Mtu mwovu sana au mzuri sana, hakosi kuzungumziwa. Ni decades ngapi zimepita tangu Hitler afariki, lakini bado anazungumziwa?True! Njia pekee ya kumsahau kwa waliompinga ni kutomzungumzia. Ona sasa kilichompata mh. diallo, kamsema vibaya matokeo yake kashusha heshima yake kwa kiwango ambacho hakuwahi kudhani. Si rahisi kwenda mbele ya media kuomba radhi kwa mambo uliyozungumza muda mfupi uliopita.
Kuwa na mwazo tofauti ni haki kabisa kikatiba. Tatizo ni pale baadhi ya watu wanapolazimisha mawazo yao yawe sawa na wengine mpaka kufikia hatua ya kutumia lugha zisizofaa. Unawezaje kumwita kiongozi tena wa juu kabisa ktk nchi kuwa ni "mwendawazimu"Magufuli ameacha legacy ambayo haitafutika. His leadership caused suffering and pain to the nation. He was good for nothing.
Ukiona Kassim Majaliwa amevaa barakoa ujue naye anaongea yake kimyakimya...Baada ya kutokea kifo cha Hayati Magufuli, kumekuwa na mitizamo tofauti tofauti juu ya uongozi wake. Upande mmoja ukisema Magufuli alikuwa anaongoza nchi vizuri sana wengine wakisema aliongoza nchi vibaya vibaya mno!!.
Hawa hapa ni baadhi ya viongozi wa Serikali na wa Chama cha Mapinduzi waliosema alikuwa anaongoza nchi vibaya sana. Kwa lugha nyepesi wanafurahi kwa mabadiliko haya ya kiuongozi japo wanasikitika kwa binadamu mwenzetu kufariki dunia.
1; Stephen Wasira alikuwa akihojiwa na tv moja akasema nchi sasa ina furaha. Furaha imeongezeka miongoni mwa watanzania kwa utawala mpya. Hiyo ina maana nchi ilikuwa kwenye huzuni kubwa.
2; Mwanasheria Mkuu Mstaafu, Jaji Werema akasema sio siri kwamba tulikuwa na utawala ambao wote tuliufyata, sasa tunapaswa kuwa na Katiba Mpya itakayompa kila mtu uhuru, sio hii iliyompa kila kitu mtu mmoja kuamua kila kitu.
3; Anthony Diallo , huyu ndio alienda mbali sana na kusema tulimkabidhi nchi mtu aliyekuwa na faili Milembe. Biashara zikavurugika. Kiukweli tulikuwa na hali mbaya. Na kushauri huko mbele tusirudie.
4; GAG msitaafu Profesa Assad akasema suala la Katiba Mpya halizuiliki tunaweza kupishana lini ipatikane lakn ni la lazima kwasababu tumetoka kwenye utawala uliovunja katiba kwa hali ya juu. Hivyo tunapaswa kujenga taasisi imara za kudhibiti viongozi.
5; Huyu wa tano nimuweke mama la mama . Yeye huwa hasemi ila anasema kwa vitendo. Kaingia tuu na kusema. TRA mlikuwa mnabambikia kodi ovyo.
Polisi mlikuwa mnabambikia kesi za uongo futeni. Taasisi ya kuzuia rushwa nanyi hamkuwa mbali.
Pesa zilizoporwa na TRA zirudishwe, sijui kesi za uhujumu uchumi na wale walioonewa warudishiwe pesa zao. Viongozi wasiofata miiko ya kazi tupa kule kamtolea mfano Sabaya. Mama anaupiga mwingi ila hasemi nani aliyekuwa anapoteza pasi zisifike uwanja mzima.
Wapo na wengine wengi ukiachilia mbali akina sisi tusio na majina. Tunafuraha kwa mabadiriko haya ya kiuongozi yameleta nuru baada ya giza nene. hata wawekezaji wamesema sasa tunaweza kuja kuwekeza baada ya kuondoka yule na kuja huyu. Hili alilisema Aliko Dangote.
Je, wewe uko upande gani?
