Ungekuwa na akili ungejua kuwa makocha wa kizungu wanahitaji miaka hadi miwili ili kujenga falsafa yao wafanikiwe na kwa hiyo usingetarajia matokeo kabisa.Kocha hana tatizo lolote lile.
Mgunda ndo angefukuzwa mapema sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungekuwa na akili ungejua kuwa makocha wa kizungu wanahitaji miaka hadi miwili ili kujenga falsafa yao wafanikiwe na kwa hiyo usingetarajia matokeo kabisa.Kocha hana tatizo lolote lile.
Mgunda ndo angefukuzwa mapema sana.
Sawa mamaUngekuwa na akili ungejua kuwa makocha wa kizungu wanahitaji miaka hadi miwili ili kujenga falsafa yao wafanikiwe na kwa hiyo usingetarajia matokeo kabisa.
Vipers anakugongaNgoja kesho uone, shida ya timu zetu ni maneno mengi Tu, Sisi size yetu ni hao vipers
Mgunda ndio takataka gani?Viongozi wa Simba kiburi chenu cha kutosikiliza ushauri, hii aibu inawahusu.
Watu wengi walishauri kuwa haikuwa wakati sahihi wa kumleta kocha mpya katika dirisha dogo wakati aliyekuwapo alikuwa anafanya vizuri. Au kwa vile Mgunda amekuwa mzawa ndiyo mukamdharau.
Mechi zote za kimataifa alifanya vizuri nje ndani. Sasa mlitaka nini? KIBURI SI MAUNGWANA.
Mgunda ndio takataka gani? Simba ni mbovu tuViongozi wa Simba kiburi chenu cha kutosikiliza ushauri, hii aibu inawahusu.
Watu wengi walishauri kuwa haikuwa wakati sahihi wa kumleta kocha mpya katika dirisha dogo wakati aliyekuwapo alikuwa anafanya vizuri. Au kwa vile Mgunda amekuwa mzawa ndiyo mukamdharau.
Mechi zote za kimataifa alifanya vizuri nje ndani. Sasa mlitaka nini? KIBURI SI MAUNGWANA.
Kwahyo kuwepo Kwa pengo lake ndo kunafanya yeye awe Bora?? Hata kama Kanoute angekuwepo isingebadili chochote pengine ndo angepata redcard kabisa, Wale jamaa wanaujua mpira hawana longolongo..Hujui mpira ww leo hujaona pengo la kanoute pale kati
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Umesema kweli mkuu ukiangalia Al ahly alivyopigwa na Madrid ilikuwa levelKaka Raja wazuri sio level zetu, hata kesho yanga anapigwa nyingi Tu, level my brother level
Mniite mbwa niko paleNa asipopigwa?
Vipers anawagongaga utopolo tuVipers anakugonga
We shabiki maandazi hata ulaya team inaweza kufungwa na kocha akataja moja ya sababu za kufungwa ni mchezaji fulani kukosekana kwenye team yake inamaana hao wachezaji wengine hawajui kucheza au kila team ina mfumo wake na team inatengenezwa kupitia mchezaji fulani.Kwahyo kuwepo Kwa pengo lake ndo kunafanya yeye awe Bora?? Hata kama Kanoute angekuwepo isingebadili chochote pengine ndo angepata redcard kabisa, Wale jamaa wanaujua mpira hawana longolongo..
Na asipopigwa?
Ha haha haaaaaaa haaaaaaaaaaaKwa Mkapa hatoki mtu, Guvu moya 😄😄😄😄😄😄😄😄
Naona saivi akili ishakaa sawa siku nyingine tukiwa tunabishana utakua unaujua ukweli maana juzi hapa ulikua unabisha unajimaliza kabisaMnaofikiri Mgunda angetoboa jana hamjui mpira! Jana tumeoneshwa quality za wachezaji wa kufika nusu fainali sio maneno.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Narudia tena Kwa sauti kubwa Kanoute ni mchezaji wa kawaida tu tena Sana, na game ya Jana hata angekuwepo asingeongeza chochote, na Simba haijajengwa kupitia Kanoute usitudanganye..No Chama No Simba hao kina Kanoute ni tia maji tia maji tuWe shabiki maandazi hata ulaya team inaweza kufungwa na kocha akataja moja ya sababu za kufungwa ni mchezaji fulani kukosekana kwenye team yake inamaana hao wachezaji wengine hawajui kucheza au kila team ina mfumo wake na team inatengenezwa kupitia mchezaji fulani.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
We mbwa umeshaanza kubweka?Mniite mbwa niko pale