Viongozi mtatuua kwa sonona

Viongozi mtatuua kwa sonona

😔😔😔😔
Nchi nyingi za kusini mwa jangwa la Sahara matumizi ya nishati ya mkaa na kuni ni makubwa. Kutokana na kuwa ndiyo reliable source of energy for cooking purpose. Hii yote inasababishwa na hali duni ya maisha na vipato kwa wananchi wake. Ni vigumu kumeet standards za matumizi ya gesi ikiwa nishati ya bei rahisi na affordable inapatikana kwa urahisi.

That's it Pal'🙏.​
Wengine wanashindana kujilimbikizia mimali iliyopatikana kwa njia isiyo halali !! Utadhani wataishi milele !!
 
Kwanza hata hawajakusikia.Tabuuuu...!
Screenshot_20230121-160223_1.jpg

Maisha hayajawai kukosa tabu lakini zinazidiana.
Mimi ni mmoja kati ya wengi wahanga wa hali hii. Wanisikie au kutonisikia bado litabaki kuwa ni jukumu lao kama viongozi kulitafutia ufumbuzi swala hili kwa faida ya wananchi wa Tanzania maskini, ambayo umaskini unaanzia kwa mtu mmoja mmoja mpaka ngazi ya familia.

Sina neno.
Ni hayo tu, na wasilisha mkuu🙏.​
 
Nawakumbusha tuu kwamba
1.Mvua zinanyesha nendeni shamba la sivyo mtaendelea kulia lia hivyo hivyo
2.Serikali imetangaza Vijana waombe kujiounga kwenye mashamba ya pamoja zaidi ya Vijana mil.1 wanahitajika,wametagutiwa mashamba na Kila kitu watapewa,Sasa endeleeni ku bet.
3.Kama.huna pesa Rudi Kijijini acha kusumbua watu mjini.
Huko kijijini utakula nini ndugu Sunk Cost, uzalishaji wa mazao ya kujikimu kwenye vijiji vingi ni hali mbaya ya kutisha kutokana na mabadiliko ya tabia nchi.

Kwenye vijiji ambavyo ilizoeleka kwamba watu hawanunui vyakula, kijiji changu ni mfano, kwani mazao yalitosheleza mwaka mzima hadi kuna mashamba mengine yalikaa na mazao yaliyokomaa zaidi ya misimu mitatu, ila kwa sasa haya maeneo mengi yameathiriwa na mabadiliko ya tabia nchi na kupelekea hali ya ukame na kupungua sana uzalishaji wa mazao ya chakula, hivyo na wenyewe sasa wanalazimika kununua chakula kwenye masoko.

Sasa unapoongelea upatikanaji wa pesa vijijini ni mtihani mkubwa, labda kipindi cha msimu wa kuuza mazao ya biashara au kwenye vijiji vilivyobarikiwa kuwa karibu na masoko au barabara kubwa ambapo wanaweza kutumia fursa za kibiashara kwenye mazao au mifugo kama kuku na mbuzi.​
 
Huko kijijini utakula nini ndugu Sunk Cost, uzalishaji wa mazao ya kujikimu kwenye vijiji vingi ni hali mbaya ya kutisha kutokana na mabadiliko ya tabia nchi.

Kwenye vijiji ambavyo ilizoeleka kwamba watu hawanunui vyakula, kijiji changu ni mfano, kwani mazao yalitosheleza mwaka mzima hadi kuna mashamba mengine yalikaa na mazao yaliyokomaa zaidi ya misimu mitatu, ila kwa sasa haya maeneo mengi yameathiriwa na mabadiliko ya tabia nchi na kupelekea hali ya ukame na kupungua sana uzalishaji wa mazao ya chakula, hivyo na wenyewe sasa wanalazimika kununua chakula kwenye masoko.

Sasa unapoongelea upatikanaji wa pesa vijijini ni mtihani mkubwa, labda kipindi cha msimu wa kuuza mazao ya biashara au kwenye vijiji vilivyobarikiwa kuwa karibu na masoko au barabara kubwa ambapo wanaweza kutumia fursa za kibiashara kwenye mazao au mifugo kama kuku na mbuzi.​
Mzee mvua zimefurika,hayo mabadiliko ya hali ya hewa ni ya mwaka Jana,chakula sio wali na maharage tuu Kuna viazi pia..

