganda la ndizi anasema amefafananishwa na nyani, kwa hiyo ukifanananishwa na nyani ndo inakuwaje unakuwa nyani ama!? Au inakupunguzia nn mpaka ulalamike!? Halafu ukilalamika yule aliyekufanyia akapigwa faini wewe utakuwa hufanani na nyani au utakuwa umeongeza tu wigo na wengine wajue wewe ni nyani kamili!? Na wazungu walivyo washenzi wanajifanya Hadi kuweka sheria za kupinga ubaguzi ..ni ujuha mtupu! Sheria hizo zinawafanya nyie wenyewe muendelee kujiona ni wa tofauti na malengo yao yanatimia. Acheni huu ujinga wa kulalamikia vitu ambavyo kiuhalisia havipo! Kule Africa kusini hakuna watu wabaguzi km watu weusi, lkn makaburu huwaoni popote wakilalamika. Matokeo yake haohao weusi wanabaguana wenyewe kwa kuwaita wengine wakuja. Tuna Mambo ya kipuuzi Sana ngozi nyeusi...
Watu wakipishana kauli mnakimbilia kwenye ubaguzi wa rangi
Najua angekua mwanangu Ramos, PEPE na Casemiro hao wajinga wasingekuwa wanamchezea huyo dogo VIN , kapten benzema ugomvi unatokea hana hata habari View attachment 2631374
Dogo ana maudhi kwa mashabiki wa upinzani,
La Ligq ina wachezaji wengi weusi, hapo Madrid kwenyewe kuna wachezaji kama 7 weusi wanaocheza mara kwa mara ila husikii wakibaguliwa
Yupo kama Baloteli
View attachment 2630958
Hawa wanaonbea hawajui management ikoje. U have to be ruthless kwenye maamuzi yako. Bora usacrifice mtu mmoja ili kulinda timuKama mchezaji hakidhi vigezo vyako ndo unakua umemzima ndoto zake? mbona husemi cancelo, zinchenko, nao wamezimiwa ndoto? pep na conte ukimzingua kidogo hata ukiwa na jina utapigwa benchi mpaka uombe uhamisho
Kwamba hilo"inferiority complex" halina kiswahili chake au ?"Waafrika tuache inferiority complex, hiyo tabia ya kucheza cheza akifunga, kujiangusha, kulia Lia na refa ndio inasababisha azomewe. Hiyo fact alipewa na "Koke" ila akaishia kuitwa mbaguzi."
Pamoja na yote Ila dogo jana hakutendewa haki kabla ya kupewa umeme kuna tukio alifanyiwa..
Sio kwamba alionyeshwa vitendo vya kibaguzi na mashabiki wa RMA?Vini kwa sasa ni winger bora kabisa dunian... Kwa hiyo timu pinzani zinapocheza na Madrid wanajitaid kumtoa mchezoni ili wapate matokeo
Amefanyiwa ubaguzi Roberto Carlos sembuse Neymar.Neymar pia amewahi kufanyiwa ubaguzi? Mbona mm naona kama yeye sio black
Hayo maudhi mbona UEFA hatuyasikii. Kaenda Anfield hajazomewa kaenda Etihad hajazomewa kwanini La Liga tu?!Dogo ana maudhi kwa mashabiki wa upinzani,
La Ligq ina wachezaji wengi weusi, hapo Madrid kwenyewe kuna wachezaji kama 7 weusi wanaocheza mara kwa mara ila husikii wakibaguliwa
Yupo kama Baloteli
View attachment 2630958
Hamjaelewa concept ya ubaguzi, mchezaji akijitapa na kujikuza ndio wanajaribu kumshusha chini kwa matusi na kejeli. Na sio tu kwa weusi hata Christiano alikua akizomewa na hao hao washabiki wa Real, Courtouis akikanyaga Atletico Madrid ni zomea zomea na matusi mechi nzima lakini sababu ni weupe hatuoni ni ubaguzi.
