Vinicius Junior: La Liga imetawaliwa na ubaguzi wa rangi

Vinicius Junior: La Liga imetawaliwa na ubaguzi wa rangi

Mkuu ubaguzi unaumiza ww hujui tu!

Mwaka fulani Nadhani 2009/10 nikiwa likizo niliwahi kutembelea vivutio kadhaa vya utalii mkoani kwangu. Nilipanda mlima Kilimanjaro nikiwa na wife na wadau wengine ninaofahamiana nao, ilikuwa ni kama trip ya kifamilia.

Tulienda pia mbuga na hifadhi kadhaa Arusha na Manyara.

Kimbembe ni wakati tunahitimisha tour yetu tuliamua kwenda waterfalls moja nzuri sana inaitwa Kinukamori Waterfalls ipo maeneo ya Marangu Mtoni.

Bhana tumefika pale tukapiga nyama choma, mbege ya kutosha iliyomixiwa na valeur na konyagi, tusker na kilimanjaro lager za kutosha. Hapo tupo maeneo ya receiption hatujashuka bado chini ambapo ndo falls ilipo na natural swimming pool ambayo imekuwa created na yale maji yanavyochimba pale chini.

Tulikuwa pia na familia ya Kimaro, Tarimo, Chacha nae alikuwepo alikuja na mimi Moshi kuja kujionea uzuri wa hii land.

Bhana wee, wenza na watoto wetu wakaanza kutangulia kushuka chini kwenye swimming pool , sisi tukaja nyuma tumebeba bia zetu za take away tukaendeleze vyombo huko huko.

Sasa kufika mle chini aisee tuliwakuta wahindi nao na familia zao wanakula bata, wengine wapo ufukweni wanakula matap tap yao wengine wamo kwenye maji wanaogelea, eti wenza na watoto wetu ile tu kuvua nguo na kuingia mle kwenye maji duh wamama wa kihindi wakang'aka kihindu na kutoka haraka kwenye maji sambamba na kuwatoa haraka sana watoto wao.

Baada ya kubaki wenyewe kwenye maji mimi nilikuwa nawaobsev wale wahindi mazungumzo yao japo sikuwa siwaelewi lugha ila kwa ulevi uliokuwa umeanza kuingia kichwani niliona fika kabisa wanatuteta na kututeta huko ni kutuzungumza vibaya, kana kwamba sisi ni vikaragosi, hatufai kuchanganyikana nao kwa swimming pool! What the fu*k! MIMI, MWAFRIKA, KWENYE ARDHI, NYUMBANI KWANGU NILIPOZALIWA NIBAGULIWE NA MGENI? HAPANA AISEE BADO MANGI!

Kilichofuata tulimuita meneja wa eneo lile tukampa dakika3 tu wale mbwa wawe wamefutika eneo lile otherwise tutawafanya ambacho hawatakaa wasahau afu tukienda huko Police tutajua namna ya kumalizana na blacks wenzetu kesi isiende mahakamani!

Chacha uvumilivu ulimshinda alitandika kofi kanjibai moja akasukuma yaondoke haraka yasituletee usenge nyumbani kwetu, huwezi kutubagua nyumbani kwetu afu tukuogope!

Tuliwatukana na kuwasukuma hvyo hvyo na vichupi vyao, hata hawakuvalia pale walipanda magari yao wakaenda kuvalia mbele
Hahaaaaaa, mwaka 2011 nikiwa nimegraduate na kupata kazi kampuni moja huko Arusha. Eti kabulu moja la Uholanzi lilikuwa linaninyanyasa kisa mwili wangu mnene Arusha sababu tu yeye ndiye General Manager wa Kampuni. Nikamwambia, siwezi kukuabudu wewe yellow monkey na umefanana na nguruwe kisa mshahara wa 1.2M. Hii ni nchi yangu na ukileta ujinga nitakufanyia ubaya. Ikabidi nuterminate mkataba nao.

Yule mtu alininyanyasa sana, dahhh umenikumbusha na hadi nasikia uchungu. Wale akina Gerald na Praygod walitumika kuninyanyasa sana. Eti wananiambia "Mzungu kasema Kwao hawapendi kuona watu wanene wenye shingo nene na kifua kipana"Jamaa alisababisha nichukie kufanya kazi Private sector na niwachukue wazungu maishani mwangu.
 
Hayo maudhi mbona UEFA hatuyasikii. Kaenda Anfield hajazomewa kaenda Etihad hajazomewa kwanini La Liga tu?!

na kwanini awe yeye tu? Real Madrid kuna wachezaji weusi wangapi? mbona hakuna mwengine aliyefanyiwa hayo maudhi?
 
Humu ndani naona kuna watu wamekubali kubaguliwa, kwao eti hiyo siyo issue.

Ubaguzi ni issue ukubwa. Unaumiza kisaikolojia, maana watu wanakufanya wewe si mtu bali mnyama.

Kwanini hapa nchini muna wabagua wahindi na waarabu kila kukicha? mbona wao wanaishi fresh tu na maisha yanakwenda
 
Mimi shabiki wa Barça ila nimeumia sana mwamba hadi chozi lilimtoka.

Kuna chizi alikuwa anaitwa Dani Alves yeye ulikuwa ukimwonyesha vitendo vya kibaguzi utaumia wewe tu. Kuna moja alirushiwa ndizi kuwa yeye sokwe akamenya maganda akaila akaendelea kulisakata kabumbu
Dani Alves na Didier Drogba hawa magwiji wawili hawakuaga kabisa na infiriority complex.
Samuel Et'oo kuna mechi mpaka alisusa kabisa kuendelea kucheza kwa mambo hayahaya ya ubaguzi wa rangi hapo Spain.
 
