Vinyago/midoli vina roho

Vinyago/midoli vina roho

Kuna hii midoli kama huu, ubavu wangu alienda huko Egypt akarudi nao kama souvenir, ni mzito ni wa chuma flan hivi na alama ya nyoka hapo juu. niliambiwa sijui ni Pharaoh. Tatizo upo chumbani kwetu tena juu ya kabati oposite na kitanda, kila tukilala unatuangalia. Sasa mimi huwa unanikosesha amani kabisa kila nikiuangalia nakosa amani kabisaa ila kuutoa na kuuhamisha siwezi maana itazua ugomvi, Hapo vipi Mshana, hii ni alama tu ya kawaida ya Pharaoh kweli maana mi sina amani nao kabisa.
Uweke sebuleni.. Pharaohs wana roho na zinaishi... Ni mapepo
 
"Usijifanyie sanamu ya kuchonga, mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, au kilicho chini duniani. Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, nawapatiliza wana uovu wa baba zao; hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao".
(Kumb 5:8-9).





cc MaxShimba
Kumbuka hata musa aliambiwa atengeneze nyoka wa shaba nakila alietazama alipona
 
Kuna hii midoli kama huu, ubavu wangu alienda huko Egypt akarudi nao kama souvenir, ni mzito ni wa chuma flan hivi na alama ya nyoka hapo juu. niliambiwa sijui ni Pharaoh. Tatizo upo chumbani kwetu tena juu ya kabati oposite na kitanda, kila tukilala unatuangalia. Sasa mimi huwa unanikosesha amani kabisa kila nikiuangalia nakosa amani kabisaa ila kuutoa na kuuhamisha siwezi maana itazua ugomvi, Hapo vipi Mshana, hii ni alama tu ya kawaida ya Pharaoh kweli maana mi sina amani nao kabisa.
Ivi hiii ni sanamu ya pharaoh [Firauni] au ni malikia Cleopatra wa misri
Mshana tusaidie apa nasikia Egypt, Turkey na Iran (Persian) ndio nchi zenye idadi kubwa ya majini
 
Ivi hiii ni sanamu ya pharaoh [Firauni] au ni malikia Cleopatra wa misri
Mshana tusaidie apa nasikia Egypt, Turkey na Iran (Persian) ndio nchi zenye idadi kubwa ya majini
Imekaa kama malkia Cleopatra
 
In Egyptian society, religion was central to everyday life. One of the roles of the pharaoh was as an intermediary between the gods and the people. The pharaoh thus deputised for the gods; his role was both as civil and religious administrator. He owned all of the land in Egypt, enacted laws, collected taxes, and defended Egypt from invaders as the commander-in-chief of the army.[3] Religiously, the pharaoh officiated over religious ceremonies and chose the sites of new temples. He was responsible for maintaining Maat (mꜣꜥt), or cosmic order, balance, and justice, and part of this included going to war when necessary to defend the country or attacking others when it was believed that this would contribute to Maat, such as to obtain resources.[4]

During the early days prior to the unification of Upper and Lower Egypt, the Deshret or the "Red Crown", was a representation of the kingdom of Lower Egypt, while the Hedjet, the "White Crown", was worn by the kings of the kingdom of Upper Egypt. After the unification of both kingdoms into one united Egypt, the Pschent, the combination of both the red and white crowns was the official crown of kings. With time new headdresses were introduced during different dynasties like the Khat, Nemes, Atef, Hemhem crown, and Khepresh. At times, it was depicted that a combination of these headdresses or crowns would be worn together.
 
Huwa tunafuga majini, vinyamkera, madogoli na roho chafu majumbani kwetu bila kujua. Tunanunua vinyago na midoli ya gharama kwa ajili ya kupendezesha sebule zetu na wakati mwingine kama kampani vitandani mwetu...

Hatutishani lakini ni hatari, vina roho hivi vitu!

Wengi wetu tumeshawahi kuona zana za waganga wa kienyeji na wachawi, hawakosi vinyago na midoli, pia tumeshawahi kuona wale wenzetu waabuduo miungu wana masanamu mengi sana...! Yale yote yamebeba roho na ndio hizo wanazoziabudu.

Kuna roho zinatangatanga duniani hazina makazi baada ya majumba (miili) yao kuharibika (kufa) hivyo huwayawaya huku na kule zikitafuta makazi. Kwa kuwa roho haiwi na nguvu mpaka ipate pa kukaa. Sasa ndugu yangu unajaza midoli nyumbani au kwenye gari au ofisini unavutia na kukaribisha mapepo.

