Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
"Hao mnaowasifu wawekezaji WANATULIPA 10,000/= per day" ...Maharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh
Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.
[emoji3578]10,000 - 7500 = 2500 [emoji848]
[emoji848]Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
[emoji848]Bado viungo?
[emoji848]Bado sijanunua mafuta ya kula?
Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.
Dar kama segerea tu.
Mkuu, wanakulipa wewe na nani?
Mbona unatusemea na sisi?