Viongozi kumi (10) Bora Tanzania

Viongozi kumi (10) Bora Tanzania

Tanzania imebahatika kuwa moja ya nchi iliyopata kuwa na viongozi bora kabisa Afrika na hata duniani kwa ujumla.Viongozi hao wamepata kuwa na mchango mkubwa Tanzania na hata kwa bara la Africa.Tunaona mifano ya Mwl.Julius Kambarage Nyerere ambaye amepigania uhuru si kwa nchi ya Tanzania tu bali amekuwa na mchango mkubwa katika harakati za uhuru kwa nchi jirani kama Afrika Kusini,Zambia na Msumbiji.Tanzania pia imepata kuwa na wanaharakati na wapigania uhuru mahiri walioweza kuitwaa nchi kutoka katika kucha za wakoloni.Tunaona wapigania uhuru na wanaharakati kama Kinjekitile Ngwale, Bwana Abushiri na Bibi Titi Mohammed.Viongozi kama Mtemi Isike,Chifu Mirambo,Mangi Meli na wengineo wengi ambao walikuwa viongozi wa kimila walikuwa mstari wa mbele katika mapambano ya uhuru na hatimaye kuikomboa na kutupatia Tanzania hii tunayoifurahia leo.

Bila kupoteza muda, Naomba niweke orodha fupi ya viongozi waliopata kuongoza Tanzania walioacha alama kubwa na historia ya kipekee kwa ubora wao na uwezo wao wa kiuongozi ambao pasi na shaka uliacha alama kubwa kwa watanzania.

Kwa sasa nitaweka orodha tu kwa kifupi ila nitarejea kuelezea kila mmoja kwa undani zaidi.Pamoja na kuongeza orodha mpaka kufikia kumi (10) Bora.

Viongozi watatu (3) bora kuwahi kuwepo Tanzania

1. Mwl.Julius Kambarage Nyerere ( Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania)

View attachment 1752017

2. Edward Moringe Sokoine ( Waziri Mkuu wa Tanzania 1977–1980 na 1983 - 1984)

View attachment 1752018

3. John Pombe Magufuli (Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania)

View attachment 1752024

Nyongeza;

4. Chief Mkwavinyika Munyigumba Mwamuyinga (Mkwawa) - Chifu wa kabila la Wahehe

View attachment 1752029


5. Benjamin William Mkapa (Rais wa Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania)

View attachment 1752030
SAwa KAbisa hujakosea. Jamani Mzalendo gani awaandikie vitabu hawa viongozi wetu?
 
Tanzania imebahatika kuwa moja ya nchi iliyopata kuwa na viongozi bora kabisa Afrika na hata duniani kwa ujumla.Viongozi hao wamepata kuwa na mchango mkubwa Tanzania na hata kwa bara la Africa.Tunaona mifano ya Mwl.Julius Kambarage Nyerere ambaye amepigania uhuru si kwa nchi ya Tanzania tu bali amekuwa na mchango mkubwa katika harakati za uhuru kwa nchi jirani kama Afrika Kusini,Zambia na Msumbiji.Tanzania pia imepata kuwa na wanaharakati na wapigania uhuru mahiri walioweza kuitwaa nchi kutoka katika kucha za wakoloni.Tunaona wapigania uhuru na wanaharakati kama Kinjekitile Ngwale, Bwana Abushiri na Bibi Titi Mohammed.Viongozi kama Mtemi Isike,Chifu Mirambo,Mangi Meli na wengineo wengi ambao walikuwa viongozi wa kimila walikuwa mstari wa mbele katika mapambano ya uhuru na hatimaye kuikomboa na kutupatia Tanzania hii tunayoifurahia leo.

Bila kupoteza muda, Naomba niweke orodha fupi ya viongozi waliopata kuongoza Tanzania walioacha alama kubwa na historia ya kipekee kwa ubora wao na uwezo wao wa kiuongozi ambao pasi na shaka uliacha alama kubwa kwa watanzania.

Kwa sasa nitaweka orodha tu kwa kifupi ila nitarejea kuelezea kila mmoja kwa undani zaidi.Pamoja na kuongeza orodha mpaka kufikia kumi (10) Bora.

Viongozi watatu (3) bora kuwahi kuwepo Tanzania

1. Mwl.Julius Kambarage Nyerere ( Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania)

View attachment 1752017

2. Edward Moringe Sokoine ( Waziri Mkuu wa Tanzania 1977–1980 na 1983 - 1984)

View attachment 1752018

3. John Pombe Magufuli (Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania)

View attachment 1752024

Nyongeza;

4. Chief Mkwavinyika Munyigumba Mwamuyinga (Mkwawa) - Chifu wa kabila la Wahehe

View attachment 1752029


5. Benjamin William Mkapa (Rais wa Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania)

View attachment 1752030
Ondoa haraka sana #3!
 
