Viongozi hawa wamesema Hayati Magufuli aliongoza nchi vibaya sana, wewe je?

Viongozi hawa wamesema Hayati Magufuli aliongoza nchi vibaya sana, wewe je?

Wewe lazima uni vamie mzimamzima kwa sababu hiyo ndiyo strategy yako ya kupata kick.

Yani mimi kukujibu ushafanya mtaji.

Mtaji wa nini bana, wakati sisi humu sote ni uzao wa kigogo. wanaojificha nyuma ya tanakirishii!!!?? humu wote sisi ni mazimwi. unaweza ukakuta unabishana na mii baba yako. 🤣 🤣 🤣
 
Mtaji wa nini bana, wakati sisi humu sote ni uzao wa kigogo. wanaojificha nyuma ya tanakirishii!!!?? humu wote sisi ni mazimwi. unaweza ukakuta unabishana na mii baba yako. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Nilishasema unatafuta kick.

Mara tu ushataka kuwa baba yangu![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukiona Kassim Majaliwa amevaa barakoa ujue naye anaongea yake kimyakimya...

Yule mama wa afya kavigeuka vitunguu na malimao, hivi sasa anatuambia tuvae barakoa...

Mwigulu Nchemba anazirudisha Bureau de Change...

Ndugai anasema Bandari ya Bagamoyo ijengwe...

Wengi hawasemi moja kwa moja ila utajua tu kuwa wako kinyume kabisa na mwendakuzimu

Wako ambao walikuwa ni watetezi wa jamii lakini wakasulubiwa na kuteswa..binadamu ndivyo tulivyo...muda utafika na tutaufahamu ukweli na legacy ...
 
Wote wana jipima kipitia yeye ...mzimu unao tembea
Na huku duniani hata uwe mwema vipi mkuu siku ukifa jua wapo wataokusema vbaya na wapo wataokukumbuka kwa mema.... Mimi sio CCM ila hakuna kauli inaniuma kama alivyosema nimejitoa kwaajili yenu!!!! Yule mwamba alikuwa ni bonge la kiongozi aliweza kuona mbali na nchi kama tz bado tunahitaji maraisi wa namna ya magu.... Sitaki kusema aliyoyafanya cuz wote tunajua na Mama ngoja tuendelee kumpa muda ni mapema sana kumlinganisha na magu"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kutokea kifo cha Hayati Magufuli, kumekuwa na mitizamo tofauti tofauti juu ya uongozi wake. Upande mmoja ukisema Magufuli alikuwa anaongoza nchi vizuri sana wengine wakisema aliongoza nchi vibaya vibaya mno!

Hawa hapa ni baadhi ya viongozi wa Serikali na wa Chama cha Mapinduzi waliosema alikuwa anaongoza nchi vibaya sana. Kwa lugha nyepesi wanafurahi kwa mabadiliko haya ya kiuongozi japo wanasikitika kwa binadamu mwenzetu kufariki dunia.

1: Stephen Wasira alikuwa akihojiwa na tv moja akasema nchi sasa ina furaha. Furaha imeongezeka miongoni mwa Watanzania kwa utawala mpya. Hiyo ina maana nchi ilikuwa kwenye huzuni kubwa.

2: Mwanasheria Mkuu Mstaafu, Jaji Werema akasema sio siri kwamba tulikuwa na utawala ambao wote tuliufyata, sasa tunapaswa kuwa na Katiba Mpya itakayompa kila mtu uhuru, sio hii iliyompa kila kitu mtu mmoja kuamua kila kitu.

3: Anthony Diallo, huyu ndio alienda mbali sana na kusema tulimkabidhi nchi mtu aliyekuwa na faili Milembe. Biashara zikavurugika. Kiukweli tulikuwa na hali mbaya. Na kushauri huko mbele tusirudie.

4: GAG msitaafu Profesa Assad akasema suala la Katiba Mpya halizuiliki tunaweza kupishana lini ipatikane lakn ni la lazima kwasababu tumetoka kwenye utawala uliovunja katiba kwa hali ya juu. Hivyo tunapaswa kujenga taasisi imara za kudhibiti viongozi.

