Mtarajia kwenda yanga,,, na kwenye vikao vyote ye ndo mgeni rasmiMwendazake bila shaka alikuwa simba
Sijakuelewa hebu tulia uandike kwa kituoMtarajia kwenda yanga,,, na kwenye vikao vyote ye ndo mgeni rasmi
Kama uzi unavyojieleza.
Huwezi zungumzia soka la Africa kwa sasa bila kuzitaja club za Simba na Yanga.
Kama unamjua kiongozi au celebrity yeyote shabiki wa Simba au Yanga mposti hapa.
Itapendeza zaidi akiwa ndani ya uzi wa club husika.
Pia Kama wewe ni shabiki wa Yanga weka like 👍 yako kama ni wa Simba weka emoji ya love😍. Tujue wana jamii forum wengi tupo wapi
View attachment 1842166
View attachment 1842168
Kwa hiyo hapo sijaandika kwa kituo si ndio?Sijakuelewa hebu tulia uandike kwa kituo
Mkuu cannabis 😂😂 unatuchanganya na kututoa kwenye mstariKimatafia nasikia mwamba ni yanga damu damu🤣👇
View attachment 1842307