Tanzania imebahatika kuwa moja ya nchi iliyopata kuwa na viongozi bora kabisa Afrika na hata duniani kwa ujumla.Viongozi hao wamepata kuwa na mchango mkubwa Tanzania na hata kwa bara la Africa.Tunaona mifano ya Mwl.Julius Kambarage Nyerere ambaye amepigania uhuru si kwa nchi ya Tanzania tu bali amekuwa na mchango mkubwa katika harakati za uhuru kwa nchi jirani kama Afrika Kusini,Zambia na Msumbiji.Tanzania pia imepata kuwa na wanaharakati na wapigania uhuru mahiri walioweza kuitwaa nchi kutoka katika kucha za wakoloni.Tunaona wapigania uhuru na wanaharakati kama Kinjekitile Ngwale, Bwana Abushiri na Bibi Titi Mohammed.Viongozi kama Mtemi Isike,Chifu Mirambo,Mangi Meli na wengineo wengi ambao walikuwa viongozi wa kimila walikuwa mstari wa mbele katika mapambano ya uhuru na hatimaye kuikomboa na kutupatia Tanzania hii tunayoifurahia leo.

Bila kupoteza muda, Naomba niweke orodha fupi ya viongozi waliopata kuongoza Tanzania walioacha alama kubwa na historia ya kipekee kwa ubora wao na uwezo wao wa kiuongozi ambao pasi na shaka uliacha alama kubwa kwa watanzania.

Kwa sasa nitaweka orodha tu kwa kifupi ila nitarejea kuelezea kila mmoja kwa undani zaidi.Pamoja na kuongeza orodha mpaka kufikia kumi (10) Bora.

Viongozi watatu (3) bora kuwahi kuwepo Tanzania

1. Mwl.Julius Kambarage Nyerere ( Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania)

View attachment 1752017

2. Edward Moringe Sokoine ( Waziri Mkuu wa Tanzania 1977–1980 na 1983 - 1984)

View attachment 1752018

3. John Pombe Magufuli (Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania)

View attachment 1752024

Nyongeza;

4. Chief Mkwavinyika Munyigumba Mwamuyinga (Mkwawa) - Chifu wa kabila la Wahehe

View attachment 1752029


5. Benjamin William Mkapa (Rais wa Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania)

View attachment 1752030
♥️♥️♥️♥️♥️
Atakayebisha ana akili za Tundu
 
Kiongozi mzuri kufuatana na ubora
1. Kajala Masanja ; ameiongoza familia yake vizuri ambayo ina paula Na majani
2. Harmonize: ameiongoza vema konde gang, mpaka imetrend
3. Paula majani: amekuwa kiongozi mzuri kwa wanafunzi wenzake kwa muda mrefu na ndani ya muda mfupi ametumia ujuzi wa uongozi kutrend east africa

N A W A S I LI S H A
Hata mimi naongoza vizuri sn familia yangu
 
Kichwa cha habari kinasema Tatu bora ila wewe umeweka zaidi ya Watatu kwenye bandiko..

Hujapishana uongo sana na mmoja wapo alichowafanyia watanzania miaka yake kutawala..
View attachment 1752051
Naomba tafsiri ya hii picha p'se!
Tanzania imebahatika kuwa moja ya nchi iliyopata kuwa na viongozi bora kabisa Afrika na hata duniani kwa ujumla.Viongozi hao wamepata kuwa na mchango mkubwa Tanzania na hata kwa bara la Africa.Tunaona mifano ya Mwl.Julius Kambarage Nyerere ambaye amepigania uhuru si kwa nchi ya Tanzania tu bali amekuwa na mchango mkubwa katika harakati za uhuru kwa nchi jirani kama Afrika Kusini,Zambia na Msumbiji.Tanzania pia imepata kuwa na wanaharakati na wapigania uhuru mahiri walioweza kuitwaa nchi kutoka katika kucha za wakoloni.Tunaona wapigania uhuru na wanaharakati kama Kinjekitile Ngwale, Bwana Abushiri na Bibi Titi Mohammed.Viongozi kama Mtemi Isike,Chifu Mirambo,Mangi Meli na wengineo wengi ambao walikuwa viongozi wa kimila walikuwa mstari wa mbele katika mapambano ya uhuru na hatimaye kuikomboa na kutupatia Tanzania hii tunayoifurahia leo.

Bila kupoteza muda, Naomba niweke orodha fupi ya viongozi waliopata kuongoza Tanzania walioacha alama kubwa na historia ya kipekee kwa ubora wao na uwezo wao wa kiuongozi ambao pasi na shaka uliacha alama kubwa kwa watanzania.

Kwa sasa nitaweka orodha tu kwa kifupi ila nitarejea kuelezea kila mmoja kwa undani zaidi.Pamoja na kuongeza orodha mpaka kufikia kumi (10) Bora.

