Viongozi sikilizeni matakwa ya Wananchi, zama hizi Tofauti

Viongozi sikilizeni matakwa ya Wananchi, zama hizi Tofauti

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kumekuwa na kusigishana baina ya viongozi na wananchi kwa sababu ya tofauti za kimitizamo.

Hii imeshuhudia kwenye maeneo mengi. Tokea mto Mara, Katiba Mpya, wamasai Ngorongoro, dhuluma za polisi, nk.

Tofauti ni jambo la kheri ila ikumbukwe mwananchi ndiye anapaswa kutamalaki.

Viongozi kumbukeni ninyi ni watumishi wetu wala si watawala.




Tunakoelekea kwa mwendo huu na nyomi hizi zonazidi kuchoshwa na janja janja, ghadhabu inazidi kupanda.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Tendeni wema mwende zenu, historia itakuwepo kuwasemea.
 
Kumekuwa na kusigishana baina ya viongozi na wananchi kwa sababu ya tofauti za kimitizamo.

Hii imeshuhudia kwenye maeneo mengi. Tokea mto Mara, Katiba Mpya, wamasai Ngorongoro, dhuluma za polisi, nk.

Tofauti ni jambo la kheri ila ikumbukwe mwananchi ndiye anapaswa kutamalaki.

Viongozi kumbukeni ninyi ni watumishi wetu wala si watawala.

View attachment 2164384


Tunakoelekea kwa mwendo huu na nyomi hizi zonazidi kuchoshwa na janja janja, ghadhabu inazidi kupanda.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Tendeni wema mwende zenu, historia itakuwepo kuwasemea.
Lakini si diwani wa ccm? watajuana wenyewe
 
Amani iwe juu yenu.

Leo nimesikitishwa sana na hoja za wenyeviti vya uvccm wilaya za Kinondoni, Ubungo na kigamboni kwa hoja zao tatu zifuatazo:

1. Wanaccm hawa wanaipinga Katiba mpya kwa nguvu kubwa sana as if anayeitaka katiba ni mpinzani wao tu, bila kujua katiba ni Mali ya Mwananchi na sio chama fulani. Dunia ya sasa kupinga mabadiliko ya katiba ili kuendana na wakati wa sasa unahitaji kuwa na akili ngumu sana. KATIBA MPYA ILITAKIWA NDIO IWE AJENDA YAO TANGU NA MAPEMA SEMA WALICHELEWA SANA.

2. Wanaccm kutaka katiba mpya iwe kwanza kwenye ilani yao ya chama ndio wafanye mabadiliko au kuandika mpya inakupa picha ya uwezo wao wa akili. Leo nimeona AIBU mwenyekiti uvccm kusema katiba mpya haipo kwenye ilani yao ya chama INASIKITISHA SANA. NI VILE TU WANANCHI NAO HAWAJITAMBUI.

3. Kwa Dunia ya sasa kujinadi kwenye uchaguzi kwamba umejenga madarasa, barabara, hospitali na vituo vya afya inahitajika roho ngumu sana kwa kweli mana hivyo vitu hata wakoloni walifanya na bado tuliwaondoa. Tanzania ya sasa sio ya wajinga wa miaka ile ya 2010 kurudi nyuma.

USHAURI KWA CCM

1. Muache UCHAWA badala yake muwe wa kweli ili muendane na wakati na mahitaji ya sasa. Punguzeni watu wenye akili ndogo kwenye chama chenu maana wengi wenu ni empty set, mpo kutafuta fursa tu za uteuzi.

2. Ibebeni ajenda ya katiba mpya vinginevyo huwenda mambo yakawageukia mbeleni. Yule bwana mpaka kuamua kuiba uchaguzi wa 2020 aliona mbele kiza sio bure bure tu. Msaidieni Mama na vile sio MUONGO atapata tabu sana 2025.

3. RUDISHENI CHAMA MIKONONI MWA WAKULIMA NA WAFANYAKAZI.

Inakera mno kuwasikiliza wanaccm wallah.
 
Kumekuwa na kusigishana baina ya viongozi na wananchi kwa sababu ya tofauti za kimitizamo.

Hii imeshuhudia kwenye maeneo mengi. Tokea mto Mara, Katiba Mpya, wamasai Ngorongoro, dhuluma za polisi, nk.

Tofauti ni jambo la kheri ila ikumbukwe mwananchi ndiye anapaswa kutamalaki.

Viongozi kumbukeni ninyi ni watumishi wetu wala si watawala.

View attachment 2164384


Tunakoelekea kwa mwendo huu na nyomi hizi zonazidi kuchoshwa na janja janja, ghadhabu inazidi kupanda.

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Tendeni wema mwende zenu, historia itakuwepo kuwasemea.
Diwani wa mchongo kajilipua
 
tusichanganye matakwa ya wananchi na matakwa ya Chadema..
 
tusichanganye matakwa ya wananchi na matakwa ya Chadema..

