Viongozi ndiyo wanaokwamisha mchakato wa mabadiliko, FCC yatoa taarifa leo. Mashabiki na wanachama wa Simba mtadanganywa hadi lini?

Viongozi ndiyo wanaokwamisha mchakato wa mabadiliko, FCC yatoa taarifa leo. Mashabiki na wanachama wa Simba mtadanganywa hadi lini?

Wengi wanaompinga MO sio kwamba wana uchungu na Simbasc ni watu wanao ona wivu na watengeneza fitna, ni kawaida ya ngozi nyeusi!!! Maana ukiwasikiliza wapingaji wengi hawana mawazo mbadala zaidi ya kejeli na matusi kwa muekezaji!!
Kauli zao ni "Simbasc inaibiwa" muhindi ni mjanja anafaidika sana, hawasemi anafaidika nini na kwa kiwango gani?!!! Akili za wamatumbi "waswahili" ni shida. Kwa akili tu kabla ya kuja kwa bw. MO simbasc ilikuwa kama kikundi cha tu cha watu kisichokuwa na vision wala mission ya kueleweka, uyu muhindi amejaribu angalau kufanya kitu kinachoonekana.
Kama tunaitaji kukosoa ni ruksa tukosoe uku tukionyesha njia sahihi za kupita na sio makelele tu kama tupo kwenye vijiwe vya walevi!! Tumeona simbasc imebadilika inalipa mishahara kwa wakati, inasajili wachezaji wazuri angalau kwa ukanda huu, ina wataalamu wa benchi la ufundi na imetoa ajira kwa vijana wengine kwenye engo tofauti za kiofisi!! Yote hayo uwezi kusikia wakosoaji walau wakipongeza!!
Mimi ninachoona MO Dewji anajaribu kutengeneza taasisi yenye brand ya kueleweka ili baadae aje atengeneze faida ambayo watagawana yeye na wanahisa wenzake ambao watakuwa wanamiliki share!! Kitu ambacho ndio lengo la mfanyabiashara yeyote yule, kitu ambacho sio kibaya hata kidogo, ila kwa sasa mtu akisema anafaidi sijui anapata zaidi ni uongo mkubwa na mtu wa dizaini iyo hajui biashara!! Biashara ya mpira kwenye nchi maskini kama hii ambayo haina miundombinu ya mpira wala mazingira rafiki ya uwekezaji wa mpira ni ngumu kufanikiwa!!! Ndio maana wafadhili wengi wa vilabu vya Simba and Yanga wa zamani waliishia kufilisika tu!! Washabiki wa nchi hii wanajaa mechi moja wakikutana watani!! Hata mapato yanayopatikana hapo ukichunguza asilimia kubwa yanaenda kwenye taasisi za serikali, na timu zinabaki na chini ya asilimia 30 tu. Sasa hapo ni mwehu tu anaweza kusema kuna faida!!
Kuhusu biashara ya jezi nayo ni utata mtupu washabiki wengi wanavaa jezi feki, ambazo mapato yake yanaishia kwa wanjanja wa kikinga hapo kariakoo!! Hakuna udhibiti na serikali ipo kimya!!!
Nafikili kuliko kumkosoa MO kwa kumuita majina mabaya na kumtuhumu ebu tumpe ushirikiano wa mawazo ili walau tuone tutafika wapi!! Maana kiukweli hizi timu kubwa zikisimama vizuri zitainua soka la nchi hii kwa asilimia kubwa.
Mhindi usiwafokee mbumbumbu
 