Waafrika tuache inferiority complex, hiyo tabia ya kucheza cheza akifunga, kujiangusha, kulia Lia na refa ndio inasababisha azomewe. Hiyo fact alipewa na "Koke" ila akaishia kuitwa mbaguzi.
So avune alichopanda. Ila kamwe huwezi sikia Tchouameni au Camavinga wanafanyiwa ubaguzi.
Tunaofatilia La Liga miaka na miaka tunajua haya mambo hayajaanza leo.Vinni ana mdomo sana, kujiangusha kwingi, na kulia Lia kwa refa Kila muda. So hao anawaudhi wenyewe wakimkashifu analalamika. Mbona kina Camavinga au Rodrygo hawakuwahi fanyiwa ubaguzi?
You got points man!Mkuu ubaguzi unaumiza ww hujui tu!
Mwaka fulani Nadhani 2009/10 nikiwa likizo niliwahi kutembelea vivutio kadhaa vya utalii mkoani kwangu. Nilipanda mlima Kilimanjaro nikiwa na wife na wadau wengine ninaofahamiana nao, ilikuwa ni kama trip ya kifamilia.
Tulienda pia mbuga na hifadhi kadhaa Arusha na Manyara.
Kimbembe ni wakati tunahitimisha tour yetu tuliamua kwenda waterfalls moja nzuri sana inaitwa Kinukamori Waterfalls ipo maeneo ya Marangu Mtoni.
Bhana tumefika pale tukapiga nyama choma, mbege ya kutosha iliyomixiwa na valeur na konyagi, tusker na kilimanjaro lager za kutosha. Hapo tupo maeneo ya receiption hatujashuka bado chini ambapo ndo falls ilipo na natural swimming pool ambayo imekuwa created na yale maji yanavyochimba pale chini.
Tulikuwa pia na familia ya Kimaro, Tarimo, Chacha nae alikuwepo alikuja na mimi Moshi kuja kujionea uzuri wa hii land.
Bhana wee, wenza na watoto wetu wakaanza kutangulia kushuka chini kwenye swimming pool , sisi tukaja nyuma tumebeba bia zetu za take away tukaendeleze vyombo huko huko.
Sasa kufika mle chini aisee tuliwakuta wahindi nao na familia zao wanakula bata, wengine wapo ufukweni wanakula matap tap yao wengine wamo kwenye maji wanaogelea, eti wenza na watoto wetu ile tu kuvua nguo na kuingia mle kwenye maji duh wamama wa kihindi wakang'aka kihindu na kutoka haraka kwenye maji sambamba na kuwatoa haraka sana watoto wao.
Baada ya kubaki wenyewe kwenye maji mimi nilikuwa nawaobsev wale wahindi mazungumzo yao japo sikuwa siwaelewi lugha ila kwa ulevi uliokuwa umeanza kuingia kichwani niliona fika kabisa wanatuteta na kututeta huko ni kutuzungumza vibaya, kana kwamba sisi ni vikaragosi, hatufai kuchanganyikana nao kwa swimming pool! What the fu*k! MIMI, MWAFRIKA, KWENYE ARDHI, NYUMBANI KWANGU NILIPOZALIWA NIBAGULIWE NA MGENI? HAPANA AISEE BADO MANGI!
Kilichofuata tulimuita meneja wa eneo lile tukampa dakika3 tu wale mbwa wawe wamefutika eneo lile otherwise tutawafanya ambacho hawatakaa wasahau afu tukienda huko Police tutajua namna ya kumalizana na blacks wenzetu kesi isiende mahakamani!
Chacha uvumilivu ulimshinda alitandika kofi kanjibai moja akasukuma yaondoke haraka yasituletee usenge nyumbani kwetu, huwezi kutubagua nyumbani kwetu afu tukuogope!
Tuliwatukana na kuwasukuma hvyo hvyo na vichupi vyao, hata hawakuvalia pale walipanda magari yao wakaenda kuvalia mbele