Tusichanganye matakwa ya CCM na matakwa ya wananchi.

Haki zote za wananchi ni matakwa ya wananchi.

Kupaza sauti dhidi ya yote yasiyo haki ni haki ya wananchi kwa mujibu wa katiba.
 
Tusichanganye matakwa ya CCM na matakwa ya wananchi.

Haki zote za wananchi ni matakwa ya wananchi.

Kupaza sauti dhidi ya yote yasiyo haki ni haki ya wananchi kwa mujibu wa katiba.

shida ni chadema inapotaka matakwa yao yawe ndio matakwa ya wananchi. CCM ndio chama dola kwa maana kipo madarakani kutekeleza ilani ambayo wananchi wameipigia kura..

Ni vyema Chadema matakwa yao wakayaweka kwenye ilani ya chama halafu waje kwa wananchi kipindi cha uchaguzi..
 
shida ni chadema inapotaka matakwa yao yawe ndio matakwa ya wananchi. CCM ndio chama dola kwa maana kipo madarakani kutekeleza ilani ambayo wananchi wameipigia kura..

Ni vyema Chadema matakwa yao wakayaweka kwenye ilani ya chama halafu waje kwa wananchi kipindi cha uchaguzi..

Shida ni CCM kutaka kuendelea kuwa madarakani kwa mujibu wa katiba waliyoiasisi wao 1977.

Hayupo mwenye kuridhia Katiba Mpya kwenye Mitano yake ya Mwanzo

Tatizo ni hapo tu. Kwa misimamo kama yenu, huenda namna ya kutoka hapo ikawa hamna bila matumizi ya nguvu.

Kama ilivyo hapo wamasai wako kwenye kutoa demo.
 
Wananchi wepi hasira zao zinapanda?. Hawa hawa waTz maboya hawa?. Labda ingekuwa Kenya.

Nawaamini sana Kenya,kitu fulani kama hakijakaa sawa wanaanzia mtandaoni na hashtag. Hiyo inaenea nchi nzima wanapeleka ujumbe.

Kidogo ni kama tumeanza kuinuka kimawazo kwenye swala la Mbowe. Ile hashtag ya MBOWE SIO GAIDI,iliwashtua hata watawala waliopanga huo mchongo. Angalau hilo tulijaribu
 
Wananchi wepi hasira zao zinapanda?. Hawa hawa waTz maboya hawa?. Labda ingekuwa Kenya.

Nawaamini sana Kenya,kitu fulani kama hakijakaa sawa wanaanzia mtandaoni na hashtag. Hiyo inaenea nchi nzima wanapeleka ujumbe.

Kidogo ni kama tumeanza kuinuka kimawazo kwenye swala la Mbowe. Ile hashtag ya MBOWE SIO GAIDI,iliwashtua hata watawala waliopanga huo mchongo. Angalau hilo tulijaribu

Kwani wewe siyo sehemu ya wananchi hawa ndugu?
 
Kwani wewe siyo sehemu ya wananchi hawa ndugu?
Ni sawa ni sehemu ya wananchi. Lakini unaweza ukaanzisha jambo humu linalohusu kutetea maslahi ya wananchi,uzi usipofutwa,unaweza ukabaki peke yako,huungwi mkono. Ndio maana nakuambia mwamko wa kwetu bado sana.

Ngoja tuendelee kupigwa pin hivi hivi. Mpaka akili zitukae sawa. Mawaziri waendelee kuzungukana wao kwa wao. Anaachishwa leo uwaziri, kesho anarudishwa yule yule,kama vile hakuna wengine wasomi
 
Ni sawa ni sehemu ya wananchi. Lakini unaweza ukaanzisha jambo humu linalohusu kutetea maslahi ya wananchi,uzi usipofutwa,unaweza ukabaki peke yako,huungwi mkono. Ndio maana nakuambia mwamko wa kwetu bado sana.

Ngoja tuendelee kupigwa pin hivi hivi. Mpaka akili zitukae sawa. Mawaziri waendelee kuzungukana wao kwa wao. Anaachishwa leo uwaziri, kesho anarudishwa yule yule,kama vile hakuna wengine wasomi

Naomba kukupa moyo. Mwananchi shupavu inaanza na wewe, mimi na yule.

Hatuwezi kuwasubiria wote.
 
Tusichanganye matakwa ya CCM na matakwa ya wananchi.

Haki zote za wananchi ni matakwa ya wananchi.

Kupaza sauti dhidi ya yote yasiyo haki ni haki ya wananchi kwa mujibu wa katiba.
Kwani huko CCM hakuna wananchi?

Hii habari ya kuegemea wananchi inakera sana.
 
Kwani huko CCM hakuna wananchi?

Hii habari ya kuegemea wananchi inakera sana.

Kwani Chadema hakuna wananchi?

Umefahamu phrase hii hata ilikotoka au kurukia tu? Habari za kurukia za kurukia mambo zinakera sana.

IMG_20220327_165010_109.jpg
 
Back
Top Bottom