Pia tunaweza kuweka na maoni ya viongozi wengine zaid ya hawa.
Uchumi wa wauza madawa ya kulevya ya club billicanas uliharibika vibaya na sasa wanajaribu kuufufua kwa kuwatoa punda wao magerezani.Wajinga walioishi katika ujinga na unafiki, wangeweza kumchagua Magufuli, lakini yeye mwenyewe alikuwa anajua kuwa kwenye uchaguzi wa haki asingechahuliwa, ndiyo maana aliamua kuharibu uchaguzi.
Mtu kama una akili timamu, ungempa Magufuli kura kwa sababu gani?
1) uchumi aliuharibu kwa kiwango cha hali ya juu
2) demokrasia aliichafua kwa namna ya ajabu
3) haki za raia alizikanyaga kwa nna ambayo haijawahi kushuhudiwa
4) uhuru wa vyombo vya habari aiuua
5) umoja wa kitaifa aliutekeza kwa kuendekeza upendeleo na ubaguzi
6) haki za watu za kuishi hakuziheshimu. Kwa kutumia magenge ya wauaji aliwau, kutrka na kupoteza kila ambaye alimkosoa kwa uwazi
7) mahusiano mazuri ya kimataifa aliyoyakuta aliyanyongelea mbali akaendekeza primitive politics
Bora mafisadi warudi, mfumuko wa bei uongezeke lakini tuwe na amani mioyoni. Acha tuendelee kumshukuru Mungu kwa kutufanyia wepesi....Mtasemaaa weee ila ukweli mnaujuaaa...maumivuu yanawaingiaaa tartibuu..mafisadi yanavyoanza kurudii...bei za mafuta kupanda..zambia wanapitisha hapa hapa mafuta ila kwao bei chini hapa kwa mwigulu bei iko juu..
Sara msafiri kagundua uwizi wa mafuta kigamboni kesho yake kahamishwaa na ukuu wa willayaa..
Makusanyo ya kodi yameshukaa kwa kuwabembelezaa mafisadi walipe kodi..
Subiri tuu chamoto utakipata mana ww pia unaenda dukani..
Time will tell jooombaa..
Uchumi wa kati my foot.Uchumi wa wauza madawa ya kulevya ya club billicanas uliharibika vibaya na sasa wanajaribu kuufufua kwa kuwatoa punda wao magerezani.
Lakini uchumi wa Tanzania kwa mjibu wa rekodi za world bank uliingia uchumi wa kati chini JPM
Uko sahihi...Hakuna tawala nzuri wala mbaya... Kila tawala inapitia changamoto zake...
Hata tuongozwe na malaika bado binadamu tutamlalamikia huyo malaika...
Legacy ya Mwendawazimu unjipa moyo.Kadiri siku zinavyoenda ndiyo JPM anapata umaarufu na kuimarisha "legasi".
Labda umfuate jehanamuMy best President
Namkubali sana
Nilimpigia kura
Hata akifufuka leo nampigia tena
Pumzika salama rais wangu Tutaonana Paradiso
Ndio uhuru wenyewe. kila mtu atoe hisia zake alivomuona. Maana hata wewe hujakatazwa kumuita shujaa au malaika mkuu.Kuwa na mwazo tofauti ni haki kabisa kikatiba. Tatizo ni pale baadhi ya watu wanapolazimisha mawazo yao yawe sawa na wengine mpaka kufikia hatua ya kutumia lugha zisizofaa. Unawezaje kumwita kiongozi tena wa juu kabisa ktk nchi kuwa ni "mwendawazimu"
Kadiri siku zinavyoenda ndiyo JPM anapata umaarufu na kuimarisha "legasi".
Hakuna unachokijua. Wewe unaongea kwa ushabiki.Uchumi wa wauza madawa ya kulevya ya club billicanas uliharibika vibaya na sasa wanajaribu kuufufua kwa kuwatoa punda wao magerezani.
Lakini uchumi wa Tanzania kwa mjibu wa rekodi za world bank uliingia uchumi wa kati chini JPM
Hakuna unachokijua. Wewe unaongea kwa ushabiki.
