Viongozi Mashuhuri watakaomzika Queen Elizabeth II

Viongozi Mashuhuri watakaomzika Queen Elizabeth II

Kwa wakenya wana haki ya kujiona hivyo, kwani ni mambo mengi wanafanya kama wazungu(AKILI KUBWAZ)ambayo kwa wafrika wengi hatuyawezi!!ndio maana hata rais wao anakuwa simple tu kwa wananchi wake, tofauti na nchi zote za kiafrika!!mwananchi yupo huru kuikosoa serikali , kwani anajua katiba ina mlinda, na mahakama ipo huru.ki ukweli KENYA ipo level nyingine kabisa na mi nchi yote ya kiafrika.Na hicho ndicho kinapelekea TZ, kuwaogopa sana kwenye EAC, japo uoga huo hauwezi kutusaidia sana.
Umenena Mkuu.
 
Kenya na Rwanda kuna saa wanajiona washakuwa wazungu...

Hizi nchi mbili na wananchi wao wamekuwa na dharau sana miaka ya hivi karibuni.. Ndo wanasababisha EAC inakuwa na mambo ya ajabu ajabu.
Badala ya kuwaonea wivu, isimamie na wewe nchi yako ifanye maendeleo kama yao
 
1. Joe Biden - Rais wa Marekani,
2. Emmanuel Macron - Rais wa Ufaransa,
3. Dr William Ruto (PhD) - Rais wa Kenya,
4. Paul Kagame - Rais wa Rwanda,
5. Olaf Scholf - Chansela wa Ujerumani,
6. Paul Biya - Rais wa Cameroon,
7. Patrice Talon - Rais wa Benin,
8. Mohamed Bazoum - Rais wa Niger,
9. Muhammadu Buhari - Rais wa Nigeria,
10. Lazarus Chakwera - Rais wa Malawi,
11. Fillipe Nyusi - Rais wa Msumbiji,
Hivi hawa wa Ulaya ni nani alikuja wakati wa kifo cha JPM na Mkapa?
 
Hivi hawa wa Ulaya ni nani alikuja wakati wa kifo cha JPM na Mkapa?
Misiba ya wenzetu, tena siyo tu viongozi wa nchi au watu maarufu huwa mtu huendi tu eti kwa sababu ni msiba kama huku kwetu ukisikia kuna msiba mahali unaenda. Wenzetu kama hujaalikwa kwenye msiba huendi!!! Sasa huo wa viongozi wa juu ndiyo kabisaaa!!! Hujaalikwa hakuna kwenda.

Hivyo kama Tanzania haikuwaalika hawawezi kuja na kama iliwaalika wanaweza kutuma mabalozi wao tu kuwawakilisha kwenye msiba.
 
Pamoja na kuweka simu Tano za maombolezo Bado hatutakwenda kushiriki mazishi
 
Huyu mjingajinga wetu hawawezi mwalika huyu akazanage kuhudhuria misiba ya vijana wake wa kitengo Cha chawa wasiojulikana, kama TISS, PCCB, CAG nk, kuapishwa Ruto tu Kenya wamemtosa SSH na bado
 
Job Ndugai hajaalikwa?huu sasa ubaguzi live!😁😁
 
1. Joe Biden - Rais wa Marekani,
2. Emmanuel Macron - Rais wa Ufaransa,
3. Dr William Ruto (PhD) - Rais wa Kenya,
4. Paul Kagame - Rais wa Rwanda,
5. Olaf Scholf - Chansela wa Ujerumani,
6. Paul Biya - Rais wa Cameroon,
7. Patrice Talon - Rais wa Benin,
8. Mohamed Bazoum - Rais wa Niger,
9. Muhammadu Buhari - Rais wa Nigeria,
10. Lazarus Chakwera - Rais wa Malawi,
11. Fillipe Nyusi - Rais wa Msumbiji,
12. Haidhma bin Tariq - Sultan wa Oman,
13. Katibu Mwenezi,

5.Kansela wa ujeruman ni Angela Machel
 
Back
Top Bottom