Aje Yanga ili atuvushe ligi ya mabingwa,tumechoka kuishia preliminary stage
 
Unawaona walikuwa na msaada?

Mbona aliwanunua sasa kama hakuwapenda?
Sterling kaharibiwa na Pep, alikua anamtoa nje ya mfumo kila leo, yaan na vile alivyo ndo kabisa Pep hampendi hata kidogo, kazima ndoto za Raheem. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Kama mchezaji hakidhi vigezo vyako ndo unakua umemzima ndoto zake? mbona husemi cancelo, zinchenko, nao wamezimiwa ndoto? pep na conte ukimzingua kidogo hata ukiwa na jina utapigwa benchi mpaka uombe uhamisho
Kwa sterling ndoto zake kazima Pep tena makusudii kabosaa, hajakidhi vigezo ndo ange sajiriwa palee?

Pep mbaguziiii mnooo.
 
Hahaaaaaa, mwaka 2011 nikiwa nimegraduate na kupata kazi kampuni moja huko Arusha. Eti kabulu moja la Uholanzi lilikuwa linaninyanyasa kisa mwili wangu mnene Arusha sababu tu yeye ndiye General Manager wa Kampuni. Nikamwambia, siwezi kukuabudu wewe yellow monkey na umefanana na nguruwe kisa mshahara wa 1.2M. Hii ni nchi yangu na ukileta ujinga nitakufanyia ubaya. Ikabidi nuterminate mkataba nao.

Yule mtu alininyanyasa sana, dahhh umenikumbusha na hadi nasikia uchungu. Wale akina Gerald na Praygod walitumika kuninyanyasa sana. Eti wananiambia "Mzungu kasema Kwao hawapendi kuona watu wanene wenye shingo nene na kifua kipana"Jamaa alisababisha nichukie kufanya kazi Private sector na niwachukue wazungu maishani mwangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sterling kaharibiwa na Pep, alikua anamtoa nje ya mfumo kila leo, yaan na vile alivyo ndo kabisa Pep hampendi hata kidogo, kazima ndoto za Raheem. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Hakuwa na jipya katu cost mno anakosa sana magoal
 
Kwa sterling ndoto zake kazima Pep tena makusudii kabosaa, hajakidhi vigezo ndo ange sajiriwa palee?

Pep mbaguziiii mnooo.
niambie wachezaji walikuwepo kabla ya pep aliyebaki ni kdb tu sterling hakusajiliwa na pep ko ni haki yake kumtoa au laa mbona husemi mane kaharibiwa ndoto na klopp
 
Mkuu ubaguzi unaumiza ww hujui tu!

Mwaka fulani Nadhani 2009/10 nikiwa likizo niliwahi kutembelea vivutio kadhaa vya utalii mkoani kwangu. Nilipanda mlima Kilimanjaro nikiwa na wife na wadau wengine ninaofahamiana nao, ilikuwa ni kama trip ya kifamilia.

Tulienda pia mbuga na hifadhi kadhaa Arusha na Manyara.

Kimbembe ni wakati tunahitimisha tour yetu tuliamua kwenda waterfalls moja nzuri sana inaitwa Kinukamori Waterfalls ipo maeneo ya Marangu Mtoni.

Bhana tumefika pale tukapiga nyama choma, mbege ya kutosha iliyomixiwa na valeur na konyagi, tusker na kilimanjaro lager za kutosha. Hapo tupo maeneo ya receiption hatujashuka bado chini ambapo ndo falls ilipo na natural swimming pool ambayo imekuwa created na yale maji yanavyochimba pale chini.

Tulikuwa pia na familia ya Kimaro, Tarimo, Chacha nae alikuwepo alikuja na mimi Moshi kuja kujionea uzuri wa hii land.

Bhana wee, wenza na watoto wetu wakaanza kutangulia kushuka chini kwenye swimming pool , sisi tukaja nyuma tumebeba bia zetu za take away tukaendeleze vyombo huko huko.

Sasa kufika mle chini aisee tuliwakuta wahindi nao na familia zao wanakula bata, wengine wapo ufukweni wanakula matap tap yao wengine wamo kwenye maji wanaogelea, eti wenza na watoto wetu ile tu kuvua nguo na kuingia mle kwenye maji duh wamama wa kihindi wakang'aka kihindu na kutoka haraka kwenye maji sambamba na kuwatoa haraka sana watoto wao.

Baada ya kubaki wenyewe kwenye maji mimi nilikuwa nawaobsev wale wahindi mazungumzo yao japo sikuwa siwaelewi lugha ila kwa ulevi uliokuwa umeanza kuingia kichwani niliona fika kabisa wanatuteta na kututeta huko ni kutuzungumza vibaya, kana kwamba sisi ni vikaragosi, hatufai kuchanganyikana nao kwa swimming pool! What the fu*k! MIMI, MWAFRIKA, KWENYE ARDHI, NYUMBANI KWANGU NILIPOZALIWA NIBAGULIWE NA MGENI? HAPANA AISEE BADO MANGI!

Kilichofuata tulimuita meneja wa eneo lile tukampa dakika3 tu wale mbwa wawe wamefutika eneo lile otherwise tutawafanya ambacho hawatakaa wasahau afu tukienda huko Police tutajua namna ya kumalizana na blacks wenzetu kesi isiende mahakamani!

Chacha uvumilivu ulimshinda alitandika kofi kanjibai moja akasukuma yaondoke haraka yasituletee usenge nyumbani kwetu, huwezi kutubagua nyumbani kwetu afu tukuogope!

Tuliwatukana na kuwasukuma hvyo hvyo na vichupi vyao, hata hawakuvalia pale walipanda magari yao wakaenda kuvalia mbele
[emoji817][emoji817][emoji817][emoji110][emoji110][emoji110]
 
Back
Top Bottom