5: Huyu wa tano nimuweke mama la mama. Yeye huwa hasemi ila anasema kwa vitendo. Kaingia tu na kusema TRA mlikuwa mnabambikia kodi ovyo.

Polisi mlikuwa mnabambikia kesi za uongo futeni. Taasisi ya kuzuia rushwa nanyi hamkuwa mbali.

Pesa zilizoporwa na TRA zirudishwe, sijui kesi za uhujumu uchumi na wale walioonewa warudishiwe pesa zao. Viongozi wasiofata miiko ya kazi tupa kule kamtolea mfano Sabaya. Mama anaupiga mwingi ila hasemi nani aliyekuwa anapoteza pasi zisifike uwanja mzima.

Wapo na wengine wengi ukiachilia mbali akina sisi tusio na majina. Tunafuraha kwa mabadiriko haya ya kiuongozi yameleta nuru baada ya giza nene. Hata wawekezaji wamesema sasa tunaweza kuja kuwekeza baada ya kuondoka yule na kuja huyu. Hili alilisema Aliko Dangote.

Je, wewe uko upande gani?

Pia tunaweza kuweka na maoni ya viongozi wengine zaid ya hawa.
Chanzo Cha Matatizo sijawahi kuwamini hata kidogo ni Amoeba hawa wajameni.
 
JPM ni jembe Sana aliwafanya mukumbuke hii Dunia sio yenu Tz sio kwa ajili ya watu Fulani tu Wala chama sio kwa ajili ya wakongwe Uongozi maana yake ni mamlaka na yeye aliweza kuyabeba mamlaka vizuri hii nchi bado sana ilikuwa inamwitaji Magufuli kuliko hao viongozi uliowataja hapo Juu.

Katiba ni haki ya kila mtanzania lakini katiba haitobadili life status yako. fanya kazi tafuta tobo utoboe

Namkumbuka Jk. Kwa vyandarua vya bure na madawati shuleni tu.
 
[QUOTE="nygax, post: 39609626, member: Unawezaje kumwita kiongozi tena wa juu kabisa ktk nchi kuwa ni "mwendawazimu"
[/QUOTE]
aliwahi kusema hakupeleka maendeleo baadhi ya wilaya kwa sababu yanaongozwa na upinzani, kuna jina lingine la kumwita mtu huyu zaidi ya mwendawazimu?
 
Kuwa na mwazo tofauti ni haki kabisa kikatiba. Tatizo ni pale baadhi ya watu wanapolazimisha mawazo yao yawe sawa na wengine mpaka kufikia hatua ya kutumia lugha zisizofaa. Unawezaje kumwita kiongozi tena wa juu kabisa ktk nchi kuwa ni "mwendawazimu"
aliwahi kusema hakupeleka maendeleo baadhi ya wilaya kwa sababu yanaongozwa na upinzani, kuna jina lingine la kumwita mtu huyu zaidi ya mwendawazimu?
 
Nilishasema unatafuta kick.

Mara tu ushataka kuwa baba yangu![emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kiranga bana, humu wote ni mazombie. hatujuani, hizo kiki zinaanzia wapi? tungekuwa kwenye ulimwengu wa kawaida ingekuwa sawa.
 
Kiranga bana, humu wote ni mazombie. hatujuani, hizo kiki zinaanzia wapi? tungekuwa kwenye ulimwengu wa kawaida ingekuwa sawa.
Hujaijua saikolojia ya mtu.

Ingekuwa hivyo watu wasingefurushana na kutukanana hapa. Mtu anatukanwa hapa hajuani na mtu yeyote, lakini anajisikia vibaya sana mpaka analia.
 
Hujajijua saikolojia ya mtu.

Ingekuwa hivyo watu wasingefurushana na kutukanana hapa. Mtu anatukanwa hapa hajuani na mtu yeyote, lakini anajisikia vibaya sana mpaka analia.

🤣 🤣 🤣
Pole yao, mavitu ya humu unayakuta na kuyaacha humuhumu. ukitoka nayo nje ni shidaa.
 
"The creatures outside looked from pig to man,and from man to pig,and from pig to man again,but already it was impossible to say which was which"


Nimekaa kujiuliza hawa watu ndo wale wale wa miezi sita iliopita duh😆😆
 
Umemsahau mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, mkoa wa Pwani (jina nimelisahau). Yeye alisema kuwa Bashiru na Polepole hawastahili kushika nafasi yoyote kwenye chama maana wamekiharibu sana chama.

