Then, kama wizi unafanyika miaka yote, je ungeshauri wasusie/wasishiriki kabisa? Maana watajuaje kama watakaposhiriki hawataibiwa? Then, wakisusia indefinetely wana'cease' kuwa chama cha siasa.Mkuu unaumri Gani maana kama umeshushwa Leo duniani kwani wizi wa kura umeanza mwaka huu mpaka useme wameshafahamu si Kila mwaka wa UCHAGUZI chadema wanashiriki na wanalalamika kuibiwa kura unaona hao watu wanaakili timamu
Akili Yako haipo timamu kiufupi hujielewi kwahiyo unataka washiriki Ili baadae waanze kulialia wameibiwa kura sio halafu wasubiri tena UCHAGUZI ujao washiriki halafu baada ya UCHAGUZI walie wameibiwa kura kwahiyo Kila mwaka wawe wanalia kuibiwa kuraThen, kama wizi unafanyika miaka yote, je ungeshauri wasusie/wasishiriki kabisa? Maana watajuaje kama watakaposhiriki hawataibiwa? Then, wana'cease' kuwa chama cha siasa.
OK, mkuu. Sijielewi na sina akili timamu. Tufanye hivi: weka CV yako hapa na mimi nitaweka ya kwangu, halafu wachangiaji wengine wataamua nani mwenye akili timamu na anayejitambua kati yangu na wewe. Najizuia kutumia lugha kama unayoifumia, lakini ili twende sawa tuanze na CV.Akili Yako haipo timamu kiufupi hujielewi kwahiyo unataka washiriki Ili baadae waanze kulialia wameibiwa kura sio
Cv yangu nimeanza na hiyo 10M weka yako niweke nyingine kuzidi hiyoOK, mkuu. Sijielewi na sina akili timamu. Tufanye hivi: weka CV yako hapa na mimi nitaweka ya kwangu, halafu wachangiaji wengine wataamua nani anayejitambua na mwenye akili timamu kati yangu na wewe. Najizuia kutumia lugha kama unayoifumia, lakini ili twende sawa tuanze na CV.
Mbowe hapana ni kama anaisaidia sana CCM badala ya chama chake. Amekuwa soft mno ni kama yuko tu Ccm Lissu pamoja na uropokaji wake angalau unamuona kabisa ana machungu na chama. Heche utendaji wake kwenye Bavicha yake unampa credit ya kuwa kwenye rekodi nzuri.
Lakini pia Ccm limekuwa janga la kitaifa linatakiwa likemewe na kila mwenye nia njema kuanzia msikitini, kanisani na uraiani maana kilichoshuhudiwa uchaguzi wa serikali za mitaa ni uharamia wa ajabu sana.
Tunahitaji kuingia msituni kujiandaa na kujifunza kupambana nao watujeruhi ,watuue na sisi pia tuwajeruhi na tuuuane....!!Maaskari ni wajinga.
Wanafaidika sana na mfumo uliopo ndo maana hawawezi kuruhusu hilo litokee. Sasa wamefika hatua wamejihalalishia kabisa kuiba. Uchaguzi wa juzi kulikuwa na watu wanaitwa ARO wa mtaa, kitongoji na kijiji kazi yao kubwa ilikuwa ni kuweka kura za wagombea wa Ccm zilizopigwa tayari kwahiyo hao watu walikuwa wanawaamuru wasimamizi wa vituo hiyo blunder ifanyike...Tanganyika tulidai uhuru na tukaupata bila mtu yeyote yule kuumizwa na Waingereza.
..Sasa kwanini suala la Tume Huru ya uchaguzi, na Katiba Mpya, watu wanataka nguvu utumie?
..Kwanini CCM / Serikali / Mama Samia hawasikilizi kilio cha wananchi cha Tume Huru, na Katiba Mpya?
Mambo ya CHADEMA yanakuuma nini kwani wamekuzuia kufanya siasa,? Mtu anakurupuka anataka CHADEMA wafanye anavyowaza.Wewe ni adui wa chama hicho. Sidhani kuwa kweli upo ndani ya CHADEMA wewe.
KabisaShida Viongozi wetu hawashirikishi wanachama kwenye maamuzi. Hii ndio shida.
Namkumbuka Mchungaji Mtikila aliposhinda shauri la mgombea binafsi mahakama kuu.Ingawa serikali ilishinda rufaa.Hapana. Ni vizuri washiriki, na kwa kushiriki kwao wananchi wanajionea wenyewe kinachofanyika, na siku moja watakuja kuchukua hatua. Kwa huko, nyuma Chadema walipokuwa wakisusia wananchi walikuwa hawawaelewi. Na ni katika kushiriki mchakato ndipo madudu kama haya yanaibuka, then wananchi wanajionea wenyewe. Kutoshiriki kunawafanya CCM washinde asubuhi kweupe. Hata kwenye kesi usiposhiriki, uamuzi unatoelewa dhidi yako. Lakini ukishiriki na kuonewa, angalau unaweza kukata rufaa na uamuzi kubadilishwa.
