Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
- Thread starter
-
- #81
Angalao wewe unapoint zinazofikirisha. Natamn uendelee kutoa kutoa uchambuzi zaidi tunaweza kupata point zaidi
Mbona FCC wameeleweka vizuri tu. Wao wanafanya kazi kwa kufuata miongozo na ndio waliyofuata wakati wa kuchambua maombi ya Simba.Unajua wengi mnataka kuyapeleka mambo kimiemko kuliko kiuhalisia!! Hao watu wa FCC wametoa taarifa yao na ukiisoma vizuri bado na wao kuna pahara wanajichanganya!! Tukirudi kwenye suala la uwekezaji, hapa watu wengi ndio wanajichanganya!! Wengi hawajui maana ya uwekezaji?!! na MO hapa ndipo alipowachanganya waswahili, maana kabla ya MO kutangaza kutaka kuweka hizo bilion 20, Simbasc ilikuwa sio taasisi ya kibiashara!! Ndio maana akasema anawekeza kununua asilimia fulani za hisa!! Lengo lake simbasc itakapo badilika na kuwa taasisi ya kibiashara ikatimiza vigezo vyote ndipo atakapo "wekeza"hizo pesa ambazo kimsingi ni zake!! Hata ikitokea ameziweka leo kesho akataka kuzitoa anaweza kuzitoa kwa kufuata utaratibu wa kuuza hisa zake na kurudisha pesa!!
Mo ana watu wake anaowatumia kufanikisha hilo,Mkuu unataka kusema Mo ametanguliza tumbo? Unajua hoja nyingine hata kichwani haziingii?
Umeongea point kubwa sana mkuu, daima mtu msomi anaejua business haezi fanya kitu kwa hasara, hata kama mo dewji anaipenda simba kiasi gani!! Watu wanashindwa kutambua huwezi anza kuezeka nyumba bila kutengeneza msingi imara, . kiufupi simba ilikuwa hovyo sana, anachofanya Mo ni kutengeneza mazingira mazuri ya uendeshaji wa club ili hata akiweka pesa faida ionekane kwake na kwa club pamoja na wanahisa wengine!! Pesa sio nyanya kuwa unaweza mwaga tu bila watu waokote, Plan, plan !! Rangi nyeusi ni tatizo kubwa sana, na hawa ndio watu wa kwanza kumpinga magufuli bila kujua plan yake ipo vipi, yaani watu wanawaza kiufupi bila kufikiria mbali zaidi!!Wengi wanaompinga MO sio kwamba wana uchungu na Simbasc ni watu wanao ona wivu na watengeneza fitna, ni kawaida ya ngozi nyeusi!!! Maana ukiwasikiliza wapingaji wengi hawana mawazo mbadala zaidi ya kejeli na matusi kwa muekezaji!!
Kauli zao ni "Simbasc inaibiwa" muhindi ni mjanja anafaidika sana, hawasemi anafaidika nini na kwa kiwango gani?!!! Akili za wamatumbi "waswahili" ni shida. Kwa akili tu kabla ya kuja kwa bw. MO simbasc ilikuwa kama kikundi cha tu cha watu kisichokuwa na vision wala mission ya kueleweka, uyu muhindi amejaribu angalau kufanya kitu kinachoonekana.
Kama tunaitaji kukosoa ni ruksa tukosoe uku tukionyesha njia sahihi za kupita na sio makelele tu kama tupo kwenye vijiwe vya walevi!! Tumeona simbasc imebadilika inalipa mishahara kwa wakati, inasajili wachezaji wazuri angalau kwa ukanda huu, ina wataalamu wa benchi la ufundi na imetoa ajira kwa vijana wengine kwenye engo tofauti za kiofisi!! Yote hayo uwezi kusikia wakosoaji walau wakipongeza!!
Mimi ninachoona MO Dewji anajaribu kutengeneza taasisi yenye brand ya kueleweka ili baadae aje atengeneze faida ambayo watagawana yeye na wanahisa wenzake ambao watakuwa wanamiliki share!! Kitu ambacho ndio lengo la mfanyabiashara yeyote yule, kitu ambacho sio kibaya hata kidogo, ila kwa sasa mtu akisema anafaidi sijui anapata zaidi ni uongo mkubwa na mtu wa dizaini iyo hajui biashara!! Biashara ya mpira kwenye nchi maskini kama hii ambayo haina miundombinu ya mpira wala mazingira rafiki ya uwekezaji wa mpira ni ngumu kufanikiwa!!! Ndio maana wafadhili wengi wa vilabu vya Simba and Yanga wa zamani waliishia kufilisika tu!! Washabiki wa nchi hii wanajaa mechi moja wakikutana watani!! Hata mapato yanayopatikana hapo ukichunguza asilimia kubwa yanaenda kwenye taasisi za serikali, na timu zinabaki na chini ya asilimia 30 tu. Sasa hapo ni mwehu tu anaweza kusema kuna faida!!
