Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Naantombe Mushi 😂😂😂Kenya na Rwanda kuna saa wanajiona washakuwa wazungu...
Hizi nchi mbili na wananchi wao wamekuwa na dharau sana miaka ya hivi karibuni.. Ndo wanasababisha EAC inakuwa na mambo ya ajabu ajabu.