Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
JK hatakuwepo?, haya ndio mambo yake mkwere.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuhudhuria mazishi ya viongozi kama hao nijuavyo huwa haihusishi kwenda makaburini kuzika , sidhani kama kuna shida yoyote katika imani ya Mheshimiwa SSH kuhudhuria hafla hiyo.SSH ni mwanamke na muslim,sidhani kama atahudhuria mazishi!
Huenda akatuma mwakilishi,probably Mzee Kikwete! Au Rais wa SMZ.
Anyway ni mawazo yangu.
Mugabe ana mchango gani hata huko kijijini kwake achilia mbali kwa nchi kama Zimbabwe?Mugabe alizikwa na wangapi viongozi wa Afrika
Penye Mugabe weka Malkia Elizaberth II na penye kwake weka kwako na Zimbabwe weka nchi yakoMuga
Mugabe ana mchango gani ht ahuko kijijini kwake achilia mbali kwa nchi kama Zimbabwe?
Enzi za Professor Jalalani mida hii angekua London anatoa historia ya Malkia mwaka alfu moja *Mia kenda sitaini na moja.
We umeona na umesema kweli kabisaaKenya na Rwanda kuna saa wanajiona washakuwa wazungu...
Hizi nchi mbili na wananchi wao wamekuwa na dharau sana miaka ya hivi karibuni.. Ndo wanasababisha EAC inakuwa na mambo ya ajabu ajabu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Air Tanzania Boeing 787 linatua Heathrow na Vijana wa hamasa 400!
Nani aalike takataka hizo.Pamoja na kuweka simu Tano za maombolezo Bado hatutakwenda kushiriki mazishi
Mwigulu Nchemba ndiye atamuwakilisha baada ya kupata "umaarufu mkubwa" kwa jinsi alivyo komaa katika kuwakamua Raia bila aibu wala hurumaKuhudhuria mazishi ya viongozi kama hao nijuavyo huwa haihusishi kwenda makaburini kuzika , sidhani kama kuna shida yoyote katika imani ya Mheshimiwa SSH kuhudhuria hafla hiyo.
Well representedKim Jon Un
Vladmir Putin
Aisee. London wavae Madera?Madera hayaruhusiwi huko.
Hii haisaidii chochote kama kaenda Jehanamu!1. Joe Biden - Rais wa Marekani,
2. Emmanuel Macron - Rais wa Ufaransa,
3. Dr William Ruto (PhD) - Rais wa Kenya,
4. Paul Kagame - Rais wa Rwanda,
5. Olaf Scholf - Chansela wa Ujerumani,
6. Paul Biya - Rais wa Cameroon,
7. Patrice Talon - Rais wa Benin,
8. Mohamed Bazoum - Rais wa Niger,
9. Muhammadu Buhari - Rais wa Nigeria,
10. Lazarus Chakwera - Rais wa Malawi,
11. Fillipe Nyusi - Rais wa Msumbiji,
12. Haidhma bin Tariq - Sultan wa Oman,
13. Prof. Azali Assoumabi - Rais Comoos
14. Dr. Mokgweetsi Masisi - Rai's wa Botswana,
15. Salman bin Abdul Aziz Al Saud - Mfalme wa Saudi Arabia,
16. Hamad bin ISA Al Khalifa - Mfalme wa Bahrain,
17. Ramin bin Hamad Al Thank - Mtawala wa Qatar,
18. Ukhnaagiin Khurelsukh - Rais wa Mongolia,
19. Shavkat Mirziyoyev - Rais wa Uzbekistan,
20. Emomali Rahmon - Rais wa Tajikistan,
21. Volodymyr Zelensky - Rais wa Ukraine,
22. Milorad Sefik Dzaferovic - Rais wa Bosnia and Herzegovina,
23. Paula-Mae Weekes - Rais wa Trinidad and Tobago,
24. Hakainde Hichilema -Rais wa Zambia,
25. Dr Hage G. Geingob - Rais wa Namibia,
26. Evariste Ndishimiye - Rais wa Burundi,