Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukongwe wako hautuhusu na hakuna aliyekuita uje kusoma huu uzi.Wazazi wakongwe hayo mambo ni kawaida.
Wazazi wapya kila muda wanataka tusikilize stori zinazohusu watoto wao.
Misifa ya bure Uzi unataka 0-5 yeye analeta mtoto feki...haya ili tujue anaakili.Acha kutufunga kamba mtoto wa 10 years hawezi kuwa form three hata kwa Trump
amina ...
nipo we we tuSina wa kuzaa nae
[emoji15] [emoji15] [emoji57]ana miaka 10 ana akili sana now yupo form three jambe langu
Tatizo unabana Sana. Huwezi pata HIV hivSitochoka kuwatamani mapacha. Ee mungu nijalie mpacha nikibahatika kupata watoto
basi hapa ninapoishi mtoto wa mama mwenye nyumba kama wangu nampenda sana max.
Napenda anavyokuja kunigongea asubuhi kuniuliza kama nina uji, au akiwa na njaa uja na kuuliza kama nimepika wali,
nikienda safari au town basi siwezi sahau pipi au chohote maana nikifika anauliza nimemletea nini.
Nikiwa natoka kanapenda kunifata basi nikitoka nako wanasema mwanangu.
Nilipokuwa naishi awali huyu mama alikuwa na mapacha watatu jamani nilipenda kwenda kuwabeba nikifika na zawadi vinaanza kuniita amaa amaa amaaa.
Kitoto cha mdogo wangu dah huyu ndo funga kazi yaan kinanipenda utafikiri mm mdo mama yake aliwa mdogo kuna kipindi nililazimika kuishi nae basi nilipenda kumuimbia hili alale basi nitaimba nyimbo za kiruga mpaka asinzie.
Siku moja alinichekesha alikuta nimelala hapo kashakuwa 3yrs akasema "mama imbia wewe" nikasem imba" akaanza baby oh nana nana baby! Hapo ananipiga mgongoni nilicheka sana. Watoto watam
Changamoto ni chache na atazikuta huko hukoHah hah umwambie na changamoto zake sio raha zake tu...
Nimecheka saaana. Mwanao km wangu ana miaka mitatu na miezi mitatu... Anapenda mikate ila anaitengeneza iwe muundo wa bunduki ndogo ndio ale. Kingine ukitaka umpw raja mnunulie gari na bunduki( kuna zile zinazorusha maji) atalitega gari na kuanza kulilipilia mabunduki yaaani..Mi wa kwangu balaa natamani akue kidogo labda nitapata zuri la kueleza, leo ni wiki ya tatu sijalala nakesha, dogo analala mchana wakati mimi nipo job, usiku halali na akilala mikononi ukimuweka kitandani tuu yani kabla hata hujakiacha kitanda kishaamka na kelele nyingi, kingine asee usikae karibu na mamaake ugomvi wake c mdogo atalia hapo hadi utashangaa, kingine tangu wiki iliyopita hajacheka sijui ndo kutabasamu hakuna. Ana miezi 4. Hataki kulazwa kama watoto wengine anapokuwa macho, yeye anataka kukaa na anakaa...huyo ni mdogo, kakayake yeye anapenda ngumi, anajua bunduki zote kwa majina, hili nimejaribu kumuonya mamayake asiwe akimuwekea movie za mapigano zaidi ya cartoon lakini sijui huyu kijana anajifunzia wapi maana hakawii kukwambia anataka awe mwanajeshi sababu hapendi majambazi, huyo Ana miaka mi 4, anajua kikorea, kajifunza wapi mi sijui...ila ana shida moja anapenda tambi tuu, vyakula vingine kula mpaka mpigizane kelele sana na husingizia anataka kukojoa akienda harudi..ana huruma sana na mamayake, mjanja mjanja sana ukikasiririka atajua jinsi ya kukufanya ucheke tuu, shida usimuache na mdogo wake peke yao, unaweza kuta mtoto analishwa ugali.
Wangu ana 1.6 miaka anaimba "hatupimi bando" anaipatia kimtindo.
Naombeni kujua kuna mtoto wa jirani yangu ana 3yrs lkn hawezi kuongea hiii itakuwa ni nn na afanyaje ili mtoto wake aweze kuongea?
Naombeni msaada wenu tafadhali
aise watoto ni raha sana.uyu wakwangu mdogo mwenye mwaka 1na miezi 8 sitaki kabisa akue kwa vituko anavyonipa.yaani ningekua na uwezo wakuzuia ujuaji wake ningefanya ivyo kwa kweli.yeye katuni anaita kukuti na anakatuni yake moja anataka iyo iyo iwekwe siku nzima.ukibadilisha tu vi ugomvi.akishasema kukuti kuwe na umeme kusiwe yeye ilo hajui ata taarifa ya habari imekua shida kuangalia.ila sasa hivi nimemuweza,nimemtafutia mtumba wa laptop kupunguza kelele.
AMUN RA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu uzi nimecheka sana.
Watoto ni faraja sana, Mungu akawabariki wote wenye uhitaji wa watoto.
Asante mkuu.Usije ukaanza kumlazimisha asome awe daktari au mwanasheria hicho ni kipaji tayari anacho kitamtoa aongezewe tu elimu kiasi sio madegree ili mzazi ujisifie.
Hongera sana Mkuu