Kuhusu biashara ya jezi nayo ni utata mtupu washabiki wengi wanavaa jezi feki, ambazo mapato yake yanaishia kwa wanjanja wa kikinga hapo kariakoo!! Hakuna udhibiti na serikali ipo kimya!!!
Nafikili kuliko kumkosoa MO kwa kumuita majina mabaya na kumtuhumu ebu tumpe ushirikiano wa mawazo ili walau tuone tutafika wapi!! Maana kiukweli hizi timu kubwa zikisimama vizuri zitainua soka la nchi hii kwa asilimia kubwa.
Lets say mo ameacha timu now je kuna mwanaichi anaweza kuchangia timu mpaka ifanye usajiri mkubwa kama huu na mishahara?
Hahahaha, Simba wanaamini tajiri na muekezaji ni Mo tu ,hakuna mwingineKwani alieomba kununua hisa alikuwa Mo peke yake?Why unauliza maswali ya kimasikini ya kinyonge??
Walio bid kununua hisa walikua wengi ..
Akishindwa yeye wengine wanaingia
Iwe case studyYanga watumie hii kujifunza wakianza mchakato,usiwe wa mashaka mashaka.
Ukisikiliza pande zote mbili utagundua kuna kitu nyuma ya pazia,Umeongea point kubwa sana mkuu, daima mtu msomi anaejua business haezi fanya kitu kwa hasara, hata kama mo dewji anaipenda simba kiasi gani!! Watu wanashindwa kutambua huwezi anza kuezeka nyumba bila kutengeneza msingi imara, . kiufupi simba ilikuwa hovyo sana, anachofanya Mo ni kutengeneza mazingira mazuri ya uendeshaji wa club ili hata akiweka pesa faida ionekane kwake na kwa club pamoja na wanahisa wengine!! Pesa sio nyanya kuwa unaweza mwaga tu bila watu waokote, Plan, plan !! Rangi nyeusi ni tatizo kubwa sana, na hawa ndio watu wa kwanza kumpinga magufuli bila kujua plan yake ipo vipi, yaani watu wanawaza kiufupi bila kufikiria mbali zaidi!!
Kebehi zinazotolewa na waandishi uchwara, wapinzani pamoja na baadhi ya wanasimba sidhani kama kulitakia heri soka letu la Tanzania, !!
Ningeona watanzania tuna busara kama tungekosoa positively na kutengeneza njia nzuri itakayompa dira mwekezaji kutopata woga wa kuwekeza!!
Waandishi wa habari juzi tu tunacheza na Tunisia wamebaki kumwomba Mungu aisaidie Taifa stars ushindi wakati wanajua kabsa tatizo lipo wapi, Mungu anakusaidia vipi kama wewe ni mpumbavu ulobobea!!
Kwanini wawekezaji wasiungwe mkono ili tupate Timu bora ya Taifa na yenye nguvu, !!
Watanzania wengi wanashabikia timu za nje bila kujua misingi ya zile timu, hivi nani katuroga tuwe wapumbavu hivi, shetani gani anasumbua vichwa vyetu?
Duuh kwa akili zetu watanzania tutaendelea kuwa wapumbavu na kichwa cha mwendawazimu hadi basi
Wengi wawapi?Kwani alieomba kununua hisa alikuwa Mo peke yake?Why unauliza maswali ya kimasikini ya kinyonge??
Walio bid kununua hisa walikua wengi ..
Akishindwa yeye wengine wanaingia
Wanasema na bakheresaWengi wawapi?
Alikuwa MO peke yake,
Hapo ktk hy barua ya FCC naona kuna Simba company km NNE zote za Mo ?Wengi wawapi?
Alikuwa MO peke yake,
Cc mtu chake tusaidiane hapaMoo dewji ana hisa % ngapi? Kuna sehemu nilisikia wanachama hisa 51, wawekezaji wasiopungua 3 hisa 49, au Moo kachukua 49% peke yake?
Kuna mtu kanielezea hiyo Mo Simba company Ltd ina wana hisa watatu ambao ni familia ya Dewji ila Mo ndo ana hisa nyingSijajua mgawanyo utakuwaje ila naona hapo wadaawa watakua Simba Sports Club(Ya wanachama), Mo Simba Company Limited(Nadhani ndio ya Mo) na Simba Sports Club Holding Company Limited(Ya nani??) Ambao watafanya muungano(Merger) kutengeneza Simba Sports Club Company Limited (Ndio watakua waendeshaji was Timu) hii ndo ya Barbra sasa
Nataka kujua na hii simba Holding in ya nani??Kuna mtu kanielezea hiyo Mo Simba company Ltd ina wana hisa watatu ambao ni familia ya Dewji ila Mo ndo ana hisa nying