Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasema asante kwa niaba ya wazazi wenzangu[emoji23] [emoji23]Hongereni wenye watoto
[emoji19] [emoji17] [emoji17] ntajifungua keshoNasema asante kwa niaba ya wazazi wenzangu[emoji23] [emoji23]
Asikwambie mtu kua na mtoto ni raha sana, raha zaidi ni kua na familia
na hawajui raha na faraja mtoto anayotupa wazaziMtafute huyo mtoto ndugu yangu..
Hakuna raha kama kucheza na kuwa rafiki wa watoto wako..
Mnawakosea haki sana watoto nyinyi watelekezaji.
[emoji38]shilawaduAna miezi 5 yeye hata akiwa analia jifanye unaongea na simu ananyamaza kusikiliza maongezi ukiacha tuu anashusha kilio....anapenda sana kusikiliza maongezi ya simu hata kama anasinzia ataamka
Mtoto anakua soudy brown kabla ya umri wake aisee[emoji23] [emoji23][emoji38]shilawadu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Haahaahaa..... Jamani msianze chai sasa..
Hata kuku hatagi yai kirahisi ivo[emoji23] [emoji23][emoji19] [emoji17] [emoji17] ntajifungua kesho
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] porojo hatutaki humuWangu alikuwa halali mpaka awe amenusa nusa chupi yake chafu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi mwanangu ana miaka mitatu aliniuliza mbona mama nikimwita Asha (sio jina lake halisi) ananichapa lakini wewe mbona hakuchapi?
Wewe ulimdanganya mwanao.Mi wangu aliona utabiri wa hali ya hewa kwamba mji tuliopo kesho utakuwa na mvua kesho yake ilipofika asubuhi ananiambia mama ule utabiri unadanganya mbona hakuna mvua wakati jana walisema kutakuwa na mvua.
Ikabidi nimwambie mji mkubwa huu hivyo mvua haiwezi kunyesha mji mzima kwa wakati mmoja.