Ukuuaji wa uchumi ulianguka toka 7.5% mpaka 4.5%. Uchumi ulikuwa unakua lakini kwa rate ndogo sana ukilinganisha na watangukizi wake. Mkapa aliipandisha per capita income kwa $400, Kikwete alipandisha kwa $380 lakini marehemu kwa miaka 5 alipandisha kwa $80 tu. Ni sawa na mtu akusafirishe toka Kigoma mpaka Singida, na mwingine akusafirishe toka Singida mpaka Kibaha, halafu mwingine akatoe Kibaha mpaka Dar, na wewe ukabakia kumsifia aliyekutoa Kibaha kukufikisha Dar (Magufuli) ukamsahau aliyekutoa Kigoma mpaka Singida (Mkapa), na Kutoka Singida mpaka Kibaha (Kikwete).
Hao wote uliowataja akiondoka ngao yao itabidi wanene vyema kwa ufasaha.Baada ya kutokea kifo cha Hayati Magufuli, kumekuwa na mitizamo tofauti tofauti juu ya uongozi wake. Upande mmoja ukisema Magufuli alikuwa anaongoza nchi vizuri sana wengine wakisema aliongoza nchi vibaya vibaya mno!!.
Hawa hapa ni baadhi ya viongozi wa Serikali na wa Chama cha Mapinduzi waliosema alikuwa anaongoza nchi vibaya sana. Kwa lugha nyepesi wanafurahi kwa mabadiliko haya ya kiuongozi japo wanasikitika kwa binadamu mwenzetu kufariki dunia.
1; Stephen Wasira alikuwa akihojiwa na tv moja akasema nchi sasa ina furaha. Furaha imeongezeka miongoni mwa watanzania kwa utawala mpya. Hiyo ina maana nchi ilikuwa kwenye huzuni kubwa.
2; Mwanasheria Mkuu Mstaafu, Jaji Werema akasema sio siri kwamba tulikuwa na utawala ambao wote tuliufyata, sasa tunapaswa kuwa na Katiba Mpya itakayompa kila mtu uhuru, sio hii iliyompa kila kitu mtu mmoja kuamua kila kitu.
3; Anthony Diallo , huyu ndio alienda mbali sana na kusema tulimkabidhi nchi mtu aliyekuwa na faili Milembe. Biashara zikavurugika. Kiukweli tulikuwa na hali mbaya. Na kushauri huko mbele tusirudie.
4; GAG msitaafu Profesa Assad akasema suala la Katiba Mpya halizuiliki tunaweza kupishana lini ipatikane lakn ni la lazima kwasababu tumetoka kwenye utawala uliovunja katiba kwa hali ya juu. Hivyo tunapaswa kujenga taasisi imara za kudhibiti viongozi.
5; Huyu wa tano nimuweke mama la mama . Yeye huwa hasemi ila anasema kwa vitendo. Kaingia tuu na kusema. TRA mlikuwa mnabambikia kodi ovyo.
Polisi mlikuwa mnabambikia kesi za uongo futeni. Taasisi ya kuzuia rushwa nanyi hamkuwa mbali.
Pesa zilizoporwa na TRA zirudishwe, sijui kesi za uhujumu uchumi na wale walioonewa warudishiwe pesa zao. Viongozi wasiofata miiko ya kazi tupa kule kamtolea mfano Sabaya. Mama anaupiga mwingi ila hasemi nani aliyekuwa anapoteza pasi zisifike uwanja mzima.
Wapo na wengine wengi ukiachilia mbali akina sisi tusio na majina. Tunafuraha kwa mabadiriko haya ya kiuongozi yameleta nuru baada ya giza nene. hata wawekezaji wamesema sasa tunaweza kuja kuwekeza baada ya kuondoka yule na kuja huyu. Hili alilisema Aliko Dangote.
Je, wewe uko upande gani?
