The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Na nyie tafuteni Wananchi wenu wa mjini wanaotaka mipaka kufungwa na sie tubaki na Wananchi Wetu wa Vijijini wanaotaka tuache hivyo hivyo.Suluhu inapatikana kwa wananchi wenyewe sio nje ya nchi.
Sawa sawa.
ChawaNawakumbusha tuu kwamba
1.Mvua zinanyesha nendeni la sivyo mtaendelea kulia lia hivyo hivyo
2.Serikali imetangaza Vijana waombe kujiounga kwenye mashamba ya pamoja zaidi ya Vijana mil.1 wanahitajika,wametagutiwa mashamba na Kila kitu watapewa,Sasa endeleeni ku bet.
3.Kama.huna pesa Rudi Kijijini acha kusumbua watu mjini.
Kuna wakati unajifanya ni mtaalam wa uchumi, kumbe hamna kitu. Wanaolalamikia bei ya bidhaa za chakula kupanda juu kupitiliza, siyo vijana wanaoshi tu mjini!Nawakumbusha tuu kwamba
1.Mvua zinanyesha nendeni la sivyo mtaendelea kulia lia hivyo hivyo
2.Serikali imetangaza Vijana waombe kujiounga kwenye mashamba ya pamoja zaidi ya Vijana mil.1 wanahitajika,wametagutiwa mashamba na Kila kitu watapewa,Sasa endeleeni ku bet.
3.Kama.huna pesa Rudi Kijijini acha kusumbua watu mjini.
Sina mahaba na chama Wala mm sio mwanaccm ila Mimi ni mkulima mwenyewe..Hapa unaonyesha ni jinsi ulivyovimbiwa kwa shibe! Mkuu badilika acha mahaba na chama!!
Mfanyabiashara alalamike wakati yeye ndio mnufaika wa kwanza? Pole sana Mkuu.Kuna wakati unajifanya ni mtaalam wa uchumi, kumbe hamna kitu. Wanaolalamikia bei ya bidhaa za chakula kupanda juu kupitiliza, siyo vijana wanaoshi tu mjini!
Kuna wafanyakazi ambao wanakusomeshea watoto wako, wanakutibu ukiumwa, nk. Na hawa wananunua chakula kupitia mishahara yao wanayo pokea kila mwezi.
Sasa bidhaa za chakula zinapopanda kiholela, huku kipato chao kinapobakia pale pale, huoni bajeti zao za kila mwezi zinavurugika? Na wenyewe unawashauri waache kazi za kuwahudumia watu, ilo wakalime vijijini?
Ndo hivyo unatakaje? Nenda kamsikilize Mbowe huko atashusha beiChawa
Zama za Jiwe zimeisha ,Tanzania kwanzaNimewahi tuma Halmashauri vijana wangu kadhaa, wakaambiwa wajiunge ktk makundi na wote wawe na card za CCM!!!
Ikabidi warudi tu mtaani kuendelea kuhangaika,
Maana waliseema kuliko kujiunga CCM ya sasa Bora wasubiri Mkombozi mwingine aje.
Wewe unataka ushibe alicholima nani na likitambi lako huko Mjini?Mkishiba uwa mnatuona kama mambumbu tu.
Dalili za kushiba izo.
Kwa hiyo na vifaa vya ujenzi vikipanda tukafungue viwanda vyetu vya kuzalisha hivyo vifaa au sio?Nawakumbusha tuu kwamba
1.Mvua zinanyesha nendeni la sivyo mtaendelea kulia lia hivyo hivyo
2.Serikali imetangaza Vijana waombe kujiounga kwenye mashamba ya pamoja zaidi ya Vijana mil.1 wanahitajika,wametagutiwa mashamba na Kila kitu watapewa,Sasa endeleeni ku bet.
3.Kama.huna pesa Rudi Kijijini acha kusumbua watu mjini.
maisha kutegemeana ndio maana mm nipo mjini wewe upo kijijini.Wewe unataka ushibe alicholima nani na likitambi lako huko Mjini?
Bei zinashushwa Kwa kuongeza production na offcourse muende mkafungue zaidi hivyo viwanda..Kwa hiyo na vifaa vya ujenzi vikipanda tukafungue viwanda vyetu vya kuzalisha hivyo vifaa au sio?
Yani ni balaaaMaharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh
Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.
✍️10,000 - 7500 = 2500 🤔
🤔Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
🤔Bado viungo?
🤔Bado sijanunua mafuta ya kula?
Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.
Dar kama segerea tu.
Sasa Kwa kuwa upo mjini nunua Kwa bei ya soko Sasa unalia lia nini? Wapuuzi nyie mlikataa kulipa tozo Ili watu wa Vijijini tupate vituo vya Afya..maisha kutegemeana ndio maana mm nipo mjini wewe upo kijijini.
Uchawa tu, unakusumbua
Sasa kwa Nini usiache hiyo kazi ya 10 kwa siku ukaenda kulima nawe ukapiga mihela?Maharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh
Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.
✍️10,000 - 7500 = 2500 🤔
🤔Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
🤔Bado viungo?
🤔Bado sijanunua mafuta ya kula?
Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.
Dar kama segerea tu.
Kwa hiyo mfanyakazi ana maisha mabaya kuliko mkulima au? Acha uzwazwa basi.Mimi nimeongelea athari wanazopitia wananchi wasio jihusisha moja kwa moja na kilimo! Mfano wafanyakazi ambao muda mwingi wanatakiwa kutoa huduma.
Je, huoni mnawatesa kupitia hizi sera zenu mbovu za kuruhusu chakula kuuzwa kiholela nchi jirani? Maana wanaonufaika kwanza siyo wakulima wanaouzia mazao yao shambani, tena kwa bei ya hasara! Badala yake wanufaika wakuu ni madalali!
Hivi nyinyi ccm ni nani hasa aliyewaroga, kiasi cha kujawa na kiburi kiasi hiki?
Una kichwa kizito sana bila shaka. Maana najitahidi kukuelewesha, lakini huelewi.Kwa hiyo mfanyakazi ana maisha mabaya kuliko mkulima au? Acha uzwazwa basi.