Viongozi haswa vijana wanalo la kujifunza kutoka kwa Makonda

Viongozi haswa vijana wanalo la kujifunza kutoka kwa Makonda

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Nichukue fursa hii adhimu nikiungana na watanzania kwa mamilioni waliofurahishwa na uteuzi wa Jembe na kiboko ya wahuni ndg.Paul Makonda.

Hakuna atakayebisha kuwa Makonda ameonesha integrity ya hali ya juu kwani toka apumzishwe sikuwahi kumsikia akiropoka kwenye media yoyote wala kujibu matusi na umbea wa mitandaoni.

Hatimaye Jembe Makonda limerudi kuchangamsha nchi.

Hongera Sana Kiongozi na kazi iendelee
 
Kama ilivyokuwa kwa Waziri Mkuu, hata Makonda hatakuwa na jipya katika utawala huu. Kung'aa kwake kulitokana na imani kubwa aliyokuwa nayo JPM juu yake.

Katika utawala huu atakutana na kundi la Msoga, na atafanya kazi sambamba na Kinana. Siasa zake za kiharamia hazitakuwa na nafasi tena. Sana sana atakuwa tu kama mbwa mbwekaji afugwaye sehemu za Uswazi, atatumika kujibu hoja za CDM juu juu kwa akili ndogo na vitisho.
 
Back
Top Bottom