Vioja vya watoto wadogo (0-5years), tuambie vioja vya mwanao

Malezi mengine mpaka najisikia vibaya nikisoma Watu wanavyoishi na watoto wao. Yani mtoto nimwambie fanya kitu flani akatae au nimkataze usifanye kitu flani halafu aendelee kufanya, then nimchekee niseme anamsimamo Hataki. Ninachapa kwa waya wa Redio au mkanda, na nikiongea kitu mara moja kisirudiwe tena na wanajua vema taratibu zangu.

Acheni kulea watoto kama mayai, mtoto anapaswa kuwa na heshima na adabu, akikosa muadhibu na akifanya vizuri mpongeze. Mnatengeneza jamii ya hovyo sana Kwa kuchekea upuuzi wa Watoto, Mtoto anapaswa akikuangalia usoni ajue Hilo jambo sio zuri na hujapenda na aache mara moja.

Haya Maisha yenu ya kizungu yanipitie mbaalii kabisa
 
Mie wa kwangu Ana miaka minne wa kike. Bado Ana tabia ya kunifuata kila ninapopenda nikiwa nyumbani nafanya kazi zangu.

Sasa juzi kati hapo nikawa namwambia dadaake umeiona nimeota mkia yaani ile kuwa ananifuata nyuma kila wakati.

Sasa yeye anashangaa imekuaje mie binaadam halafu nimeota mkia.

Kuna muda nimesimama naona ananipandisha nguo.... Nikamyakia wee vp unataka nini.... Ndio ananambia nataka niuone huo mkia uloota. Ddduh nikasema hii sasa kazi. Yaani wtt wanajifunza na ku observe fasta
 
Hahahaha
 
bila picha za watoto ni chai,wengi tunasimulia stori za watoto wa kaka zetu na shemeji zetu...
Mi mtot wa kaka angu ana miaka 3 wa kiume korofi balaa mda mwingine ananiambia ondoka kwenu hapa kwa baba angu mara achia rimoti,yaan kama unafatilia vipindi vzur utasubiri katuni ziishe....nami nshasema siondki hapa maan maisha bdo yapo tight
Ngoja nifagie banda la kuku kwanza
 
Mungu akuongezee na vingine vingi vya aina hiyo, vingine vije kuwa vi-Samia Suluhu Hassani, na vingine vi-Hussein Mwinyi
 
Ila watu hahahhahahahahahaa
Mada kama hii huwa zinaletwa na wanawake halafu wanaume ndio wanachangia.

Sasa kidume mzima unajipinda unaanzisha uzi kama huu....!!!!

Unatukosea sana wanaume wenzako.
ishii we vipi.
 
Hii dunia huu. Baba unajisifu mwanao anajua kuimba yopee. Aiseeee
 
Mimi ninao wanne. Wakike 3 na kiume 1. Wakike mkubwa alipokuwa ana miaka 6 alikuwa hakuwahi kuona mtu kabla hijabu na Nikabu. Siku 1 tulienda Morogoro kwa Bibi yake, tukaona anakuja mbio ndani, tukimuuliza nini? Akasema Jiniii yupo nje. Kwenda kuangalia ni mama mmoja wa kianswar Sunna Jirani yetu.

Niliona aibu na nikajua leo tunapigwa kamwe na wajahidina. Ikabidi nikae nae ndani na kumfundisha kuhusu huyo mama na uvaaji.
 
Wangu amelelewa na mam ake na wajomba zake bas anadeka kishenzi huwa nikamuoji oji maswal kadha unamuona anaanza kudondosha machozi Bila kupigwa bas namuita mam ake aje hapo mnk wakt nikimuoji oji sitaki mama ake awe Hapo bas mm namuita mama ake aje amuone mwanae anayelia Bila kupigwa mma ake anamuuliza unalia nn j..bas mtot haseme kitu analia tu bas anajikuta nimemkamata na kumpiga kisawasawa na kumvinya haswa had karibu kutoa nyama yaani ananiudhi Sana baas analia sanaaa baadae tunambebeleza anasepa zake mm hapo saa hyo lawama zote nimeshamuangushia mama ake
Huku nimeacha hell kidgo usku utaona mma anapiga simu tunaongea nae namchekesha kumsahaulisha ukatili wangu dhid yake bas nampongeza na kuahidi kumnunulia zawad nzuri akifanya vzr Zaid shuleni bas anafurahi utasikia anakuaga usku anasema usiku mwema baba mungu akubariki .

Ila hapo nasem kimoyomoyo huyu mtot anadeka Sana baadae kuchunguza naaambiwa huyu mtot anadeka kwa kuwa Hana mdgo wake inabidi atafutie mdg wake nikasema Nani azae na hyu mam Tena mm kbsa nakuja kuanza kumchakt mam ake hpn acha abaki single mam tu atafute mtu mwingine was kumpa watot ila Simon mm
 
Sasa mtoto amekukosea nini??? Jamani
 
Nimetoka safari kama miez 4 hivi imepita sijaonekana, mwanangu wa kike wa miaka 2 anafurahi sana kuniona home na vizawadi vyake. Ananiuliza baba vipi hujapata ajali maana jana kwenye TV imetokea ajali, Namjibu namshukuru Mungu nimefika salama, Anashagaa hee kumbe na huko ulikokuwepo kuna Mungu? Hahahaahh..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…