mwakijembe
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 1,664
- 2,324
Mbona wananchi nao wamehesabiwa baadhi
Mapumziko yalikuwa ya nini sasa ndugu kama kuhesabu kwenyewe ndio kwa mwendo huu wa kinyonga? Makarani wako sehemu moja ya kiongozi kusaka kiki badala ya kutembelea makazi kufanya kazi stahiki!