Vinicius Junior: La Liga imetawaliwa na ubaguzi wa rangi

Vinicius Junior: La Liga imetawaliwa na ubaguzi wa rangi

Hispania kiujumla ni wabaguzi wa rangi kuliko Taifa lolote duniani.

Ndiyomaana hata nami huwa nashangaa Watu wanaojipendekeza kwa Pep Kiparangoto, lina ubaguzi kupita maelezo na lilibaguaga akina Samuel E'too na Yaya Toure.

2019 lilihamasishaga ubaguzi wa ile Catalonia kipindi kile wanataka wajitenge na nchi ya Hispania wakiamini wao ni sayari nyingine kabisa kwa utajiri wa rasilimali zao za madini na wingi wa Wachezaji bora wakidai bila wao basi Hispania haiwezi kuendelea kabisa kifedha.

Pep Kiparangoto lilisapoti huo upumbavu lilipigwa faini na FA maana kwa sheria za UK Kocha hatakiwi kujihusisha kivyovyote na maswala ya kisiasa.
🤣🤣🤣🤣 Aise bora pep anabagua watu weusi sie weusi tunabaguana wenyewe kwa wenyewe
 
Hapa Tanzania ccm wanavyowabagua wapinzani hasa Chadema na ilivyokuwa balaa wakati wa dikteta Magufuli naona hao wazungu mnawalaumu bure tu.

Ondoa kwanza boriti kwenye jicho lako mwenyewe kabla hujaondoa kibanzi kwenye jicho la mwenzako.

Ubaguzi hauna kwao according to Mwalimu Nyerere.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aise bora pep anabagua watu weusi sie weusi tunabaguana wenyewe kwa wenyewe
Si jana tu ulitoka kwangu ukapewa malazi, menyu ya nguvu na nikakusindikiza na gari langu hadi Julius Nyerere International Airport?

Acha unafki Ndugu yangu [emoji28]
 
Amani gani bwana wewe yeye apige ball mambo ya ubaguzi yapo na yatendelea kuwepo. Kama kweli hataki ubaguzi mbona solition simple tuu rudi brazil piga ball
Hayoni mawazo yako wewe sasa si yake yeye Vinicius JR [emoji2]
 
Si jana tu ulitoka kwangu ukapewa malazi, menyu ya nguvu na nikakusindikiza na gari langu hadi Julius Nyerere International Airport?

Acha unafki Ndugu yangu [emoji28]
Ah sasa tunakumbukana kwenye mambo ya kawaida mbona nilivyokuomba unikopeshe billion ukakataaa na hela unazo
 
Mkuu ubaguzi unaumiza ww hujui tu!

Mwaka fulani Nadhani 2009/10 nikiwa likizo niliwahi kutembelea vivutio kadhaa vya utalii mkoani kwangu. Nilipanda mlima Kilimanjaro nikiwa na wife na wadau wengine ninaofahamiana nao, ilikuwa ni kama trip ya kifamilia.

Tulienda pia mbuga na hifadhi kadhaa Arusha na Manyara.

Kimbembe ni wakati tunahitimisha tour yetu tuliamua kwenda waterfalls moja nzuri sana inaitwa Kinukamori Waterfalls ipo maeneo ya Marangu Mtoni.

Bhana tumefika pale tukapiga nyama choma, mbege ya kutosha iliyomixiwa na valeur na konyagi, tusker na kilimanjaro lager za kutosha. Hapo tupo maeneo ya receiption hatujashuka bado chini ambapo ndo falls ilipo na natural swimming pool ambayo imekuwa created na yale maji yanavyochimba pale chini.

Tulikuwa pia na familia ya Kimaro, Tarimo, Chacha nae alikuwepo alikuja na mimi Moshi kuja kujionea uzuri wa hii land.

Bhana wee, wenza na watoto wetu wakaanza kutangulia kushuka chini kwenye swimming pool , sisi tukaja nyuma tumebeba bia zetu za take away tukaendeleze vyombo huko huko.

Sasa kufika mle chini aisee tuliwakuta wahindi nao na familia zao wanakula bata, wengine wapo ufukweni wanakula matap tap yao wengine wamo kwenye maji wanaogelea, eti wenza na watoto wetu ile tu kuvua nguo na kuingia mle kwenye maji duh wamama wa kihindi wakang'aka kihindu na kutoka haraka kwenye maji sambamba na kuwatoa haraka sana watoto wao.

