Una umri gani?Juma mgunda Yuko wapi
Mzigo aliobeba mwenzio huujui uzito wakekwa vile wewe siye uliyebeba. Maadamu mzigo umefika utasema hata wewe waweza kuubeba.Mtoa mada njia mliopitia kuingia kwenye hatua ya makundi haikuwa ngumu mzee
Hiyo ni slogani ya kuhamasisha, ya kuleta chachu ya ushindi.Kwa Mkapa atoki mtu, Guvu moya 😄😄😄😄😄😄😄😄
Nakuunga mkono.Issue ni kocha anaweza kutengeneza mfumo..
Tafuteni kocha fund na mzoefu wa soka africa ..ili mdumu naye...yaani kuona tu viper mmekurupuka
Hao wengine sawa ila kanoute ni top quality playerQuality imeamua mchezo.
Mule hakuna
Lwanga
Kagere.
Mugalu
Miquesson
Dilunga.
Morison.
Bwalya.
Wameleta mizigo ya akina.
Banda, okra, sawadogo, kanute, onyango nk
AIBU YAO
Banda kila siku anaumia mazoezini[emoji16]Quality imeamua mchezo.
Mule hakuna
Lwanga
Kagere.
Mugalu
Miquesson
Dilunga.
Morison.
Bwalya.
Wameleta mizigo ya akina.
Banda, okra, sawadogo, kanute, onyango nk
AIBU YAO
Fanya hip-hop Mzee, uko vizuri.....Nakuunga mkono.
Sikuelewa kwa nini walikurupuka kuleta kocha mpya katika wakati usio sahihi.
Ona, alivokuja tu akaanza na ku frustrate wachezaji. Ati huyu hafai kwenye mfumo wangu. Bla bla nyiiingi. Waona mbali tuligundua mapema, baada ya kusikia majigambo mengi.
Kanoute siyo top quality player, hata kwenye average hayumo ni mchezaji wa kawaida mno hasa kwa mpira wa kisasa..kitu anachokiweza Kwa asilimia Mia ni kucheza fouls tuHao wengine sawa ila kanoute ni top quality player
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app