Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
- Thread starter
- #161
Tunajivunia Malkia Elizabeth II
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr. Samia Suluhu ... Tanzania
MmhHapo Biden tu ndo kaenda kuzika.....
mmmhHuo udokta kauokotea wapi ?
Yaani itasimama. Sema wapinzani watafurahia chaguzi mpyaaa. Mtu kama Trump atafurahi maana Kamara atakuwa Rais so mseleleko kwa Trump 2024.Hapo kwa TZ kufanya sherehe hapana. Ila hata mi nawaza maraisi wote hao kukutana sehemu moja kwa wakati mmoja? inabidi ulinzi uwe wa aina yake, maana akitokea kichaa mmoja hapo, si dunia itasimama!
Binafsi namhofia Putin na Northen Korea.Sidhani kama kunanchi karibuni imepokea viongozi wa nchi wengi kiasi hiki...hapo Osama huko kuzimu anatamani angepiga tukio hiyo mitaa hiyosiku
Yupo London KitamboUmemsahau SSH,au atatuma mwakilishi?
Kagame hakuja kuzika Magu. Ila kwa Malkia kaenda.Viongozi wa Afrika ni ng’ombe kweli. Hapo akifa rais wa nchi ya kiafrika wanajitokeza watatu au wawili kumzika ila kwa mzungu, tena aliyeshiriki kuuwa watu wetu eti wanajaziana huko kwenda kumzika.
Kujikomba kutatumaliza sisi na ndiyo maana wazungu wanatudharau na kutuona mangedere.
Ni Mwenyekiti wa jumuiya ya mandola. Hivi Kagame haijawahi kutunukiwa honorary doctorate? Hata University of Rwanda?Kagame hakuja kuzika Magu. Ila kwa Malkia kaenda.
Kwani JPM anamchango gani kwao? Wewe hujui kuwa Uingereza ni sponsor kwa nchi nyingi AfrikaHivi hawa wa Ulaya ni nani alikuja wakati wa kifo cha JPM na Mkapa?
Anaishi kambini?Antipas hajaalikwa japo anaishi kambi ya karibu na huko!