Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
"Hao mnaowasifu wawekezaji WANATULIPA 10,000/= per day" ...Maharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh
Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.
[emoji3578]10,000 - 7500 = 2500 [emoji848]
[emoji848]Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
[emoji848]Bado viungo?
[emoji848]Bado sijanunua mafuta ya kula?
Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.
Dar kama segerea tu.
Ukiritimba upi? Mwaka huu ndio tumepata ruzuku,mvua zipo so mazao yenyewe yatashuka kuanzia machi..Toeni ukiritimba katika manunuzi ya mbolea na pembejeo muone kama hiyo bei mtauza hivyo.
Wewe chawa tu kama chawa wengine."Hao mnaowasifu wawekezaji WANATULIPA 10,000/= per day" ...
Mkuu, wanakulipa wewe na nani?
Mbona unatusemea na sisi?
Connection first🤝Ni wapi huko mnalipwa elfu kumi per day ???
Tafuta kazi inayolipwa 40,000 per day maana serikali haina mpango nawewe hata Samia anashida kama zako sema alitafuta njia akapata njia so acha kulia Lia .
Tafuta njia .....
Kisha utasikia machawa yakisifia eti anaupiga mwingiMaharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh
Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.
✍️10,000 - 7500 = 2500 🤔
🤔Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
🤔Bado viungo?
🤔Bado sijanunua mafuta ya kula?
Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.
Dar kama segerea tu.
Tanzania ya leo ipo hapa kwa sababu ya machawa🤣.Kisha utasikia machawa yakisifia eti anaupiga mwingi
Oyo The Sunk nitumie link, nafanyaje ili nipate connection hiyo ya Serikali. Nipo serious.Nawakumbusha tuu kwamba
1.Mvua zinanyesha nendeni shamba la sivyo mtaendelea kulia lia hivyo hivyo
2.Serikali imetangaza Vijana waombe kujiounga kwenye mashamba ya pamoja zaidi ya Vijana mil.1 wanahitajika,wametagutiwa mashamba na Kila kitu watapewa,Sasa endeleeni ku bet.
3.Kama.huna pesa Rudi Kijijini acha kusumbua watu mjini.
Oyo The Sunk nitumie link, nafanyaje ili nipate connection hiyo ya Serikali. Nipo serious.
Pesa za COVID tuliambiwa zimeelekezwa huko 🤣🤣🤣🤣🤣Kwa nini nijifiche Mzee? Unadhani Niko mjini? Kwanza nawachukia nyie watu wa Mjini mlikataa kulipa tozo Ili tujengewe Vituo vya Afya ila mnataka mazao yetu mnunue Kwa bei mnayotaka si ndio?
Kama mlo wenyewe ndio huo wa kuhesabiana maharage, tuanzeni kujiandaa kisaikolojia tu 😂😂Dah!Ombea tusifike huko kwa idadi kubwa.Itakuwa ni patashika ban hekaheka mitaani.Utafika muda tutabondwa makofi na akina mama.
Uliambiwa na nani zimeelekezwa huko? Hakuna unachoelewa wewe.Pesa za COVID tuliambiwa zimeelekezwa huko 🤣🤣🤣🤣🤣
Yes , mtumishiConnection first🤝
Maneno baadae🤗
Kwa sasa ni msimu wa kilimo, muwe mnatuma hela vijijini kwenu wawasaidie kulima na kuwatumia chakula wakivuna ili mpunguze malalamiko yasiyo ya msingi. Tanzania ardhi kubwa hailimwi kutokana na ubinafsi wenu watu wa mjini.Maharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh
Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.
✍️10,000 - 7500 = 2500 🤔
🤔Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
🤔Bado viungo?
🤔Bado sijanunua mafuta ya kula?
Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.
Dar kama segerea tu.
I'm waiting for your connection my dear😔.Yes , mtumishi
Eh how ,what do you mean??I'm waiting for your connection my dear😔.
1. Huu ni msimu kilimo cha nini?Kwa sasa ni msimu wa kilimo, muwe mnatuma hela vijijini kwenu wawasaidie kulima na kuwatumia chakula wakivuna ili mpunguze malalamiko yasiyo ya msingi. Tanzania ardhi kubwa hailimwi kutokana na ubinafsi wenu watu wa mjini.
Unajua kupika kweli wewe ?? Yani marage kilo na Mchelle kilo Sasa hapo mboga Ni ipi maana marage yatakuwa mengi kuliko wali labda uweke marage afu wali ndo Kama mboga unanyunyuzia kwa juuMaharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh
Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.
✍️10,000 - 7500 = 2500 🤔
🤔Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
🤔Bado viungo?
🤔Bado sijanunua mafuta ya kula?
Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.
Dar kama segerea tu.
40k, per day🤔Tafuta kazi inayolipwa 40,000 per day
Job connection my dear.?Eh how ,what do you mean??