Unajua wengi mnataka kuyapeleka mambo kimiemko kuliko kiuhalisia!! Hao watu wa FCC wametoa taarifa yao na ukiisoma vizuri bado na wao kuna pahara wanajichanganya!! Tukirudi kwenye suala la uwekezaji, hapa watu wengi ndio wanajichanganya!! Wengi hawajui maana ya uwekezaji?!! na MO hapa ndipo alipowachanganya waswahili, maana kabla ya MO kutangaza kutaka kuweka hizo bilion 20, Simbasc ilikuwa sio taasisi ya kibiashara!! Ndio maana akasema anawekeza kununua asilimia fulani za hisa!! Lengo lake simbasc itakapo badilika na kuwa taasisi ya kibiashara ikatimiza vigezo vyote ndipo atakapo "wekeza"hizo pesa ambazo kimsingi ni zake!! Hata ikitokea ameziweka leo kesho akataka kuzitoa anaweza kuzitoa kwa kufuata utaratibu wa kuuza hisa zake na kurudisha pesa!!
Sidhani hata kama na wewe unaelewa tatizo liko wapi.
Tatizo lililopo Mo ni mzamini kwa sasa maana bado hajawekeza pale simba kile kiasi kilichopo kwenye mkataba ili awe mmiliki halali wa 49%.
Mkanganyiko unapokuja ni kua kama uwekezaji bado je yeye anawezaje kuwa mwenyekiti wa bodi?
 
Wengi wanaompinga MO sio kwamba wana uchungu na Simbasc ni watu wanao ona wivu na watengeneza fitna, ni kawaida ya ngozi nyeusi!!! Maana ukiwasikiliza wapingaji wengi hawana mawazo mbadala zaidi ya kejeli na matusi kwa muekezaji!!
Kauli zao ni "Simbasc inaibiwa" muhindi ni mjanja anafaidika sana, hawasemi anafaidika nini na kwa kiwango gani?!!! Akili za wamatumbi "waswahili" ni shida. Kwa akili tu kabla ya kuja kwa bw. MO simbasc ilikuwa kama kikundi cha tu cha watu kisichokuwa na vision wala mission ya kueleweka, uyu muhindi amejaribu angalau kufanya kitu kinachoonekana.
Kama tunaitaji kukosoa ni ruksa tukosoe uku tukionyesha njia sahihi za kupita na sio makelele tu kama tupo kwenye vijiwe vya walevi!! Tumeona simbasc imebadilika inalipa mishahara kwa wakati, inasajili wachezaji wazuri angalau kwa ukanda huu, ina wataalamu wa benchi la ufundi na imetoa ajira kwa vijana wengine kwenye engo tofauti za kiofisi!! Yote hayo uwezi kusikia wakosoaji walau wakipongeza!!
Mimi ninachoona MO Dewji anajaribu kutengeneza taasisi yenye brand ya kueleweka ili baadae aje atengeneze faida ambayo watagawana yeye na wanahisa wenzake ambao watakuwa wanamiliki share!! Kitu ambacho ndio lengo la mfanyabiashara yeyote yule, kitu ambacho sio kibaya hata kidogo, ila kwa sasa mtu akisema anafaidi sijui anapata zaidi ni uongo mkubwa na mtu wa dizaini iyo hajui biashara!! Biashara ya mpira kwenye nchi maskini kama hii ambayo haina miundombinu ya mpira wala mazingira rafiki ya uwekezaji wa mpira ni ngumu kufanikiwa!!! Ndio maana wafadhili wengi wa vilabu vya Simba and Yanga wa zamani waliishia kufilisika tu!! Washabiki wa nchi hii wanajaa mechi moja wakikutana watani!! Hata mapato yanayopatikana hapo ukichunguza asilimia kubwa yanaenda kwenye taasisi za serikali, na timu zinabaki na chini ya asilimia 30 tu. Sasa hapo ni mwehu tu anaweza kusema kuna faida!!
Kuhusu biashara ya jezi nayo ni utata mtupu washabiki wengi wanavaa jezi feki, ambazo mapato yake yanaishia kwa wanjanja wa kikinga hapo kariakoo!! Hakuna udhibiti na serikali ipo kimya!!!
Nafikili kuliko kumkosoa MO kwa kumuita majina mabaya na kumtuhumu ebu tumpe ushirikiano wa mawazo ili walau tuone tutafika wapi!! Maana kiukweli hizi timu kubwa zikisimama vizuri zitainua soka la nchi hii kwa asilimia kubwa.
Mo Barba
 