Mwisho wanakijiji walitunza vyakula vyao na wakauza ziada ndio maana hujaskia mtu kafa na njaa.Swala la pesa Kijijini kuwa mgumu hata mjini ni mgumu Bora mwanakijiji atauza kuku.na mbuzi.
 
Mzee mvua zimefurika,hayo mabadiliko ya hali ya hewa ni ya mwaka Jana,chakula sio wali na maharage tuu Kuna viazi pia..

Mwisho wanakijiji walitunza vyakula vyao na wakauza ziada ndio maana hujaskia mtu kafa na njaa.Swala la pesa Kijijini kuwa mgumu hata mjini ni mgumu Bora mwanakijiji atauza kuku.na mbuzi.
Hujanielewa, nimekutolea hata mfano hai wa kijiji nilichokulia hatukuwahi kununua vyakula vya kujikimu........lakini zaidi ya miaka 10 iliyopita hali ni tofauti sana, watu hawavuni wala kuwa na akiba ya chakula kama zamani kiasi kwamba inawalazimu nao wanunue vyakula kwenye masoko, sasa pesa ya kununua chakula consistently kijijini itatoka wapi? hapo ndo mtihani ulipo......sasa sababu kuna viongozi na wenye dhamana wamenogewa na kulamba asali, challenges kama hizi hawawezi kuzielewa.
 
Hujanielewa, nimekutolea hata mfano hai wa kijiji nilichokulia hatukuwahi kununua vyakula vya kujikimu........lakini zaidi ya miaka 10 iliyopita hali ni tofauti sana, watu hawavuni wala kuwa na akiba ya chakula kama zamani kiasi kwamba inawalazimu nao wanunue vyakula kwenye masoko, sasa pesa ya kununua chakula consistently kijijini itatoka wapi? hapo ndo mtihani ulipo......sasa sababu kuna viongozi na wenye dhamana wamenogewa na kulamba asali, challenges kama hizi hawawezi kuzielewa.
Wafuge kwani ufugaji unlipa na watapata pesa ya kununukia chakula
 
Hujajibu swali naona una hasira za njaa,nenda ule then urudi kujibu swali langu..

Unataka nani akukimie Ili wewe ule na kukuza likitambi lako Hilo kama nguruwe?
Wewe huna akili, kuna mtu alishawahi kuwaambia muingilie kilimo?! Sisi wanainchi tunaelewana wenyewe. Wacha wanaotaka kulima wakalime, wanaotaka kuchuuza wakachuuze wanaotaka kuwa wanunuzi wanunue, wanataka kufanya biashara zingine waendelee kila mtu awe na furaha.

Sio upumbavu wa kulazimisha makodi, matozo kijinga jinga halafu mnajifanya kuelekeza kwenye sijui bajeti ya kilimo, sasa mnalima kwa hela za kodi na matozo ya machozi ya raia ambao hawajatoa kwa moyo m'moja mnategemea hicho kilimo kitazaa matunda?!

Sisi wanachi tunaelewana wenyewe. Kazi ya serikali inatakiwa kuwa kutazama wapi kuna vikwazo ivitoe sio kupangia watu namna ya kuishi as if wao ni last decision makers.

Mimi nikisema nataka nipate kipato changu kupitia uandishi wa vitabu wacha iwe hivyo maana ndio ninachotaka. Sio unaamka asubuhi unakuna mipumbu yako halafu unakuja kubwabwaja ujinga hapa eti kila mtu akalime fala wewe nani kakwambia kila mtu anawaza kulima.

Nyie ndio mnajiita vijana wa hili taifa na akili za kipopoma hivi, mnataendelea kuishi kwa rushwa hadi siku mtakapo nasa mbwa nyie. Mnatia hasira sana ujue. Mnaleta mizaha na maisha ya watu halafu mnaona ndio uongozi. Huo ni ujinga.

Boya sana wewe.
 
Mzee mvua zimefurika,hayo mabadiliko ya hali ya hewa ni ya mwaka Jana,chakula sio wali na maharage tuu Kuna viazi pia..

Mwisho wanakijiji walitunza vyakula vyao na wakauza ziada ndio maana hujaskia mtu kafa na njaa.Swala la pesa Kijijini kuwa mgumu hata mjini ni mgumu Bora mwanakijiji atauza kuku.na mbuzi.
Ona unavyowapangia watu chakula. Kama watu wanataka kula wali Maharage wewe ni nani wa kuwaambia wale viazi.
 
Back
Top Bottom