Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tatzo lako unawaza Kama unaendesha gari lenye site mirror 1 utagongwa aukugonga jifunzi kuendesha gari lenye site mirror zote mbili..Wajinga walioishi katika ujinga na unafiki, wangeweza kumchagua Magufuli, lakini yeye mwenyewe alikuwa anajua kuwa kwenye uchaguzi wa haki asingechahuliwa, ndiyo maana aliamua kuharibu uchaguzi.
Mtu kama una akili timamu, ungempa Magufuli kura kwa sababu gani?
1) Uchumi aliuharibu kwa kiwango cha hali ya juu
2) Demokrasia aliichafua kwa namna ya ajabu
3) Haki za raia alizikanyaga kwa nna ambayo haijawahi kushuhudiwa
4) Uhuru wa vyombo vya habari aiuua
5) Umoja wa kitaifa aliutekeza kwa kuendekeza upendeleo na ubaguzi
6) Haki za watu za kuishi hakuziheshimu. Kwa kutumia magenge ya wauaji aliwau, kutrka na kupoteza kila ambaye alimkosoa kwa uwazi
7) Mahusiano mazuri ya kimataifa aliyoyakuta aliyanyongelea mbali akaendekeza primitive politics
Ikitokea Kama wakafanya tu kupiga kura waweke picha ya jpm huku harafu wawakusanye wamaowaamin wawake upande mwingne.. nakuhakikishia Kama watapata 1% yaan tume itakuwa imewapa tu ili wasipate aibu..My best President
Namkubali sana
Nilimpigia kura
Hata akifufuka leo nampigia tena
Pumzika salama rais wangu Tutaonana Paradiso
Kuipigia chapuo kampuni yake binafsi, aibu!Wote hao ni wachumia tumbo, mama nae ana njia yake ya kuongoza
Labda wewe na wa Mirembe wenzako ndo mtamchagua " mwenzenu"Alafu sisi wananchi millioni 60 tunasema Magufuli aliongoza vizuri.
Ikiwekwa picha ya Magufuli vs hao viongozi tumchague nani bado picha ya Magufuli itawaacha mbali sana.
Mwehu Hawezi fufuka..labda umfate hukohukoMy best President
Namkubali sana
Nilimpigia kura
Hata akifufuka leo nampigia tena
Pumzika salama rais wangu Tutaonana Paradiso
Mwendazake aliiharibu mno nchi hii, wewe acha tu!Baada ya kutokea kifo cha Hayati Magufuli, kumekuwa na mitizamo tofauti tofauti juu ya uongozi wake. Upande mmoja ukisema Magufuli alikuwa anaongoza nchi vizuri sana wengine wakisema aliongoza nchi vibaya vibaya mno!
Hawa hapa ni baadhi ya viongozi wa Serikali na wa Chama cha Mapinduzi waliosema alikuwa anaongoza nchi vibaya sana. Kwa lugha nyepesi wanafurahi kwa mabadiliko haya ya kiuongozi japo wanasikitika kwa binadamu mwenzetu kufariki dunia.
1: Stephen Wasira alikuwa akihojiwa na tv moja akasema nchi sasa ina furaha. Furaha imeongezeka miongoni mwa Watanzania kwa utawala mpya. Hiyo ina maana nchi ilikuwa kwenye huzuni kubwa.
2: Mwanasheria Mkuu Mstaafu, Jaji Werema akasema sio siri kwamba tulikuwa na utawala ambao wote tuliufyata, sasa tunapaswa kuwa na Katiba Mpya itakayompa kila mtu uhuru, sio hii iliyompa kila kitu mtu mmoja kuamua kila kitu.
3: Anthony Diallo, huyu ndio alienda mbali sana na kusema tulimkabidhi nchi mtu aliyekuwa na faili Milembe. Biashara zikavurugika. Kiukweli tulikuwa na hali mbaya. Na kushauri huko mbele tusirudie.
4: GAG msitaafu Profesa Assad akasema suala la Katiba Mpya halizuiliki tunaweza kupishana lini ipatikane lakn ni la lazima kwasababu tumetoka kwenye utawala uliovunja katiba kwa hali ya juu. Hivyo tunapaswa kujenga taasisi imara za kudhibiti viongozi.
5: Huyu wa tano nimuweke mama la mama. Yeye huwa hasemi ila anasema kwa vitendo. Kaingia tu na kusema TRA mlikuwa mnabambikia kodi ovyo.
Polisi mlikuwa mnabambikia kesi za uongo futeni. Taasisi ya kuzuia rushwa nanyi hamkuwa mbali.
Pesa zilizoporwa na TRA zirudishwe, sijui kesi za uhujumu uchumi na wale walioonewa warudishiwe pesa zao. Viongozi wasiofata miiko ya kazi tupa kule kamtolea mfano Sabaya. Mama anaupiga mwingi ila hasemi nani aliyekuwa anapoteza pasi zisifike uwanja mzima.
Wapo na wengine wengi ukiachilia mbali akina sisi tusio na majina. Tunafuraha kwa mabadiriko haya ya kiuongozi yameleta nuru baada ya giza nene. Hata wawekezaji wamesema sasa tunaweza kuja kuwekeza baada ya kuondoka yule na kuja huyu. Hili alilisema Aliko Dangote.
Je, wewe uko upande gani?
Pia tunaweza kuweka na maoni ya viongozi wengine zaid ya hawa.
Huyu namba 2 nadhani ni yule mweiz wa escrow maana alikuwa na wasiwasi mda wote anngewwfuata akina sesi 'lakini inashangaza eti wezi ndo wanaona furaha imerudi hii inafikirisha kidogoMimi nafafanua tu kuunga mkono hoja kwamba tulipotea mazima kama Taifa. Tuhakikishe haturudi tena kwenye utawala dhalimu kama ule. Huyu namba 5 yaani Mama la Mama kaenda mbali na kusema nchi ilianguka hasa kiuchumi.
Namnukuu: Kuhusu Katiba naomba tusubiri kwanza niisimamishe nchi kiuchumi na hayo mengine yanazungumzika". Mwisho wa kunukuu.
Saa mtu Kama werema anakipi cha maana Kama sio mweiz tu Kama wezi wengine maana aliishi kwa wasiwasi kweli alidhani jpm angemuunganjsha na akina sethSwala ni moja Tu .Manyangumi wa uporaji ufidadi na kila takataka vilikuwa vimekita mizizi CCM. it's clear majority ya hawa hawa CCM, JPM hakuwa upande wao. Ukweli mchungu