Wengi wanaompinga MO sio kwamba wana uchungu na Simbasc ni watu wanao ona wivu na watengeneza fitna, ni kawaida ya ngozi nyeusi!!! Maana ukiwasikiliza wapingaji wengi hawana mawazo mbadala zaidi ya kejeli na matusi kwa muekezaji!!
Kauli zao ni "Simbasc inaibiwa" muhindi ni mjanja anafaidika sana, hawasemi anafaidika nini na kwa kiwango gani?!!! Akili za wamatumbi "waswahili" ni shida. Kwa akili tu kabla ya kuja kwa bw. MO simbasc ilikuwa kama kikundi cha tu cha watu kisichokuwa na vision wala mission ya kueleweka, uyu muhindi amejaribu angalau kufanya kitu kinachoonekana.
Kama tunaitaji kukosoa ni ruksa tukosoe uku tukionyesha njia sahihi za kupita na sio makelele tu kama tupo kwenye vijiwe vya walevi!! Tumeona simbasc imebadilika inalipa mishahara kwa wakati, inasajili wachezaji wazuri angalau kwa ukanda huu, ina wataalamu wa benchi la ufundi na imetoa ajira kwa vijana wengine kwenye engo tofauti za kiofisi!! Yote hayo uwezi kusikia wakosoaji walau wakipongeza!!
Mimi ninachoona MO Dewji anajaribu kutengeneza taasisi yenye brand ya kueleweka ili baadae aje atengeneze faida ambayo watagawana yeye na wanahisa wenzake ambao watakuwa wanamiliki share!! Kitu ambacho ndio lengo la mfanyabiashara yeyote yule, kitu ambacho sio kibaya hata kidogo, ila kwa sasa mtu akisema anafaidi sijui anapata zaidi ni uongo mkubwa na mtu wa dizaini iyo hajui biashara!! Biashara ya mpira kwenye nchi maskini kama hii ambayo haina miundombinu ya mpira wala mazingira rafiki ya uwekezaji wa mpira ni ngumu kufanikiwa!!! Ndio maana wafadhili wengi wa vilabu vya Simba and Yanga wa zamani waliishia kufilisika tu!! Washabiki wa nchi hii wanajaa mechi moja wakikutana watani!! Hata mapato yanayopatikana hapo ukichunguza asilimia kubwa yanaenda kwenye taasisi za serikali, na timu zinabaki na chini ya asilimia 30 tu. Sasa hapo ni mwehu tu anaweza kusema kuna faida!!
Kuhusu biashara ya jezi nayo ni utata mtupu washabiki wengi wanavaa jezi feki, ambazo mapato yake yanaishia kwa wanjanja wa kikinga hapo kariakoo!! Hakuna udhibiti na serikali ipo kimya!!!
Nafikili kuliko kumkosoa MO kwa kumuita majina mabaya na kumtuhumu ebu tumpe ushirikiano wa mawazo ili walau tuone tutafika wapi!! Maana kiukweli hizi timu kubwa zikisimama vizuri zitainua soka la nchi hii kwa asilimia kubwa.
Barua ya FCC imejitosheleza kuwa MO ni muhuni.
Mawazo na ushauri kwa Mudi afate maelekezo ya FCC.
 
Unajua wengi mnataka kuyapeleka mambo kimiemko kuliko kiuhalisia!! Hao watu wa FCC wametoa taarifa yao na ukiisoma vizuri bado na wao kuna pahara wanajichanganya!! Tukirudi kwenye suala la uwekezaji, hapa watu wengi ndio wanajichanganya!! Wengi hawajui maana ya uwekezaji?!! na MO hapa ndipo alipowachanganya waswahili, maana kabla ya MO kutangaza kutaka kuweka hizo bilion 20, Simbasc ilikuwa sio taasisi ya kibiashara!! Ndio maana akasema anawekeza kununua asilimia fulani za hisa!! Lengo lake simbasc itakapo badilika na kuwa taasisi ya kibiashara ikatimiza vigezo vyote ndipo atakapo "wekeza"hizo pesa ambazo kimsingi ni zake!! Hata ikitokea ameziweka leo kesho akataka kuzitoa anaweza kuzitoa kwa kufuata utaratibu wa kuuza hisa zake na kurudisha pesa!!
Sijakataa mkuu lakn kumbuka n huyuhuyu MO ndiye aliyesema kuwa mchakato umekamilika kwa 97% je alimaanisha nn? Unajua wengi tunaangalia matokeo ya Leo ya timu yetu kuwa inashinda vikombe vya ndan lakn hatuangalii future ya timu kujiendesha bila kutegemea hawa maponjoro

Yanga enzi za YUSUFU MANJI ilinshinda kila kitu cha ndani na wakjisahaulisha kuwa hawana shida Leo wenyewe mnaona nn kinawakuta

FCC wapo pale kwa ajil ya kuweka mambo sawa kila upande utimize wajbu wake

Kama mchakato bado he mo anahudumu simba kam nani na anamamlaka yap hadi achague Co mpya wakat mchakato bado ?

