Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan ni balaa me mbaya zaid huwa wanapewa rangi za kufanyia hmwrk nyumban sasa naona zote zinaishia ukutan,ukiwa na mtoto mdogo kuna baadhi ya vitu kufanya ni ishu kama sitting room ukipanga akirud unakuta kumevurugwa balaa hapawez kuwa smart kama unavyotaka
Wanajikuta wao ndo wametoa mahari, sisi wazugaji!!! pambavu kabisaHuyo ana dalili za wivu kama mwanangu , hata akiwa anacheza bize kiasi gani ukimkumbatia mama yake dogo anakuja mbio mbio anataka mama yake ambebe[emoji23] [emoji23]
Hataki umguse mamaake ndio maana.Mi wa kwangu balaa natamani akue kidogo labda nitapata zuri la kueleza, leo ni wiki ya tatu sijalala nakesha, dogo analala mchana wakati mimi nipo job, usiku halali na akilala mikononi ukimuweka kitandani tuu yani kabla hata hujakiacha kitanda kishaamka na kelele nyingi, kingine asee usikae karibu na mamaake ugomvi wake c mdogo atalia hapo hadi utashangaa, kingine tangu wiki iliyopita hajacheka sijui ndo kutabasamu hakuna. Ana miezi 4. Hataki kulazwa kama watoto wengine anapokuwa macho, yeye anataka kukaa na anakaa...huyo ni mdogo, kakayake yeye anapenda ngumi, anajua bunduki zote kwa majina, hili nimejaribu kumuonya mamayake asiwe akimuwekea movie za mapigano zaidi ya cartoon lakini sijui huyu kijana anajifunzia wapi maana hakawii kukwambia anataka awe mwanajeshi sababu hapendi majambazi, huyo Ana miaka mi 4, anajua kikorea, kajifunza wapi mi sijui...ila ana shida moja anapenda tambi tuu, vyakula vingine kula mpaka mpigizane kelele sana na husingizia anataka kukojoa akienda harudi..ana huruma sana na mamayake, mjanja mjanja sana ukikasiririka atajua jinsi ya kukufanya ucheke tuu, shida usimuache na mdogo wake peke yao, unaweza kuta mtoto analishwa ugali.
Hahahah.. Nilikumiss mama, nilizama kwenye mihangaiko.. Mtoto wetu vipi!?Leo umeibuka lol
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanajikuta wao ndo wametoa mahari, sisi wazugaji!!! pambavu kabisa
Huyo anq lake jambo kwa nn anapenda kunusa chupi chafuWangu alikuwa halali mpaka awe amenusa nusa chupi yake chafu.
Pole sana mkuu. Mungu atajaalia utapata mwingine na utafurahi kuwa na mtoto. Usikate tamaa.Wangu sijui angekuaje, ametangulia mbele ya haki, katakua mbinguni kanacheza huko...
Wangu nitofauti yeye huwa anachora kweny rim paper zake afu abandike ukutani ukibandua kazi ipoHilo la kuchorwa liache mumy halikwepeki mana kama kwangu ukija utacheka chumba kilichopona ni cha kwangu tu kwa sababu hawaingii hovyo hovyo ila nyumba nzima imechorwa chorwa na chumbani kwao ndio usiseme.
bora umewakumbusha hahaaaaaTuliotelekeza mimba haituhusu hii
Hongereni wenye watoto
Simu na mziki wanapenda sanampaka kufikia page hii ya tatu, inaonekana watoto wengi wa siku hizi wanapenda sana simu, naendelea kusoma.
Huyo kama mwanangu vileWangu nitofauti yeye huwa anachora kweny rim paper zake afu abandike ukutani ukibandua kazi ipo
Pole sana mpendwa, apumzike kwa amani mtoto wako....Wangu sijui angekuaje, ametangulia mbele ya haki, katakua mbinguni kanacheza huko...
lol,mtoto wa sister angu akisikia nyimbo ya hainaga ushemeji hata kama kalala anaamka kisha atacheza
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] [emoji122][emoji122][emoji122]Mitano mkuu huwa yuko mbali namm siku tukionana huwa haach gape anahakikisha ananiganda kila sehem napo enda juzi usiku wa UEFA nika mwambia naenda kuangalia mpira akanambia dady unampenda Ronaldo namm naenda kumwona nika mkatalia niusiku akachukua funguo anajidai ananifungilia mlango kutoka nje kavaa ndala moja yake moja ya maza ake namm kumkomoa nikaenda nae hvy[emoji23] [emoji23]
Hahaaa. Hata nami nilikumiss baba. Pole pia hongera kwa kuwa umefanikiwa kuibuka hujazama moja kwa moja.Hahahah.. Nilikumiss mama, nilizama kwenye mihangaiko.. Mtoto wetu vipi!?
Mnhhhh....hapa kama naliona tatizo hivi.ana miaka 10 ana akili sana now yupo form three jambe langu