Viongozi na Mastaa wa Bongo ambao ni mashabiki wa Simba na Yanga

Viongozi na Mastaa wa Bongo ambao ni mashabiki wa Simba na Yanga

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata anaijua?
Messi ni shabiki kindaki ndaki wa Utopolo FC
20210707_160057.jpg
 
Yanga haijulikani Afrika.Acheni ujinga.Hata ktk klabu bora mia moja Utopolo haipo.
Ficha upumbavu wako ndugu, Yanga ndio klabu kongwe hapa bongo na imeanza kujulikana kitambo sana. Naona unapotezwa na pr ya simba ya kilaza Manara ndio unadhani Simba inajulikana zaidi.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Ficha upumbavu wako ndugu, Yanga ndio klabu kongwe hapa bongo na imeanza kujulikana kitambo sana. Naona unapotezwa na pr ya simba ya kilaza Manara ndio unadhani Simba inajulikana zaidi.
Yanga since 1935, Simba 1936 Kama sijakosea
 
Back
Top Bottom