Vioja vya watoto wadogo (0-5years), tuambie vioja vya mwanao

Vioja vya watoto wadogo (0-5years), tuambie vioja vya mwanao

Hili toto langu la kiume la mwaka mmoja halipend niwe karib sana na mama yake, hata tukikumbatiana tu mbele yake linaanza kulia, kituko chake kikubwa mkianza kugegedana ni lazima lishtuke na linaanza kunitoa nisiwe juu ya mama yake
 
Aisee mie sitaki hata kukumbuka,mwanang alikuwa mtundu balaa at least sasa hivi nimepumua,wakati akiwa na miaka mitano akiwa shuleni (boarding) sijui alitoa wapi mfuko ule wa Salfeti akawachukua watoto wadogo watatu akawafungia kwenye mfuko halaf akawaambia atakayepiga kelele namchapa viboko,akatoka akaenda kucheka bahati nzuri mwalimu akapita pale akaona mfuko unacheza cheza akashangaa kuufungua akakuta watoto walishaanza kuchoka, huku na huku nani kafanya hivi wakamtaja,mwalimu wake ananipigia simu mwanao leo kafanya kosa hili yaani nliishiwa pozi, nkaenda shuleni kwao namuuliza akanambia ahaa niliwaweka watulie maana walikuwa wanasumbua,siku nyingine karudi likizo niko kazini , akaweka Cd tano kwenye radio inayobeba cd tatu, nilivyorudi kanipokea getini akanambia yaani Mom radio yako imegoma kabisaa kuimba leo ahaa itakuwa ulinunua radio ya kichina,nafungua pale kaweka cd kushinda uwezo na sijui alichokonoa nn radio ikafa kabisaaaa
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Francis Mawere kumbe bado??! Nikuazime wangu???!

Mi hata nashindwa kumuelezea Bebé wangu maana sofa zake zinajaa dunia!!

Juzi tu kametoka kunifurahisha na matokeo yake ya midterm maana kamepata
Kako smart, mtundu sana alafu ni mchokozi balaa. Sema uzuri wake sio muharibifu...alafu ishu ya uchokozi hats Mimi nachangia maana namwambiaga mtu akimuonea mara kwa mara nae aanze kumdunda, ila anapokuwa amechokozwa tu.

Sifa yake kubwa kabisa kubwa kabisa no kujali. Yani ma-hug na makisses mia moja elfu kwa siku. Hata ukiwa na stress zinaweza zikayeyuka tu jinsi anavyopetipeti.
Ha ha haa Bado ndio nafanya mpango aisee. Halafu uache kunipa wivu hapa unaskia !!!
 
Hili toto langu la kiume la mwaka mmoja halipend niwe karib sana na mama yake, hata tukikumbatiana tu mbele yake linaanza kulia, kituko chake kikubwa mkianza kugegedana ni lazima lishtuke na linaanza kunitoa nisiwe juu ya mama yake
Haha haaaa Hakika Vitaumbwa Vipya na Nchi zitajeuka.
 
Last born wangu ana 2 years ukiimba 255 champion boy muite Mbwana Samata lazima amalize Aaha (kwa sauti ya darasa) au ukisema fire anamalizia Aahaa kama Ney
 
Mimi na pacha wangu tunapendana sana huwa tunasalimiana Mara kwa Mara. Sasa mie husema haloo Twin... Mwanangu huwa ananiletea simu ananilazimisha sasa anasema mama mpijie tini.... I love him so much
 
Kwahiyo unataka kusema wewe ni wa kiume?

Unajua huu uzi umeka kike ndio maana nikajua hata wewe ni bint.

Samahani sana mkuu kwa kukukosea.

