Francis Mawere kumbe bado??! Nikuazime wangu???!
Mi hata nashindwa kumuelezea Bebé wangu maana sofa zake zinajaa dunia!!
Juzi tu kametoka kunifurahisha na matokeo yake ya midterm maana kamepata
Kako smart, mtundu sana alafu ni mchokozi balaa. Sema uzuri wake sio muharibifu...alafu ishu ya uchokozi hats Mimi nachangia maana namwambiaga mtu akimuonea mara kwa mara nae aanze kumdunda, ila anapokuwa amechokozwa tu.
Sifa yake kubwa kabisa kubwa kabisa no kujali. Yani ma-hug na makisses mia moja elfu kwa siku. Hata ukiwa na stress zinaweza zikayeyuka tu jinsi anavyopetipeti.