Akasema, angalia sasa, bungeni, CCM ina wabunge robo tatu ambao hawakupitishwa kwenye kura za maoni. Waliwakata wagombea waliopitishwa na wajumbe, wakawapachika wa kwao. Japo hamkumtaja marehemu moja kwa moja, lakini marehemu ndiye alikuwa kinara kwa sababu ndiye alikuwa Mwenyekiti wa Chama.
Kama kumbukumbu zako zipo sawa utakumbuka msimamo wa chama uliotolewa kabla ya kura za maoni, kwamba ukitoa rushwa na ikathibitika hata kama wajumbe wote watakuchagua jina lako likienda Kamati Kuu lazima wakukate. Huyo jamaa uliyemtolea mfano ni miongoni mwa watu waliokatwa kutokana na tuhuma za rushwa. Hasira zake akaja kusema polepole na Bashiru hawafai, wakati yeye ndo hafai na ni aina ya watu ambao JPM alikua anajaribu kuwaweka mbali na uongozi wa chama na Serikali.

Wakati wa Uongozi wa Awamu ya Nne, watu wa aina hii ndo waliokuwa wanakumbatiwa na chama, matokeo yake almanusura chama kididimie shimoni.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
Paradiso atakuwepo?
"Hata kama dhambi zenu ni nyekundu,nitazisafisha zitakuwa nyeupe kama theluji"
Hakuna aliyemkamilifu chini ya jua,kama rais wangu alipata wasaa wa kutubu na kufanya ibada kabla Israel hajainyakua rohoni yake,basi naamini rais wangu yuko sehemu salama kabisa!!.
 
Baada ya kutokea kifo cha Hayati Magufuli, kumekuwa na mitizamo tofauti tofauti juu ya uongozi wake. Upande mmoja ukisema Magufuli alikuwa anaongoza nchi vizuri sana wengine wakisema aliongoza nchi vibaya vibaya mno!

Hawa hapa ni baadhi ya viongozi wa Serikali na wa Chama cha Mapinduzi waliosema alikuwa anaongoza nchi vibaya sana. Kwa lugha nyepesi wanafurahi kwa mabadiliko haya ya kiuongozi japo wanasikitika kwa binadamu mwenzetu kufariki dunia.

1: Stephen Wasira alikuwa akihojiwa na tv moja akasema nchi sasa ina furaha. Furaha imeongezeka miongoni mwa Watanzania kwa utawala mpya. Hiyo ina maana nchi ilikuwa kwenye huzuni kubwa.

2: Mwanasheria Mkuu Mstaafu, Jaji Werema akasema sio siri kwamba tulikuwa na utawala ambao wote tuliufyata, sasa tunapaswa kuwa na Katiba Mpya itakayompa kila mtu uhuru, sio hii iliyompa kila kitu mtu mmoja kuamua kila kitu.

3: Anthony Diallo, huyu ndio alienda mbali sana na kusema tulimkabidhi nchi mtu aliyekuwa na faili Milembe. Biashara zikavurugika. Kiukweli tulikuwa na hali mbaya. Na kushauri huko mbele tusirudie.

4: GAG msitaafu Profesa Assad akasema suala la Katiba Mpya halizuiliki tunaweza kupishana lini ipatikane lakn ni la lazima kwasababu tumetoka kwenye utawala uliovunja katiba kwa hali ya juu. Hivyo tunapaswa kujenga taasisi imara za kudhibiti viongozi.

5: Huyu wa tano nimuweke mama la mama. Yeye huwa hasemi ila anasema kwa vitendo. Kaingia tu na kusema TRA mlikuwa mnabambikia kodi ovyo.

Polisi mlikuwa mnabambikia kesi za uongo futeni. Taasisi ya kuzuia rushwa nanyi hamkuwa mbali.

Pesa zilizoporwa na TRA zirudishwe, sijui kesi za uhujumu uchumi na wale walioonewa warudishiwe pesa zao. Viongozi wasiofata miiko ya kazi tupa kule kamtolea mfano Sabaya. Mama anaupiga mwingi ila hasemi nani aliyekuwa anapoteza pasi zisifike uwanja mzima.

