melusine8
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 6,299
- 7,746
Kenya na Rwanda kuna saa wanajiona washakuwa wazungu...
Hizi nchi mbili na wananchi wao wamekuwa na dharau sana miaka ya hivi karibuni.. Ndo wanasababisha EAC inakuwa na mambo ya ajabu ajabu.
Nchi zenye mfumo wa kibepari [emoji3062]