Ila siku nyingine usiwe unapaniki hapa JF tupo watu tofauti wenye mawazo tofauti.
Mkuu simu yangu, bando langu huwezi kunipangia cha kupost.
Mada ya kike, iwe ya kiume bado wewe huwezi kuthibitisha mimi ni nani kama unajua mimi ni mwanamke sio tatizo kwa kua mke wangu anajua mimi ni mwanaume.
Punguza stress sio kila jambo linahitaji ligi mkuu.
 
mtoto wa sister angu 4yrs anapenda safari balaa, mtu akitoka anamfua anazunguka nae, siku nilifanya kusudi nikamzungusha kutwa (kwa miguu) alikuja kulala fofofo

kesho nikawa na safari na mama yake anasafari pia akaninawa kwamba anko sifai bora mama yake.

kila saa 3 usiku lazima awakumbushe kuangalia bbc landani, na alhamisi futuhi
 
Pole sana.

Usiwe unapandisha kisukari humu JF.

Mkuu simu yangu, bando langu huwezi kunipangia cha kupost.
Mada ya kike, iwe ya kiume bado wewe huwezi kuthibitisha mimi ni nani kama unajua mimi ni mwanamke sio tatizo kwa kua mke wangu anajua mimi ni mwanaume.
Punguza stress sio kila jambo linahitaji ligi mkuu.
 
Haka kathread nimekapenda ila nna mtot wa kiume 7 month balaa tupu hana meno ila kanasimamia hata kutambaa hakajapitia yan juice zote tam kanazjua chips ndo balaaa asione stik mdomon,ila akilala saa kumi alfajir yuko macho anajisemesha na malaika wake maana sjui hata akisemacho
Kuvalishwa hataki anavuta nguo balaa ili avae,imagine akiota meno o akijua kuongea o akifikisha one otwo years itakueje
Note_makuzi ya mtoto ni rehema na baraka za mungu.
 
Huyu dogo an 3Yrs

#1. Siku moja aliniambia "Baba nataka kuolewa"... Nikamuuliza unataka kuolewa na nani akanijibu " na wewe"..... Nikapigwa na butwaa.


#2. Siku nyingine akaniambia "Baba nina mimba".... Nikajifanya kama sijamsikia.


#3. Siku nyingine akaja na ua anaiambia "Baba ua la bibi harusi".

#4. Siku moja nilienda naye nyumbani akamuuliza baba yangu " Babu wazazi wako wapi?.... Baba akamjibu " wamefariki"... Dogo akasema "unaishi vipi bila ya wazazi".


Hayo ni machache
Jamaniii she loves you mpaka anatamani umuoe (anajua mtaishi milele) mpende sana mwanao
 
Pole sana.

Usiwe unapandisha kisukari humu JF.
Acha kiherehere narudia kukwambia.
Unasema mada ya kike it means watu wote wanaochangia hii mada ni wanawake huoni unatutukana? Alafu unataka ujibiwe vizuri ili iweje?
Acha kiherehere kama mada haikufai nenda jukwaa lingine mbona simple tu
 
Wangu ana 4yrs last week walikuwa kwenye exam ya midterm kwa elimu yake ya kindergarten sasa mwalimu akaandika vitu amabvyo hawajawahi kusoma aisee aligoma kuufanya huo mtihani mpaka akaenda mama yake siku iliyofuata ikabidi afanye kama special mbele ya mama yake na kumbembeleza kwa sana tu.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Hili toto langu la kiume la mwaka mmoja halipend niwe karib sana na mama yake, hata tukikumbatiana tu mbele yake linaanza kulia, kituko chake kikubwa mkianza kugegedana ni lazima lishtuke na linaanza kunitoa nisiwe juu ya mama yake
wanaume wana wivu sana,, naanza kugundua watoto wakiume wanawivu sana natural,,, hope una enjoy kulea mkuu!! Huoni kero
 
Hili toto langu la kiume la mwaka mmoja halipend niwe karib sana na mama yake, hata tukikumbatiana tu mbele yake linaanza kulia, kituko chake kikubwa mkianza kugegedana ni lazima lishtuke na linaanza kunitoa nisiwe juu ya mama yake
wanaume wana wivu sana,, naanza kugundua watoto wakiume wanawivu sana natural,,, hope una enjoy kulea mkuu!! Huoni kero
 
Back
Top Bottom