Pia tunaweza kuweka na maoni ya viongozi wengine zaid ya hawa.
mwenye macho hambiwi tizama.Baada ya kutokea kifo cha Hayati Magufuli, kumekuwa na mitizamo tofauti tofauti juu ya uongozi wake. Upande mmoja ukisema Magufuli alikuwa anaongoza nchi vizuri sana wengine wakisema aliongoza nchi vibaya vibaya mno!!.
Hawa hapa ni baadhi ya viongozi wa Serikali na wa Chama cha Mapinduzi waliosema alikuwa anaongoza nchi vibaya sana. Kwa lugha nyepesi wanafurahi kwa mabadiliko haya ya kiuongozi japo wanasikitika kwa binadamu mwenzetu kufariki dunia.
1; Stephen Wasira alikuwa akihojiwa na tv moja akasema nchi sasa ina furaha. Furaha imeongezeka miongoni mwa watanzania kwa utawala mpya. Hiyo ina maana nchi ilikuwa kwenye huzuni kubwa.
2; Mwanasheria Mkuu Mstaafu, Jaji Werema akasema sio siri kwamba tulikuwa na utawala ambao wote tuliufyata, sasa tunapaswa kuwa na Katiba Mpya itakayompa kila mtu uhuru, sio hii iliyompa kila kitu mtu mmoja kuamua kila kitu.
3; Anthony Diallo , huyu ndio alienda mbali sana na kusema tulimkabidhi nchi mtu aliyekuwa na faili Milembe. Biashara zikavurugika. Kiukweli tulikuwa na hali mbaya. Na kushauri huko mbele tusirudie.
4; GAG msitaafu Profesa Assad akasema suala la Katiba Mpya halizuiliki tunaweza kupishana lini ipatikane lakn ni la lazima kwasababu tumetoka kwenye utawala uliovunja katiba kwa hali ya juu. Hivyo tunapaswa kujenga taasisi imara za kudhibiti viongozi.
5; Huyu wa tano nimuweke mama la mama . Yeye huwa hasemi ila anasema kwa vitendo. Kaingia tuu na kusema. TRA mlikuwa mnabambikia kodi ovyo.
Polisi mlikuwa mnabambikia kesi za uongo futeni. Taasisi ya kuzuia rushwa nanyi hamkuwa mbali.
Pesa zilizoporwa na TRA zirudishwe, sijui kesi za uhujumu uchumi na wale walioonewa warudishiwe pesa zao. Viongozi wasiofata miiko ya kazi tupa kule kamtolea mfano Sabaya. Mama anaupiga mwingi ila hasemi nani aliyekuwa anapoteza pasi zisifike uwanja mzima.
Wapo na wengine wengi ukiachilia mbali akina sisi tusio na majina. Tunafuraha kwa mabadiriko haya ya kiuongozi yameleta nuru baada ya giza nene. hata wawekezaji wamesema sasa tunaweza kuja kuwekeza baada ya kuondoka yule na kuja huyu. Hili alilisema Aliko Dangote.
Je, wewe uko upande gani?
Pia tunaweza kuweka na maoni ya viongozi wengine zaid ya hawa.
Kumbe world bank walikuwa wanajipendekeza kwa JPM kwa kusema tumeingia uchumi wa kati?Hakuna unachokijua. Wewe unaongea kwa ushabiki.
Ukuuaji wa uchumi ulianguka toka 7.5% mpaka 4.5%. Uchumi ulikuwa unakua lakini kwa rate ndogo sana ukilinganisha na watangukizi wake. Mkapa aliipandisha per capita income kwa $400, Kikwete alipandisha kwa $380 lakini marehemu kwa miaka 5 alipandisha kwa $80 tu. Ni sawa na mtu akusafirishe toka Kigoma mpaka Singida, na mwingine akusafirishe toka Singida mpaka Kibaha, halafu mwingine akatoe Kibaha mpaka Dar, na wewe ukabakia kumsifia aliyekutoa Kibaha kukufikisha Dar (Magufuli) ukamsahau aliyekutoa Kigoma mpaka Singida (Mkapa), na Kutoka Singida mpaka Kibaha (Kikwete).