Tobii
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 282
- 285
Thanks ....i will make the best of it!wasalim airtelMtoto anam-miss mama ila haya majibu yenu yananishangaza mpaka basi. Kwa hiyo wewe huleti mke mwingine kwa sababu mke wako atalia? If he is real your friend, make the best of it. Teach him principles. Mtoto akikuuliza kitu mwambie ukweli wa hicho kitu hata kama si ukweli wako. Akihoji ukweli wako ndo ujieleze.