Viongozi wa Afrika ambao bado wanaishi hata baada ya kufa

Viongozi wa Afrika ambao bado wanaishi hata baada ya kufa

Alaf Israel sio Taifa teule right now , Wana vinasaba Tu vya mibaraka waliyoipata babu zao , Ila mbele ya Mungu hawana potentiality yyte kuzidi mataifa mengine!

Ni kuzidiana uwezo Tu ambao ipo kat ya binadamu na binadamu lakni sio kusema mmoja Mungu anamjali kuliko mwingine
 
Alaf Israel sio Taifa teule right now , Wana vinasaba Tu vya mibaraka waliyoipata babu zao , Ila mbele ya Mungu hawana potentiality yyte kuzidi mataifa mengine .....!! Ni kuzidiana uwezo Tu ambao ipo kat ya binadamu na binadamu lakni sio kusema mmoja Mungu anamjali kuliko mwingine
wafia din watakushambulia maana hawapendi ukweli[emoji41][emoji41]
 
wanaishi kwa njia gani? huyo Karume unauelwa lakini mkuu? watu hata kumsikia hawataki, Dikteta wa ovyo sana aliekua akitesa na kuuwa watu
 
Back
Top Bottom