Kwani wewe ndiye CHADEMA auni mali yako?Mambo ya CHADEMA yanakuuma nini kwani wamekuzuia kufanya siasa,? Mtu anakurupuka anataka CHADEMA wafanye anavyowaza.
Za chini chini inadaiwa mbowe kapewa na mama yenu tilion moja ali asikache uchaguzi mpaka 2030,wewe mwenyewe huoni maghumashi yalivyojaa hata usingethubutu kupiga kula
Kwenye wengi kupata consensus ni vigumu, maana wakati mwingine mambo yanatokea si kwa sababu ya shida ya maamuzi, bali wenye mamlaka. Unakumbuka kule Zanzibar wakati ule Tume ya Uchaguzi iliposema uchaguzi urudiwe na CUF wakajitoa, CCM ikashinda uchaguzi asubuhi na mapema. Kwa jinsi mambo yalivyo hapa kwetu na wakati mwingine pia kutokana na malalamiko vyama vya siasa vilivyonayo kuhusu baadhi ya hukumu za mahakama, matatizo kama haya yanaendelea bila kupata ufumbuzi wake hadi hapo wananchi watakapokuwa na political consciousness. Maana ili chama fulani cha siasa kipate ushindi kinategemea kwa kiasi kikubwa support ya wananchi ambao ndio wengi.Namkumbuka Mchungaji Mtikila aliposhinda shauri la mgombea binafsi mahakama kuu.Ingawa serikali ilishinda rufaa.
Hoja ya Mchungaji Mtikila ina mashiko hadi leo.Kuna wakati maamuzi ya chama yanakinzana na matarajio ya wanachama.
Imeyeyushwa na 'Maridhiano'. Siasa=Si-hasa=Si kweliAgenda ya katiba mpya ilitakiwa iwe agenda ya kudumu kwa chademaš¤
Naamini atarudia Tu. Hatujui kwenye 'Maridhiano' walikubaliana nini.Atazama nao kwenye shimo. Akirudia hivi 2025 ndipo CHADEMA itapotea mazima.
Hao wananchi wanakuungaje mkono kipindi cha uchaguzi ambapo wagombea wako wameenguliwa?Itachukua muda, ila kushiriki kwao ndiko kutakaowafanya wananchi wawaunge mkono. Wasiposhiriki CCM itatumia huo mwanya kuwaonyesha wananchi kwamba wasichague chama kinachoogopa uchaguzi. Lakini wakishiriki na kufanyika madudu wananchi watazinduka na kusema ngoja wawaunge mkono. Hata kwenye mashindano ya michezo ni heri timu ishiriki na ifanyiwe faulo, maana mashabiki wataona, kuliko ile ambayo haishiriki maana mashabiki hawataelewa - wanahitaji waone. Kushiriki uchaguzi na kufanyiwa madudu ndiko kunskoleta support ya wananchi. Siku moja nili'share' na watu niliosoma nao kwenye group letu kwamba sijawahi kushiriki uchaguzi wowote tangu mwaka 2020. Wadau walinipakia sana, wakisema "watu wote wangekuwa kama wewe Botswana chama cha upinzani kingrdhinda?" Nikatafakari, nikaona ni kweli, maana unaweza kususia uchaguzi kumbe mwaka huo ndio wananchi wsmesmua wakuunge mkono, sasa utashindaje kama hudjiriki uchaguzi? Upo hapo?
Too bad kitaingia kwenye mifumo ile ile iliyowekwa na serikali na kitakuwa weaked, aka chadema 2.0Siku kikiibuka chama kipya chenye nguvu kipesa ambacho ni Cha kizalendo kweli kweli na sio maigizo ndio mwanzo wa chadema kukosa wafuasi
Hapana. Ni vizuri washiriki, na kwa kushiriki kwao wananchi wanajionea wenyewe kinachofanyika, na siku moja watakuja kuchukua hatua. Kwa huko, nyuma Chadema walipokuwa wakisusia wananchi walikuwa hawawaelewi. Na ni katika kushiriki mchakato ndipo madudu kama haya yanaibuka, then wananchi wanajionea wenyewe. Kutoshiriki kunawafanya CCM washinde asubuhi kweupe. Hata kwenye kesi usiposhiriki, uamuzi unatoelewa dhidi yako. Lakini ukishiriki na kuonewa, angalau unaweza kukata rufaa na uamuzi kubadilishwa.