Zipo shuhuda mbalimbali za watu waliofanyiwa mambo au kuona mambo ya ajabu kutoka kwenye midoli na vinyago....

Punguza kuhifadhi hivi vitu vyaweza kuwa na roho zenye madhara makubwa..
Nakubaliana nawe 100%
 
Sasa TuTum Kamuni wangu wa Egypt kwa pounds nyingi za Kimisri naenda kuchoma hv hv
 
Sasa TuTum Kamuni wangu wa Egypt kwa pounds nyingi za Kimisri naenda kuchoma hv hv [emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]nimerudia kusoma leo nimetoka kapa
Sasa TuTum Kamuni wangu wa Egypt kwa pounds nyingi za Kimisri naenda kuchoma hv hv

Jr[emoji769]
 
Mungu asipolinda nyumba walindao wakesha bure. Lakini pia kwa wakristo Mungu mwenyewe kwenye biblia amekataza haya masanamu..
hizo roho chafu hupenda kukaa kwenye kitu chochote unachokipenda na kukithamini, zimaweza kukaa hata kwenye mafuta ya kupaka au hata kwenye nywele zako..
Cha muhimu ni kujiweka chini ya ulinzi wa Mungu,hizo roho hazitakusogelea kabisa.
Hata picha za ukutani zile artistic hubeba majini.
 
Kwa wasomi wa Qur-ani hakuna jipya wala chakushangaza hapo, na sikuvimiliki tu hata kuvitengeneza ni kosa, Ila kuna lile linalonasibishwa na Mama wa Mungu kwakweli tunahitaji elimu zaidi ili tuamini kwelikweli.
Huwa tunafuga majini, vinyamkera, madogoli na roho chafu majumbani kwetu bila kujua. Tunanunua vinyago na midoli ya gharama kwa ajili ya kupendezesha sebule zetu na wakati mwingine kama kampani vitandani mwetu...

Hatutishani lakini ni hatari, vina roho hivi vitu!

Wengi wetu tumeshawahi kuona zana za waganga wa kienyeji na wachawi, hawakosi vinyago na midoli, pia tumeshawahi kuona wale wenzetu waabuduo miungu wana masanamu mengi sana...! Yale yote yamebeba roho na ndio hizo wanazoziabudu.

Kuna roho zinatangatanga duniani hazina makazi baada ya majumba (miili) yao kuharibika (kufa) hivyo huwayawaya huku na kule zikitafuta makazi. Kwa kuwa roho haiwi na nguvu mpaka ipate pa kukaa. Sasa ndugu yangu unajaza midoli nyumbani au kwenye gari au ofisini unavutia na kukaribisha mapepo.

Zipo shuhuda mbalimbali za watu waliofanyiwa mambo au kuona mambo ya ajabu kutoka kwenye midoli na vinyago....

Punguza kuhifadhi hivi vitu vyaweza kuwa na roho zenye madhara makubwa..
 
Ili nitokea kabisa hii issue live bila chenga kabisa. Hakuna lisilowezekana chini ya jua. Mwanzo nilikua mgumu siku yaliyonipata ndo nikaelewa. Dunia ina mambo mengi sana yanaendelea kwenye ulimwengu wa kiroho sema sio binadamu wote hufunuliwa na kuona yanayoendelea.
🤔🤔🤔🤔🤔
 
Huwa tunafuga majini, vinyamkera, madogoli na roho chafu majumbani kwetu bila kujua. Tunanunua vinyago na midoli ya gharama kwa ajili ya kupendezesha sebule zetu na wakati mwingine kama kampani vitandani mwetu...

Hatutishani lakini ni hatari, vina roho hivi vitu!

Wengi wetu tumeshawahi kuona zana za waganga wa kienyeji na wachawi, hawakosi vinyago na midoli, pia tumeshawahi kuona wale wenzetu waabuduo miungu wana masanamu mengi sana...! Yale yote yamebeba roho na ndio hizo wanazoziabudu.

Kuna roho zinatangatanga duniani hazina makazi baada ya majumba (miili) yao kuharibika (kufa) hivyo huwayawaya huku na kule zikitafuta makazi. Kwa kuwa roho haiwi na nguvu mpaka ipate pa kukaa. Sasa ndugu yangu unajaza midoli nyumbani au kwenye gari au ofisini unavutia na kukaribisha mapepo.

Zipo shuhuda mbalimbali za watu waliofanyiwa mambo au kuona mambo ya ajabu kutoka kwenye midoli na vinyago....

Punguza kuhifadhi hivi vitu vyaweza kuwa na roho zenye madhara makubwa..
Mimi binafsi midoli kinyago au t-shirt yenye sura ya mtu, sivai!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom