Viongozi mtatuua kwa sonona

Viongozi mtatuua kwa sonona

Maharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh

Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.

✍️10,000 - 7500 = 2500 🤔

🤔Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
🤔Bado viungo?
🤔Bado sijanunua mafuta ya kula?

Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.

Dar kama segerea tu.
Kwenu hakuna Hifadhi na wewe ukawinde swala na pundamilia ule?

Mali mtaipata shambani mvua zinanyesha wahini
 
ni kweli kaka kilimo ndo mkombozi
Nawakumbusha tuu kwamba
1.Mvua zinanyesha nendeni shamba la sivyo mtaendelea kulia lia hivyo hivyo
2.Serikali imetangaza Vijana waombe kujiounga kwenye mashamba ya pamoja zaidi ya Vijana mil.1 wanahitajika,wametagutiwa mashamba na Kila kitu watapewa,Sasa endeleeni ku bet.
3.Kama.huna pesa Rudi Kijijini acha kusumbua watu mjini
 
Kama umezaliwa mjini na huna shamba wala wazazi hawakukusomesha unafanyaje??
Nawakumbusha tuu kwamba
1.Mvua zinanyesha nendeni shamba la sivyo mtaendelea kulia lia hivyo hivyo
2.Serikali imetangaza Vijana waombe kujiounga kwenye mashamba ya pamoja zaidi ya Vijana mil.1 wanahitajika,wametagutiwa mashamba na Kila kitu watapewa,Sasa endeleeni ku bet.
3.Kama.huna pesa Rudi Kijijini acha kusumbua watu mjini.
 
Maharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh

Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.

✍️10,000 - 7500 = 2500 🤔

🤔Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
🤔Bado viungo?
🤔Bado sijanunua mafuta ya kula?

Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.

Dar kama segerea tu.
Tatizo hao wanaokula mlo mmoja kwa siku ndiyo wapiga kula wa CCM, na angalau wenye unafuu wa maisha na wanaokula milo ingalau mitatu ndiyo wanaotaka mabadiliko.
Cha muhimu nf
Maharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh

Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.

✍️10,000 - 7500 = 2500 🤔

🤔Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
🤔Bado viungo?
🤔Bado sijanunua mafuta ya kula?

Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.

Dar kama segerea tu.
Mimi naona na bado hiyo bei ingeongezeka mpaka hao wapigiaji kula CCM akili ziwakae sawa,
 
Tatizo hao wanaokula mlo mmoja kwa siku ndiyo wapiga kula wa CCM, na angalau wenye unafuu wa maisha na wanaokula milo ingalau mitatu ndiyo wanaotaka mabadiliko.
Cha muhimu nf

Mimi naona na bado hiyo bei ingeongezeka mpaka hao wapigiaji kula CCM akili ziwakae sawa,
Tutakuwa tumetatua tatizo au tumeongeza tatizo?

Hebu tazama bei za Mchele za mikoa mbali mbali @kwa Kila gunia la kilo 100.... Ripoti iliyotolewa na wizara ya uwekezaji, viwanda na biashara.
Screenshot_20230121-001935_1.jpg
 
Back
Top Bottom