witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tuliotelekeza mimba haituhusu hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tuliotelekeza mimba haituhusu hii
Nmeipenda #3Watoto katika hatua zao za ukuaji na kujifunza wanakua na mambo flani flani ya kufurahisha sana yaani mwanao anaweza kukuvunja mbavu balaa.
Mfano
1. Mwanangu (1.5years) anaweza kua anatazama TV akisikia unaongea na simu au umeweka music kwenye simu anakimbia kuja kuangalia simu hata kama TV ilikua na TV program ya katuni nzuri kiasi gani[emoji23] [emoji23] [emoji23]
2. Ukitaka alale we nenda kitandani weka music kwenye sim yako atakuja mwenyewe hata kama alikua anakwepa kulala[emoji23]
3. Anaheshimu simu yangu kama kituo cha polisi ila ya mama yake kashaipasua ukiiona utajua mama yake anafanya kazi idara ya miamba (geology)[emoji23]
4.Kupenda safari akiona mtu anatoka tu anaanza kuaga bye bye akijua nayeye anahusika na safari[emoji23] [emoji23]
5. Chakula kikiwa tayari, kabla sijaitwa kula yeye akiona mambo yako tayari anakuja kunipigapiga mgongoni(hajajua kuongea) akiashiria msosi tayari basi ukipotezea anaenda anarudi mpaka utakapoinuka[emoji23] [emoji23]
6. Mwanangu anatabia flani kama wivu, akiona naongea na mama yake mara nimemshika mkono tunaongea kama jambo la siri anakuja fasta analia anataka mama yake ambembe[emoji23]
Nadhani hajajua kwamba mama yake ni mke wangu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivi ni baadi ya vituko vya watoto mdau ongeza vya mwanao
Watoto wanaleta raha sanaaa
![]()
ana miaka 10 ana akili sana now yupo form three jambe langu
Dalili za ShilawaduAna miezi 5 yeye hata akiwa analia jifanye unaongea na simu ananyamaza kusikiliza maongezi ukiacha tuu anashusha kilio....anapenda sana kusikiliza maongezi ya simu hata kama anasinzia ataamka
ana miaka 10 ana akili sana now yupo form three jambe langu
Miaka 10 halafu yupo form 3? Ina maana alianza shuke na miaka sifuri?ana miaka 10 ana akili sana now yupo form three jambe langu
Hongereni wenye watoto
Mmhh jamaniana miaka 10 ana akili sana now yupo form three jambe langu
Nshamjua ni nani akiongeaJembe langu lina miaka3,akimuona mtu flani akiongea kwenye tv,anakimbilia remote na kubadili chanel.Simply ana aleji naye.
Hahahaha uyu mtoto ana anza uhuni mapemamtoto wa sister angu akisikia nyimbo ya hainaga ushemeji hata kama kalala anaamka kisha atacheza
Jamaniiiiii( with a smile)Yuko na mama yake huko anakopiga job (as no uhamisho) ana 2.6 yrs siku mbili mfululizo kagoma kila kitu anataka amwone baba...nikipiga simu analia tu na kusema njoo huku haraka, niletee mkoba na peni!!!!
Siku moja utaelewa[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Sijawahi kukuelewa hakyamungu