Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr????Dr. Samia Suluhu ... Tanzania
Dr. Samia Suluhu ... Tanzania
5.Kansela wa ujeruman ni Angela Machel
Hamna mkuu anaitwa Olaf Schloz5.Kansela wa ujeruman ni Angela Machel
Magufuli hayupo!Magufuli ndio dikteta uchwara, Mungu amlaani huko alipo kuzimu.
Acha fikra za kiibilisi!🙏🙏🙏Imagine putin anafanya yake. Maweeee watanzania tutafanya sherehe. No more tozo.
Umeambiwa ni watu mashuhuri tuu ndo watakaoenda, tozo itakufaje hapo?Imagine putin anafanya yake. Maweeee watanzania tutafanya sherehe. No more tozo.
14. Tozo Queens Mkojani1. Joe Biden - Rais wa Marekani,
2. Emmanuel Macron - Rais wa Ufaransa,
3. Dr William Ruto (PhD) - Rais wa Kenya,
4. Paul Kagame - Rais wa Rwanda,
5. Olaf Scholf - Chansela wa Ujerumani,
6. Paul Biya - Rais wa Cameroon,
7. Patrice Talon - Rais wa Benin,
8. Mohamed Bazoum - Rais wa Niger,
9. Muhammadu Buhari - Rais wa Nigeria,
10. Lazarus Chakwera - Rais wa Malawi,
11. Fillipe Nyusi - Rais wa Msumbiji,
12. Haidhma bin Tariq - Sultan wa Oman,
13. Katibu Mwenezi,
Huku akitoa macho kodi, Mzee wa kubagaza,Enzi za Professor Jalalani mida hii angekua London anatoa historia ya Malkia mwaka alfu moja *Mia kenda sitaini na moja.
Uko dunia hii hii yetu?5.Kansela wa ujeruman ni Angela Machel
Huyu ni Rais wa ujerumani. Angela Marker NDIYE chanselor wa ujerumami.Hamna mkuu anaitwa Olaf Schloz
Aisee punguza ukali wa maneno mkuu.Huyu mjingajinga wetu hawawezi mwalika huyu akazanage kuhudhuria misiba ya vijana wake wa kitengo Cha chawa wasiojulikana, kama TISS, PCCB, CAG nk, kuapishwa Ruto tu Kenya wamemtosa SSH na bado
Hangaya Ametangaza Maombolezo siku mingiiii Kwa msibabambao hata wafiwa hawamjui1. Joe Biden - Rais wa Marekani,
2. Emmanuel Macron - Rais wa Ufaransa,
3. Dr William Ruto (PhD) - Rais wa Kenya,
4. Paul Kagame - Rais wa Rwanda,
5. Olaf Scholf - Chansela wa Ujerumani,
6. Paul Biya - Rais wa Cameroon,
7. Patrice Talon - Rais wa Benin,
8. Mohamed Bazoum - Rais wa Niger,
9. Muhammadu Buhari - Rais wa Nigeria,
10. Lazarus Chakwera - Rais wa Malawi,
11. Fillipe Nyusi - Rais wa Msumbiji,
12. Haidhma bin Tariq - Sultan wa Oman,
13. Katibu Mwenezi,
Yule bibi ameshastaafu, usiwe mvivu ingia hata google.Huyu ni Rais wa ujerumani. Angela Marker NDIYE chanselor wa ujerumami.
Rwanda anamsaidia kupunguza wakimbizi
Halafu Rwanda walirukia commonwealth yetu wakati wao ni watoto wa Macro ,soon watatuovertakeKenya na Rwanda kuna saa wanajiona washakuwa wazungu...
Hizi nchi mbili na wananchi wao wamekuwa na dharau sana miaka ya hivi karibuni.. Ndo wanasababisha EAC inakuwa na mambo ya ajabu ajabu.
BToZDr. Samia Suluhu ... Tanzania