luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,160
- 21,676
Sitochoka kuwatamani mapacha. Ee mungu nijalie mpacha nikibahatika kupata watoto
basi hapa ninapoishi mtoto wa mama mwenye nyumba kama wangu nampenda sana max.
Napenda anavyokuja kunigongea asubuhi kuniuliza kama nina uji, au akiwa na njaa uja na kuuliza kama nimepika wali,
nikienda safari au town basi siwezi sahau pipi au chohote maana nikifika anauliza nimemletea nini.
Nikiwa natoka kanapenda kunifata basi nikitoka nako wanasema mwanangu.
Nilipokuwa naishi awali huyu mama alikuwa na mapacha watatu jamani nilipenda kwenda kuwabeba nikifika na zawadi vinaanza kuniita amaa amaa amaaa.
Kitoto cha mdogo wangu dah huyu ndo funga kazi yaan kinanipenda utafikiri mm mdo mama yake aliwa mdogo kuna kipindi nililazimika kuishi nae basi nilipenda kumuimbia hili alale basi nitaimba nyimbo za kiruga mpaka asinzie.
Siku moja alinichekesha alikuta nimelala hapo kashakuwa 3yrs akasema "mama imbia wewe" nikasem imba" akaanza baby oh nana nana baby! Hapo ananipiga mgongoni nilicheka sana. Watoto watam
basi hapa ninapoishi mtoto wa mama mwenye nyumba kama wangu nampenda sana max.
Napenda anavyokuja kunigongea asubuhi kuniuliza kama nina uji, au akiwa na njaa uja na kuuliza kama nimepika wali,
nikienda safari au town basi siwezi sahau pipi au chohote maana nikifika anauliza nimemletea nini.
Nikiwa natoka kanapenda kunifata basi nikitoka nako wanasema mwanangu.
Nilipokuwa naishi awali huyu mama alikuwa na mapacha watatu jamani nilipenda kwenda kuwabeba nikifika na zawadi vinaanza kuniita amaa amaa amaaa.
Kitoto cha mdogo wangu dah huyu ndo funga kazi yaan kinanipenda utafikiri mm mdo mama yake aliwa mdogo kuna kipindi nililazimika kuishi nae basi nilipenda kumuimbia hili alale basi nitaimba nyimbo za kiruga mpaka asinzie.
Siku moja alinichekesha alikuta nimelala hapo kashakuwa 3yrs akasema "mama imbia wewe" nikasem imba" akaanza baby oh nana nana baby! Hapo ananipiga mgongoni nilicheka sana. Watoto watam