Baada ya kubaki wenyewe kwenye maji mimi nilikuwa nawaobsev wale wahindi mazungumzo yao japo sikuwa siwaelewi lugha ila kwa ulevi uliokuwa umeanza kuingia kichwani niliona fika kabisa wanatuteta na kututeta huko ni kutuzungumza vibaya, kana kwamba sisi ni vikaragosi, hatufai kuchanganyikana nao kwa swimming pool! What the fu*k! MIMI, MWAFRIKA, KWENYE ARDHI, NYUMBANI KWANGU NILIPOZALIWA NIBAGULIWE NA MGENI? HAPANA AISEE BADO MANGI!

Kilichofuata tulimuita meneja wa eneo lile tukampa dakika3 tu wale mbwa wawe wamefutika eneo lile otherwise tutawafanya ambacho hawatakaa wasahau afu tukienda huko Police tutajua namna ya kumalizana na blacks wenzetu kesi isiende mahakamani!

Chacha uvumilivu ulimshinda alitandika kofi kanjibai moja akasukuma yaondoke haraka yasituletee usenge nyumbani kwetu, huwezi kutubagua nyumbani kwetu afu tukuogope!

Tuliwatukana na kuwasukuma hvyo hvyo na vichupi vyao, hata hawakuvalia pale walipanda magari yao wakaenda kuvalia mbele
Hawa mbwa bora mchina aisee hafu wakija wa uhamiaji yanajificha kweli
 
Hispania kiujumla ni wabaguzi wa rangi kuliko Taifa lolote duniani.

Ndiyomaana hata nami huwa nashangaa Watu wanaojipendekeza kwa Pep Kiparangoto, lina ubaguzi kupita maelezo na lilibaguaga akina Samuel E'too na Yaya Toure.

2019 lilihamasishaga ubaguzi wa ile Catalonia kipindi kile wanataka wajitenge na nchi ya Hispania wakiamini wao ni sayari nyingine kabisa kwa utajiri wa rasilimali zao za madini na wingi wa Wachezaji bora wakidai bila wao basi Hispania haiwezi kuendelea kabisa kifedha.

Pep Kiparangoto lilisapoti huo upumbavu lilipigwa faini na FA maana kwa sheria za UK Kocha hatakiwi kujihusisha kivyovyote na maswala ya kisiasa.
Nenda russia, italy, netherland, india then ufananishe na spain ifike mda mtu ujikubali kuwa upo tofauti nao mbona dani alves aliishi nao
 
Ila kweli Pep ni mbaguzi simpendii, kazima ndoto za sterling na Jesus.

Wahispania sijui wakojeeee, wanakeraaa mnooo
Kama mchezaji hakidhi vigezo vyako ndo unakua umemzima ndoto zake? mbona husemi cancelo, zinchenko, nao wamezimiwa ndoto? pep na conte ukimzingua kidogo hata ukiwa na jina utapigwa benchi mpaka uombe uhamisho
 
Hii sio inferiority complex, ni reality, wale jamaa wa Spain ni wabaguzi by nature, wameshawafanyia huo ushenzi wachezaji wengi sana wa kiafrika.

Mtu kama Etoo kwa mfano, walikuwa wakimbagua kwasababu tu alikuwa akiwatesa kwa magoli yake, wale jamaa ni wabinafsi sana zaidi ya ligi zote ulaya.
Mimi niliwahi soma najamaa mmoja hivi Muhindi humo darasani walikua wanamtania sana, wanaigiza lafudhi yake, wanamkejeli n.k ila sikuwahi ona akidai anabaguliwa kwa rangi yake!!

Same to yule mserbia wa Simba alichofanyiwa ni ubaguzi wa rangi... Ila angekua black wamuite "Mlete Nigga... Au Mlete Mweusi" na zile meme? Ungeona mabango ya black lives matter.

Tuache kujiona inferior ndio tutaheshimika ila Kila tukitaka special treatment na kulialia Mitandaoni ndio tunazidi kudidimizwa.
 
Back
Top Bottom