The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Sihitaji kuweka ujinga kichwani kwanguUna kichwa kizito sana bila shaka. Maana najitahidi kukuelewesha, lakini huelewi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sihitaji kuweka ujinga kichwani kwanguUna kichwa kizito sana bila shaka. Maana najitahidi kukuelewesha, lakini huelewi.
Maharage na Mchele vinalimwa mkuuKila siku tunahesabu dari.
Maharagwe una hesabu punje.
Nilikuwa najua huyu jamaa ana akili kichwani, kumbe ni matope tu.Kwa hiyo na vifaa vya ujenzi vikipanda tukafungue viwanda vyetu vya kuzalisha hivyo vifaa au sio?
Kwenu hakuna Hifadhi na wewe ukawinde swala na pundamilia ule?Maharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh
Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.
✍️10,000 - 7500 = 2500 🤔
🤔Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
🤔Bado viungo?
🤔Bado sijanunua mafuta ya kula?
Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.
Dar kama segerea tu.
Nakula Bure alicholima nani labda wewe falaHilo lenyewe lina kula bure
Chakula sio wali na maharage tuu,viazi vitamin vya elfu 2 unakula familia,ndizi za elfu 2 unakula familia,ugali nk .ni mwendo wa ugali na dagaa 2 no option
Safi sana ndio inavyotakiwa kumbe alternative ipo Sasa shida Iko wapi?Halafu hiki kipindi ndio Familia zinashindia Chapati tuu na Chai.
Au mazao yanafugwa?Maharage na Mchele vinalimwa mkuu
Nawakumbusha tuu kwamba
1.Mvua zinanyesha nendeni shamba la sivyo mtaendelea kulia lia hivyo hivyo
2.Serikali imetangaza Vijana waombe kujiounga kwenye mashamba ya pamoja zaidi ya Vijana mil.1 wanahitajika,wametagutiwa mashamba na Kila kitu watapewa,Sasa endeleeni ku bet.
3.Kama.huna pesa Rudi Kijijini acha kusumbua watu mjini
Nawakumbusha tuu kwamba
1.Mvua zinanyesha nendeni shamba la sivyo mtaendelea kulia lia hivyo hivyo
2.Serikali imetangaza Vijana waombe kujiounga kwenye mashamba ya pamoja zaidi ya Vijana mil.1 wanahitajika,wametagutiwa mashamba na Kila kitu watapewa,Sasa endeleeni ku bet.
3.Kama.huna pesa Rudi Kijijini acha kusumbua watu mjini.
Chawa wa mama uyo.Kama umezaliwa mjini na huna shamba wala wazazi hawakukusomesha unafanyaje??
Unapambana na hali Yako auKama umezaliwa mjini na huna shamba wala wazazi hawakukusomesha unafanyaje??
Suluhu ni baba na mama kuwa na shughuli za kuingiza kipato ili mgawane majukumu.Suluhu ni kula mlo mmoja ndugu
Tatizo hao wanaokula mlo mmoja kwa siku ndiyo wapiga kula wa CCM, na angalau wenye unafuu wa maisha na wanaokula milo ingalau mitatu ndiyo wanaotaka mabadiliko.Maharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh
Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.
✍️10,000 - 7500 = 2500 🤔
🤔Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
🤔Bado viungo?
🤔Bado sijanunua mafuta ya kula?
Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.
Dar kama segerea tu.
Mimi naona na bado hiyo bei ingeongezeka mpaka hao wapigiaji kula CCM akili ziwakae sawa,Maharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh
Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.
✍️10,000 - 7500 = 2500 🤔
🤔Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
🤔Bado viungo?
🤔Bado sijanunua mafuta ya kula?
Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.
Dar kama segerea tu.
Tutakuwa tumetatua tatizo au tumeongeza tatizo?Tatizo hao wanaokula mlo mmoja kwa siku ndiyo wapiga kula wa CCM, na angalau wenye unafuu wa maisha na wanaokula milo ingalau mitatu ndiyo wanaotaka mabadiliko.
Cha muhimu nf
Mimi naona na bado hiyo bei ingeongezeka mpaka hao wapigiaji kula CCM akili ziwakae sawa,
Nimekuwa mbuziSio lazima ule wali na maharage kale hata majani ya maembe kibada
Mtaji?Sasa kwa Nini usiache hiyo kazi ya 10 kwa siku ukaenda kulima nawe ukapiga mihela?
Halmashauri zinatoa mikopo hasa kwa vijana wanaotaka kulimaMtaji?
Yaani ingalau asilimia kubwa ya watu wanaotaka mabadiliko wanaunafuu wa Maisha,ngoja kiboko kiwachape labda watapata elimuTutakuwa tumetatua tatizo au tumeongeza tatizo?
Hebu tazama bei za Mchele za mikoa mbali mbali @kwa Kila gunia la kilo 100.... Ripoti iliyotolewa na wizara ya uwekezaji, viwanda na biashara.
View attachment 2489897