The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadharau kilimo, halafu wa Kwanza kulilia mchele uuziwe buku kilo.Tanzania imefikia lini level ya Kilimo Biashara?icho Kilimo cha pinda mgongo kitatupeleka wapi!
Punguza uchawa,ata Marekani Wanalima ila wanazalisha chakula cha kutosha,ziada ndiyo inauzwa.Sasa Mkulima analima heka moja anavuna junia 3 na kuuzia walanguzi wa Kariakoo,Tandale na Temeke, ndiyo Kilimo Biashara [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena anayeupiga ni mmoja tu, naye ni dk Samia.Si tulisha kubaliana kwamb unapigwa mwingi lakn jaman.
Hizo zitakuwa chenga au uko mikoani.Upo masokoni.
Mimi nimenunua wa 2700tsh juzi tuu.
Juzi namaanisha juzi.
Sasa utachukua hatua gani,umelalamika yes,Sasa inatosha?Kwanza hata hawajakusikia.Tabuuuu...!Maharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh
Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.
✍️10,000 - 7500 = 2500 🤔
🤔Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
🤔Bado viungo?
🤔Bado sijanunua mafuta ya kula?
Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.
Dar kama segerea tu.
Tukitumia mkaa kupikia mara moja tunaambiwa ni sawa na tumevuta fegi 300. Vile vile tunachafua mazingira (Carbon)Maharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh
Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.
✍️10,000 - 7500 = 2500 🤔
🤔Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
🤔Bado viungo?
🤔Bado sijanunua mafuta ya kula?
Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.
Dar kama segerea tu.
Na tunaambiwa tukipikia mkaa mara moja ni sawa na tumevuta sigara 300. Vilevile tunaambiwa tunachafua mazingira hivyo tutumie gesiMaharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh
Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.
✍️10,000 - 7500 = 2500 🤔
🤔Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
🤔Bado viungo?
🤔Bado sijanunua mafuta ya kula?
Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.
Dar kama segerea tu.
Ask SomaliMaharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh
Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.
✍️10,000 - 7500 = 2500 🤔
🤔Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
🤔Bado viungo?
🤔Bado sijanunua mafuta ya kula?
Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.
Dar kama segerea tu.
HiyoMchele kilo 3500? C yule jamaa alisema amezunguka nchi nzima hakuna bei ya punje 3500 kwa kilo?
HiyoCHADEMA walioko Mwanza wanaripoti soko la mirongo Mchele ni 3000 Kwa kilo,
Kama Bei ni hiyo Leo mza, dar baada ya wiki Bei itakuwa 4000 Kwa kilo.
Lije kujibu malalamiko fala hiloWe chawa wa mama Samia The Sunk Cost Fallacy 2 njoo huku unaitwa
Ona jinga hili. Kwahiyo wewe kwa akili zako kila mtu anataka kutafuta shambani?!Nawakumbusha tuu kwamba
1.Mvua zinanyesha nendeni shamba la sivyo mtaendelea kulia lia hivyo hivyo
2.Serikali imetangaza Vijana waombe kujiounga kwenye mashamba ya pamoja zaidi ya Vijana mil.1 wanahitajika,wametagutiwa mashamba na Kila kitu watapewa,Sasa endeleeni ku bet.
3.Kama.huna pesa Rudi Kijijini acha kusumbua watu mjini.
Then What?Ask Somali
Kama hutaki shamba unamlilia nani Sasa? Wewe bwege unataka nani akukimie Ili wewe ukuze likitambi lako kama nguruwe?Ona jinga hili. Kwahiyo wewe kwa akili zako kila mtu anataka kutafuta shambani?!
Sasa wewe ulitaka wale nini?Hali ni ngumu ndo maana watu wananyoa vipara hata hela ya kusuka hakuna .
Ni ugali tembele tu hasa wenye familia kubwa
Kwani wewe unatafuta pesa ya nini hasa? Maisha ni kulaNi mwendo wa kuhamisha pesa ya mshahara kupeleka kwenye kula na bado hautoshi halafu wajinga wanasema mwingi unachezwa
Tukitumia mkaa kupikia mara moja tunaambiwa ni sawa na tumevuta fegi 300. Vile vile tunachafua mazingira (Carbon)
Na tunaambiwa tukipikia mkaa mara moja ni sawa na tumevuta sigara 300. Vilevile tunaambiwa tunachafua mazingira hivyo tutumie gesi
Sasa wewe ulitaka wale nini?
Kweli wenyewe wanakula Jodari pia kolekole na mahanjumati kibao !! Mungu wa mbinguni anawaona !!Maharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh
Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.
✍️10,000 - 7500 = 2500 🤔
🤔Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
🤔Bado viungo?
🤔Bado sijanunua mafuta ya kula?
Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.
Dar kama segerea tu.