Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,067
- 10,393
Dah.... Ninao 17 under 5yrs..... Nasikia raha sana nikiwa nao[emoji12] [emoji12] [emoji12]watoto ni faraja sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah.... Ninao 17 under 5yrs..... Nasikia raha sana nikiwa nao[emoji12] [emoji12] [emoji12]watoto ni faraja sana
Huyo kibokoMm mwanangu anamsumbua sna babaake, muda wa usiku akitaka kulala babaake anamvalisha pampers sasa hataki kuvaa anaangusha kilio anataka na babaake avae
Ukongwe wako hautuhusu na hakuna aliyekuita uje kusoma huu uzi.
Ukisema ukongwe kila mtu ni mkongwe kwa mwenzake.
Usilete stress zako za maisha mkuu kama unaona uzi hauna maana tembelea jukwaa la ufugaji, siasa n.k
Yani naona kila mwenye mtoto utaskia nimtundu mala anaakili sana mala mjanja mjamja mala nini naona sifatu inamaana nyie wenye watoto wote hakuna mwenye mtoto zoba anae lialia nakulamba kamasi mdawote anae pigwa nakila mtoto humu hakuna du!!! Ebu ongeeni ukweli wenu msifate mkumbo
Dah hiyo nayo changamoto kubwa sana kwa watoto kubandua rangi ukutan na kuchorachoraNina Wa miaka 2...kazi yake akiamuka nikubandua Rangi ya nyumba Kwa kijiko...!!
nabana nini??Tatizo unabana Sana. Huwezi pata HIV hiv
Hamna aliyemnenea mtoto wa mwenzie mabaya hapaMmmmmh huko kumnenea mwanangu mabaya sintanena kamwe, labda ujisemee ww wangu jembeee
Francis Mawere kumbe bado??! Nikuazime wangu???!Huu uzi unaanza kutamanisha [emoji28]
Hongera mkuuDah.... Ninao 17 under 5yrs..... Nasikia raha sana nikiwa nao[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hamjafanana...umebambikiwa![]()
Huyu anapenda mapicha kama msanii ukiacha sim utakuta kajipiga selfie zaidi ya 100 nacho mpendea ni mwerevu
Acha kiherehere mkuu, ukongwe wako haunihusu kwa sababu watu wote hatulingani mipando wala umri.Sawa Dada.
Endelea kuleta stori za mtoto wako.
Anhaahaahaaa....Kuna watu humu hawana watoto na wanajifanya wana watoto.
Acha kiherehere mkuu, ukongwe wako haunihusu kwa sababu watu wote hatulingani mipando wala umri.
Unajifanya kunijua alafu unaniita dada we boya sana kama hujui jinsia ya mtu uliza usilete kiherehere hapa hujalazimishwa kusoma huu uzi.
Huyu dogo an 3Yrs
#1. Siku moja aliniambia "Baba nataka kuolewa"... Nikamuuliza unataka kuolewa na nani akanijibu " na wewe"..... Nikapigwa na butwaa.
#2. Siku nyingine akaniambia "Baba nina mimba".... Nikajifanya kama sijamsikia.
#3. Siku nyingine akaja na ua anaiambia "Baba ua la bibi harusi".
#4. Siku moja nilienda naye nyumbani akamuuliza baba yangu " Babu wazazi wako wapi?.... Baba akamjibu " wamefariki"... Dogo akasema "unaishi vipi bila ya wazazi".
Hayo ni machache