Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16] watoto kweli ni rahaaMwanangu (5): Baba mbona unapunguza mwendo??
Mimi: Kuna askari mbele
Mwanangu: Sasa usipopunguza mwendo atakufanyaje?
Mimi: Atanikamata
Mwanangu: Atakukamata atakufanyaje?
Mimi: Atanifunga kamba anipeleke gerezani kunifunga.
Mwanangu: Police kazi yake kufunga kamba watu?
Mimi: Ndiyo, ila wale wakorofi tu.
Mwanangu: Hata watoto wadogo anawakamata na kuwafunga?
Mimi: Ndiyo, lakini wale watoto wakorofi wasiopenda kufanya H/W
Mwanangu: Mimi si mkorofi na nafanya HW, si ndiyo baba
Mimi: eeeee
(Tunawakaribia Police wa usalama barabarani tunawapita)
Mwanangu: Police nimewaona watatu pia kuna Mwanamke, baba hata Police Mwanamke yupo
Mimi: Ndiyo
Mwanangu: Na yeye anaweza kukamata watu na kuwafunga?
Mimi: Ndiyo:
(Ukimya dakika 2)
Mwanangu: Baba weka speed One hundred tumeshawapita ma police. (huku akiangalia mshale wa speed-meter)
-------------
[emoji23] [emoji23] [emoji23]hahahahahaha
Miaka mingap mkuu![]()
Huyu anapenda mapicha kama msanii ukiacha sim utakuta kajipiga selfie zaidi ya 100 nacho mpendea ni mwerevu
cuisine=aina/namna ya upishi wa chakulaMtoto wa cuisine yangu miaka miwil 2 anapenda kucheza game anaijua simu yani balaa anaplay vedio anaview image anapenda kuongea na simu mukikaa chumban akitoka anajificha mlangoni anakwambia mama nakuja eenh nakuja nnh nishubir nakuja yani watoto ni raha one day I'm going to have a baby 🙂 🙂 🙂 🙂 🙂 🙂
Safi sana Kiongozi.![]()
Huyu anapenda mapicha kama msanii ukiacha sim utakuta kajipiga selfie zaidi ya 100 nacho mpendea ni mwerevu
Hilo la kuchorwa liache mumy halikwepeki mana kama kwangu ukija utacheka chumba kilichopona ni cha kwangu tu kwa sababu hawaingii hovyo hovyo ila nyumba nzima imechorwa chorwa na chumbani kwao ndio usiseme.mie wangu ndiyo ameanza shule, basi nina kibarua cha kuimba nyimbo za shuleni kila akirudi. kupewa story za madam wake sijui anko.
na mbaya zaidi kupigiwa ngoma ili niimbe nyimbo ya Taifa. hapa uwa nachoka sana aiseee.
kingine kila mahali panachorwa sasa hivi, ukuta imebidi tuulinde kuliko kitu kingine.
Dah me hilo swala la kuchora ukuta nimepiga kelele hadi nimeamua niachane nalo achore hadi atakapopata akili ndo nipake rangi upyamie wangu ndiyo ameanza shule, basi nina kibarua cha kuimba nyimbo za shuleni kila akirudi. kupewa story za madam wake sijui anko.
na mbaya zaidi kupigiwa ngoma ili niimbe nyimbo ya Taifa. hapa uwa nachoka sana aiseee.
kingine kila mahali panachorwa sasa hivi, ukuta imebidi tuulinde kuliko kitu kingine.
Hahaa. Kumbe ni karibia watoto wote tabia hiyo ya kuchora chora wanayo. DaahDa
Dah me hilo swala la kuchora ukuta nimepiga kelele hadi nimeamua niachane nalo achore hadi atakapopata akili ndo nipake rangi upya
Huyo ana dalili za wivu kama mwanangu , hata akiwa anacheza bize kiasi gani ukimkumbatia mama yake dogo anakuja mbio mbio anataka mama yake ambebe[emoji23] [emoji23]Wa kwangu ana miaka 3, kuna siku nimetoka safari nimekaa sebuleni akanifata na kuniuliza "baba leo unalala na mkeo?"
Siku ingine naongea nae kwenye Simu nikamtia mkwara ili ale chakula nae akanambia " baba ntakufumua" Daaaahh nkaona sasa hapa ipo haja ya kununua bunduki mapema.
Ikitokea akaona nimemshika mkono tu mama ake anakasirika sana na kwakua anajua mi haniwezi inabidi aanze kumpiga mama ake ili atoke hapo nilipo (Huyu jamaa anajionaga kama ye ndo ana hati miliki kwa mama ake)
Watoto ni raha sana, wana mambo yao ambayo ni ya kushangaza na kufurahisha kwa pamoja.
Miaka 10 form three teh kama ni she, huyo ni future miss Tanzaniaana miaka 10 ana akili sana now yupo form three jambe langu
Mitano mkuu huwa yuko mbali namm siku tukionana huwa haach gape anahakikisha ananiganda kila sehem napo enda juzi usiku wa UEFA nika mwambia naenda kuangalia mpira akanambia dady unampenda Ronaldo namm naenda kumwona nika mkatalia niusiku akachukua funguo anajidai ananifungilia mlango kutoka nje kavaa ndala moja yake moja ya maza ake namm kumkomoa nikaenda nae hvy[emoji23] [emoji23]Miaka mingap mkuu
Yaan ni balaa me mbaya zaid huwa wanapewa rangi za kufanyia hmwrk nyumban sasa naona zote zinaishia ukutan,ukiwa na mtoto mdogo kuna baadhi ya vitu kufanya ni ishu kama sitting room ukipanga akirud unakuta kumevurugwa balaa hapawez kuwa smart kama unavyotakaHahaa. Kumbe ni karibia watoto wote tabia hiyo ya kuchora chora wanayo. Daah
Mtu gani Mkuu.?[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Jembe langu lina miaka3,akimuona mtu flani akiongea kwenye tv,anakimbilia remote na kubadili chanel.Simply ana aleji naye.