Umeongea point kubwa sana mkuu, daima mtu msomi anaejua business haezi fanya kitu kwa hasara, hata kama mo dewji anaipenda simba kiasi gani!! Watu wanashindwa kutambua huwezi anza kuezeka nyumba bila kutengeneza msingi imara, . kiufupi simba ilikuwa hovyo sana, anachofanya Mo ni kutengeneza mazingira mazuri ya uendeshaji wa club ili hata akiweka pesa faida ionekane kwake na kwa club pamoja na wanahisa wengine!! Pesa sio nyanya kuwa unaweza mwaga tu bila watu waokote, Plan, plan !! Rangi nyeusi ni tatizo kubwa sana, na hawa ndio watu wa kwanza kumpinga magufuli bila kujua plan yake ipo vipi, yaani watu wanawaza kiufupi bila kufikiria mbali zaidi!!
Kebehi zinazotolewa na waandishi uchwara, wapinzani pamoja na baadhi ya wanasimba sidhani kama kulitakia heri soka letu la Tanzania, !!
Ningeona watanzania tuna busara kama tungekosoa positively na kutengeneza njia nzuri itakayompa dira mwekezaji kutopata woga wa kuwekeza!!
Waandishi wa habari juzi tu tunacheza na Tunisia wamebaki kumwomba Mungu aisaidie Taifa stars ushindi wakati wanajua kabsa tatizo lipo wapi, Mungu anakusaidia vipi kama wewe ni mpumbavu ulobobea!!
Kwanini wawekezaji wasiungwe mkono ili tupate Timu bora ya Taifa na yenye nguvu, !!
Watanzania wengi wanashabikia timu za nje bila kujua misingi ya zile timu, hivi nani katuroga tuwe wapumbavu hivi, shetani gani anasumbua vichwa vyetu?
Duuh kwa akili zetu watanzania tutaendelea kuwa wapumbavu na kichwa cha mwendawazimu hadi basi