Sasa tuchague moja je tunataka furaha yamuda mfupi kama yanga kwa manji au tukomae na FCC ili mchakato uende mbele ili tufurah milele?

Hamis kigwangala alisema haya mwenyekiti upande wa wanachama SUED NKWABI aliyasema haya kuwa IPO. Siku ukweli utajulikana na ndio huu umejulikana wazi
 
Mo-pesa ,Mo- maarifa,Mo-mafa ikio,lakini wanaoumia sanaaa ni timu wananchi,hawapendi na haitatokea kupenda mafanikio ya Mo +[emoji881][emoji460], pilipili isiyoila inakuwashia Nini [emoji196][emoji196][emoji196]?
Sisi mwananchi wenye Akili tulishajua hapa kuna janja janja wanafanyiwa mbumbumbu
 
Haya alishayaona Dr Kigwa,akatoa ushauri kuwa kanjibhai aweke mzigo mezani kabla ya ajira ya house girl wake kwenye timu.. Dr alitukanwa matusi balaa
Tatizo aliomba bodaboda
 
Kanjibay mjanja mjanja sana yaani ukisoma hapo no.6 utagundua kiasi kilichopo kwenye mkataba sio hiyo billion 20 inayotajwa mitandaoni.
Nakubaliana na wewe kbsa, hapo huwenda kiasi kinachotajwa majukwaani ni kikubwa kuliko kilichopo kwenye mkataba
 
Wadaawa ndo kina nani mkuu?
Simba hao........nadhani ni kiswahili ambacho hakijazoeleka Sana kutumika,nadhani ni neno wanaolitumia kwenye mishe zao na litakuwa limetafsiriwa toka lugha ya malkia,soon tutalielewa vema
 
Kanjibay mjanja mjanja sana yaani ukisoma hapo no.6 utagundua kiasi kilichopo kwenye mkataba sio hiyo billion 20 inayotajwa mitandaoni.
Mkuu unahisi mkataba una kuasi cha 50b au?
 
Unajua wengi mnataka kuyapeleka mambo kimiemko kuliko kiuhalisia!! Hao watu wa FCC wametoa taarifa yao na ukiisoma vizuri bado na wao kuna pahara wanajichanganya!! Tukirudi kwenye suala la uwekezaji, hapa watu wengi ndio wanajichanganya!! Wengi hawajui maana ya uwekezaji?!! na MO hapa ndipo alipowachanganya waswahili, maana kabla ya MO kutangaza kutaka kuweka hizo bilion 20, Simbasc ilikuwa sio taasisi ya kibiashara!! Ndio maana akasema anawekeza kununua asilimia fulani za hisa!! Lengo lake simbasc itakapo badilika na kuwa taasisi ya kibiashara ikatimiza vigezo vyote ndipo atakapo "wekeza"hizo pesa ambazo kimsingi ni zake!! Hata ikitokea ameziweka leo kesho akataka kuzitoa anaweza kuzitoa kwa kufuata utaratibu wa kuuza hisa zake na kurudisha pesa!!
Angalao wewe unapoint zinazofikirisha. Natamn uendelee kutoa kutoa uchambuzi zaidi tunaweza kupata point zaidi
 
Sidhani hata kama na wewe unaelewa tatizo liko wapi.
Tatizo lililopo Mo ni mzamini kwa sasa maana bado hajawekeza pale simba kile kiasi kilichopo kwenye mkataba ili awe mmiliki halali wa 49%.
Mkanganyiko unapokuja ni kua kama uwekezaji bado je yeye anawezaje kuwa mwenyekiti wa bodi?
Swali nzuri sana. Viongozi wa Simba waje watupe majibu
 
Back
Top Bottom