Viongozi watatu (3) bora kuwahi kuwepo Tanzania

1. Mwl.Julius Kambarage Nyerere ( Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania)

View attachment 1752017

2. Edward Moringe Sokoine ( Waziri Mkuu wa Tanzania 1977–1980 na 1983 - 1984)

View attachment 1752018

3. John Pombe Magufuli (Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania)

View attachment 1752024

Nyongeza;

4. Chief Mkwavinyika Munyigumba Mwamuyinga (Mkwawa) - Chifu wa kabila la Wahehe

View attachment 1752029


5. Benjamin William Mkapa (Rais wa Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania)

View attachment 1752030Hapa nilipo naona mbwa mwitu ktk kundi la kondoo.
 
Mbona hukumuweka mzee Mwinyi ambae ametutoa katika hali ya kupiga mswaki na mkaa, kusimama juani kusubiri nusu kilo ya mchele tena mdundiko, kwenda harusini au kweny kasherehe na suruali iliyojaa viraka, chachacha kuwa ndio style ya viatu vya watoto wa mjini. Nafikiri Mwinyi alistahili kuwa ktk list hii maana amefanya mengi ya maana ktk nchi hii, hata Mkapa kaja kakuta kila kitu kawekewa mezani na yeye akatelezea mle mle kama ganda la ndizi. Kabla ya Mwinyi ilikuwa ukikutwa na dawa ya mswaki tu au sabuni ya kuogea basi asubuh mgambo wanakuja kuizunguka nyumba yako kwa kosa la kuhujumu uchumi wa nchi
Watu walioishi vipindi vyote vya utawala kama ss nawashangaa sana kutothamini juhudi za mzee Mwinyi .
 
Tafsiri yake ni kuwa kuna kiongozi alivuruga ustawi wa taifa kwa kiasi kikubwa njia pekee aliyoitumia ni mamlaka makubwa aliyopewa na katiba bila kuanishwa mipaka kufanya lolote analotaka kubakia madarakani pengine na kuondoa ukomo wa madaraka..

Uliwahi kuona duniani watu wanapiga kura za vibunda!?

Basi ndio tafsiri ya picha kwamba ilikua lazima ushindi upatikanen hata kwa njia haramu...
Naomba tafsiri ya hii picha p'se!
 
Tafsiri yake ni kuwa kuna kiongozi alivuruga ustawi wa taifa kwa kiasi kikubwa njia pekee aliyoitumia ni mamlaka makubwa aliyopewa na katiba bila kuanishwa mipaka kufanya lolote analotaka kubakia madarakani pengine na kuondoa ukomo wa madaraka..

Uliwahi kuona duniani watu wanapiga kura za vibunda!?

Basi ndio tafsiri ya picha kwamba ilikua lazima ushindi upatikanen hata kwa njia haramu....
Asante mkuu.
 
Tanzania imebahatika kuwa moja ya nchi iliyopata kuwa na viongozi bora kabisa Afrika na hata duniani kwa ujumla.Viongozi hao wamepata kuwa na mchango mkubwa Tanzania na hata kwa bara la Africa.Tunaona mifano ya Mwl.Julius Kambarage Nyerere ambaye amepigania uhuru si kwa nchi ya Tanzania tu bali amekuwa na mchango mkubwa katika harakati za uhuru kwa nchi jirani kama Afrika Kusini,Zambia na Msumbiji.Tanzania pia imepata kuwa na wanaharakati na wapigania uhuru mahiri walioweza kuitwaa nchi kutoka katika kucha za wakoloni.Tunaona wapigania uhuru na wanaharakati kama Kinjekitile Ngwale, Bwana Abushiri na Bibi Titi Mohammed.Viongozi kama Mtemi Isike,Chifu Mirambo,Mangi Meli na wengineo wengi ambao walikuwa viongozi wa kimila walikuwa mstari wa mbele katika mapambano ya uhuru na hatimaye kuikomboa na kutupatia Tanzania hii tunayoifurahia leo.

Bila kupoteza muda, Naomba niweke orodha fupi ya viongozi waliopata kuongoza Tanzania walioacha alama kubwa na historia ya kipekee kwa ubora wao na uwezo wao wa kiuongozi ambao pasi na shaka uliacha alama kubwa kwa watanzania.

Kwa sasa nitaweka orodha tu kwa kifupi ila nitarejea kuelezea kila mmoja kwa undani zaidi.Pamoja na kuongeza orodha mpaka kufikia kumi (10) Bora.

Viongozi watatu (3) bora kuwahi kuwepo Tanzania

1. Mwl.Julius Kambarage Nyerere ( Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania)

View attachment 1752017

2. Edward Moringe Sokoine ( Waziri Mkuu wa Tanzania 1977–1980 na 1983 - 1984)

View attachment 1752018

3. John Pombe Magufuli (Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania)

View attachment 1752024

Nyongeza;

4. Chief Mkwavinyika Munyigumba Mwamuyinga (Mkwawa) - Chifu wa kabila la Wahehe

View attachment 1752029


5. Benjamin William Mkapa (Rais wa Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania)

View attachment 1752030
Wakristo bhana
 
Back
Top Bottom