Wapo na wengine wengi ukiachilia mbali akina sisi tusio na majina. Tunafuraha kwa mabadiriko haya ya kiuongozi yameleta nuru baada ya giza nene. Hata wawekezaji wamesema sasa tunaweza kuja kuwekeza baada ya kuondoka yule na kuja huyu. Hili alilisema Aliko Dangote.

Je, wewe uko upande gani?

Pia tunaweza kuweka na maoni ya viongozi wengine zaid ya hawa.
Halafu utashangaa kuna wana CCM wanakattaa, yaani hivi vitoto vya juzi vinajifanya vinaijua CCM kuliko Wasira na Diallo.
 
"Hata kama dhambi zenu ni nyekundu,nitazisafisha zitakuwa nyeupe kama theluji"
Hakuna aliyemkamilifu chini ya jua,kama rais wangu alipata wasaa wa kutubu na kufanya ibada kabla Israel hajainyakua rohoni yake,basi naamini rais wangu yuko sehemu salama kabisa!!.
Hahahaha
 
Baada ya kutokea kifo cha Hayati Magufuli, kumekuwa na mitizamo tofauti tofauti juu ya uongozi wake. Upande mmoja ukisema Magufuli alikuwa anaongoza nchi vizuri sana wengine wakisema aliongoza nchi vibaya vibaya mno!

Hawa hapa ni baadhi ya viongozi wa Serikali na wa Chama cha Mapinduzi waliosema alikuwa anaongoza nchi vibaya sana. Kwa lugha nyepesi wanafurahi kwa mabadiliko haya ya kiuongozi japo wanasikitika kwa binadamu mwenzetu kufariki dunia.

1: Stephen Wasira alikuwa akihojiwa na tv moja akasema nchi sasa ina furaha. Furaha imeongezeka miongoni mwa Watanzania kwa utawala mpya. Hiyo ina maana nchi ilikuwa kwenye huzuni kubwa.

2: Mwanasheria Mkuu Mstaafu, Jaji Werema akasema sio siri kwamba tulikuwa na utawala ambao wote tuliufyata, sasa tunapaswa kuwa na Katiba Mpya itakayompa kila mtu uhuru, sio hii iliyompa kila kitu mtu mmoja kuamua kila kitu.

3: Anthony Diallo, huyu ndio alienda mbali sana na kusema tulimkabidhi nchi mtu aliyekuwa na faili Milembe. Biashara zikavurugika. Kiukweli tulikuwa na hali mbaya. Na kushauri huko mbele tusirudie.

4: GAG msitaafu Profesa Assad akasema suala la Katiba Mpya halizuiliki tunaweza kupishana lini ipatikane lakn ni la lazima kwasababu tumetoka kwenye utawala uliovunja katiba kwa hali ya juu. Hivyo tunapaswa kujenga taasisi imara za kudhibiti viongozi.

5: Huyu wa tano nimuweke mama la mama. Yeye huwa hasemi ila anasema kwa vitendo. Kaingia tu na kusema TRA mlikuwa mnabambikia kodi ovyo.

Polisi mlikuwa mnabambikia kesi za uongo futeni. Taasisi ya kuzuia rushwa nanyi hamkuwa mbali.

Pesa zilizoporwa na TRA zirudishwe, sijui kesi za uhujumu uchumi na wale walioonewa warudishiwe pesa zao. Viongozi wasiofata miiko ya kazi tupa kule kamtolea mfano Sabaya. Mama anaupiga mwingi ila hasemi nani aliyekuwa anapoteza pasi zisifike uwanja mzima.

Wapo na wengine wengi ukiachilia mbali akina sisi tusio na majina. Tunafuraha kwa mabadiriko haya ya kiuongozi yameleta nuru baada ya giza nene. Hata wawekezaji wamesema sasa tunaweza kuja kuwekeza baada ya kuondoka yule na kuja huyu. Hili alilisema Aliko Dangote.

Je, wewe uko upande gani?

Pia tunaweza kuweka na maoni ya viongozi wengine zaid ya hawa.
 
Huyu Je??

IMG-20210712-WA0022.jpg
 
Back
Top Bottom