Viongozi mtatuua kwa sonona

Viongozi mtatuua kwa sonona

Maharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh

Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.

[emoji3578]10,000 - 7500 = 2500 [emoji848]

[emoji848]Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
[emoji848]Bado viungo?
[emoji848]Bado sijanunua mafuta ya kula?

Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.

Dar kama segerea tu.
Uko wapi nikuagizie maharage debe zima ,, kwa bei ndogo tu....
 
Unajua kupika kweli wewe ?? Yani marage kilo na Mchelle kilo Sasa hapo mboga Ni ipi maana marage yatakuwa mengi kuliko wali labda uweke marage afu wali ndo Kama mboga unanyunyuzia kwa juu


Afu inamaana utakuwa unakula Kila siku kilo ya marage
Sijui njoo unifundishe.
 
1. Huu ni msimu kilimo cha nini?
2. Usifikiri kila mtu ana ndugu vijijini ondoa iyo mindset.
3. Sio kila mtu anauwezo wa kumudu gharama za kulima pamoja na maisha.

Things are not easy as you think.
Umenena vema, mjini shule brother. Kulia njaa town ni aibu, huku kuna mashamba nyomi ya kujisevia. Kwanini unang'ang'ania town kama life tu la chakula limekugome?
 
Komaa tu kaka
Maharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh

Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.

✍️10,000 - 7500 = 2500 🤔

🤔Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
🤔Bado viungo?
🤔Bado sijanunua mafuta ya kula?

Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.

Dar kama segerea tu.
 
40k, per day🤔

Job connection my dear.?
As you know now days, it's not easy to get a job. Because of lower number of employment opportunities.
Mwaka Jana ndio walihitaji watu wafuatao nipo serious .

1.waalimu wa masomo yote secondary na primary. Wa primary mishahara Yao ni wenye uzoefu laki nane wasio na uozefu laki 5

2.secondary wenye uzoefu 1.5ml

Wasio na uzoefu ni 1ml

Wapishi laki 3 walinzi laki 3nanusu

Wafanya usafi laki 2 naishirini.


Sijui ingine .


Kuna nyingi nyingi ila Sasa sijui mishahara yao.

Kunasiku watu walinichamba hapa kuhusu tell me about yourself niliitwa kama mtahini .

Tuliwapata nasasa wanafanya kazi .

Secondary hiyo ilikuwa mpya.

Watu wanashida halafu wanapondea wenzao basi good day mwaya nikisikia .
 
Mwaka Jana ndio walihitaji watu wafuatao nipo serious .

1.waalimu wa masomo yote secondary na primary. Wa primary mishahara Yao ni wenye uzoefu laki nane wasio na uozefu laki 5

2.secondary wenye uzoefu 1.5ml

Wasio na uzoefu ni 1ml

Wapishi laki 3 walinzi laki 3nanusu

Wafanya usafi laki 2 naishirini.


Sijui ingine .


Kuna nyingi nyingi ila Sasa sijui mishahara yao.

Kunasiku watu walinichamba hapa kuhusu tell me about you are self niliitwa kama mtahini .

Tuliwapata nasasa wanafanya kazi .

Secondary hiyo ilikuwa mpya.

Watu wanashida halafu wanapondea wenzao basi good day mwaya nikisikia .
Cool Pal'
I appreciate it .
Thanks for a nice description 🤝
Cheers✌️
 
Umenena vema, mjini shule brother. Kulia njaa town ni aibu, huku kuna mashamba nyomi ya kujisevia. Kwanini unang'ang'ania town kama life tu la chakula limekugome?
Kwanza kwenye maisha neno aibu litoe.

Haimaanishi mtu akikaa mjini ndiyo mambo super na hana njaa. Hama mtu akikaa Kijiji ndiyo kafulia na anategemea kilimo tu, nop.

Maisha ni hali na pia hayana formula. Hautakiwi kuyatabiri kwa sababu life is unpredictable Pal'.
 
Maharagwe kilo 4000 + mchele 3500 = jumla 7500Tsh

Hao mnaowasifu wawekezaji wanatulipa 10,000/= per day.

✍️10,000 - 7500 = 2500 🤔

🤔Bado sijanunua mkaa wa kupikia?
🤔Bado viungo?
🤔Bado sijanunua mafuta ya kula?

Nyie mnakula Swala, Pundamilia, Mbuni Tembo......sisi kila siku tunakula maharagwe chukuchuku.

Dar kama segerea tu.
Shika jembe ukalime kwa matumizi ya nyumbani. Acha kulia lia. Huu ni msimu wa wakulima kutajirika.
 
Unajua kupika kweli wewe ?? Yani marage kilo na Mchelle kilo Sasa hapo mboga Ni ipi maana marage yatakuwa mengi kuliko wali labda uweke marage afu wali ndo Kama mboga unanyunyuzia kwa juu


Afu inamaana utakuwa unakula Kila siku kilo ya marage
Marage ndiyo kitu gani mkuu ?
 
Ni mwendo wa kula ugali + mboga za majani tu
Maharage imekuwa anasa, samaki ndio hata bei hatuulizi
 
Back
Top Bottom