Viongozi wa Afrika watakiwa kutoa ushahidi wa pesa za misaada

Viongozi wa Afrika watakiwa kutoa ushahidi wa pesa za misaada

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
"Viongozi wa Afrika wanahitaji kutupatia ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya katika zaidi ya dola bilioni 13 wanazopokea kutoka Marekani kila mwaka au warudishe fedha hizo." — Elon Musk

"Fedha zinatumika vibaya zaidi unapokuwa unatumia fedha za mtu mwingine kwa watu usiowajua. Utajali kiasi gani jinsi unavyotumia fedha wakati si zako? Hivi ndivyo Serikali yetu ya Shirikisho inavyotumia fedha zetu. Wanatumia fedha za mtu mwingine kwa watu wasiojua. Na tunapotaka kupitia jinsi fedha zote zimetumika, hatuoni chochote. Watu wanaopokea fedha wanataka kuendelea kupokea fedha na hawafanyi kile wanachopaswa kufanya nazo. Wanataka tu kuzitumia kujinufaisha wenyewe. Sababu ya mimi kuweka juhudi nyingi katika kusitisha USAID ni kwa sababu nafikiri ni hali mbaya sana. Si hiari na kama viongozi wa Afrika hawawezi kutoa ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya na mabilioni tunayowapa kila mwaka, basi hawazihitaji. Marekani inafilisika na hatuwezi kuruhusu hilo." — Elon Musk kiongozi wa Idara ya Ufanisi ya Serikali ya Marekani

Kulingana na ripoti, nchi za Afrika zinadaiwa kupokea zaidi ya dola bilioni 13 mwaka 2024 kwa ajili ya kujenga shule, hospitali nk

1741869175460.jpg
 
"Viongozi wa Afrika wanahitaji kutupatia ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya katika zaidi ya dola bilioni 13 wanazopokea kutoka Marekani kila mwaka au warudishe fedha hizo." — Elon Musk

"Fedha zinatumika vibaya zaidi unapokuwa unatumia fedha za mtu mwingine kwa watu usiowajua. Utajali kiasi gani jinsi unavyotumia fedha wakati si zako? Hivi ndivyo Serikali yetu ya Shirikisho inavyotumia fedha zetu. Wanatumia fedha za mtu mwingine kwa watu wasiojua. Na tunapotaka kupitia jinsi fedha zote zimetumika, hatuoni chochote. Watu wanaopokea fedha wanataka kuendelea kupokea fedha na hawafanyi kile wanachopaswa kufanya nazo. Wanataka tu kuzitumia kujinufaisha wenyewe. Sababu ya mimi kuweka juhudi nyingi katika kusitisha USAID ni kwa sababu nafikiri ni hali mbaya sana. Si hiari na kama viongozi wa Afrika hawawezi kutoa ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya na mabilioni tunayowapa kila mwaka, basi hawazihitaji. Marekani inafilisika na hatuwezi kuruhusu hilo." — Elon Musk kiongozi wa Idara ya Ufanisi ya Serikali ya Marekani

Kulingana na ripoti, nchi za Afrika zinadaiwa kupokea zaidi ya dola bilioni 13 mwaka 2024 kwa ajili ya kujenga shule, hospitali nk

View attachment 3269171
si muhimu na wala sio Lazima kufanya hilo licha ya kua ushahidi upo wa kutosha tu.

hakuna alazimishwae kusaidia anae jiweza 🐒
 
Ngo zao ndo zimekuwa zinaliapa watu wao huko USA sasa nchi za kiafrica zinalipaje
 
"Viongozi wa Afrika wanahitaji kutupatia ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya katika zaidi ya dola bilioni 13 wanazopokea kutoka Marekani kila mwaka au warudishe fedha hizo." — Elon Musk

"Fedha zinatumika vibaya zaidi unapokuwa unatumia fedha za mtu mwingine kwa watu usiowajua. Utajali kiasi gani jinsi unavyotumia fedha wakati si zako? Hivi ndivyo Serikali yetu ya Shirikisho inavyotumia fedha zetu. Wanatumia fedha za mtu mwingine kwa watu wasiojua. Na tunapotaka kupitia jinsi fedha zote zimetumika, hatuoni chochote. Watu wanaopokea fedha wanataka kuendelea kupokea fedha na hawafanyi kile wanachopaswa kufanya nazo. Wanataka tu kuzitumia kujinufaisha wenyewe. Sababu ya mimi kuweka juhudi nyingi katika kusitisha USAID ni kwa sababu nafikiri ni hali mbaya sana. Si hiari na kama viongozi wa Afrika hawawezi kutoa ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya na mabilioni tunayowapa kila mwaka, basi hawazihitaji. Marekani inafilisika na hatuwezi kuruhusu hilo." — Elon Musk kiongozi wa Idara ya Ufanisi ya Serikali ya Marekani

Kulingana na ripoti, nchi za Afrika zinadaiwa kupokea zaidi ya dola bilioni 13 mwaka 2024 kwa ajili ya kujenga shule, hospitali nk

View attachment 3269171
Tunajuwa hawatasema wametumia kununulia kura, kujitarisha, kufanya kampeni......
 
Hela za misaada wanatapanya kununua na ku service ma Land Cruiser ya serikali na kuyajaza mafuta. Wanajilipa mpaka vocha za simu.

Imagine Tanzania kuna radiology machine moja tu ya 5.0 Tesla.

Watu wanatoka Songea kwenda Muhimbili kuifuata.

Hivi hiyo mashine ni dola ngapi ? Umekuwa mtambo wa nuclear ? Kwamba hatuwezi ku afford mashine 10 kila mkoa ???

Na haya ma Land Cruiser wanayo mangapi ?

Viongozi wa Africa ni heartless, stone cold murderers.
 
"Viongozi wa Afrika wanahitaji kutupatia ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya katika zaidi ya dola bilioni 13 wanazopokea kutoka Marekani kila mwaka au warudishe fedha hizo." — Elon Musk

"Fedha zinatumika vibaya zaidi unapokuwa unatumia fedha za mtu mwingine kwa watu usiowajua. Utajali kiasi gani jinsi unavyotumia fedha wakati si zako? Hivi ndivyo Serikali yetu ya Shirikisho inavyotumia fedha zetu. Wanatumia fedha za mtu mwingine kwa watu wasiojua. Na tunapotaka kupitia jinsi fedha zote zimetumika, hatuoni chochote. Watu wanaopokea fedha wanataka kuendelea kupokea fedha na hawafanyi kile wanachopaswa kufanya nazo. Wanataka tu kuzitumia kujinufaisha wenyewe. Sababu ya mimi kuweka juhudi nyingi katika kusitisha USAID ni kwa sababu nafikiri ni hali mbaya sana. Si hiari na kama viongozi wa Afrika hawawezi kutoa ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya na mabilioni tunayowapa kila mwaka, basi hawazihitaji. Marekani inafilisika na hatuwezi kuruhusu hilo." — Elon Musk kiongozi wa Idara ya Ufanisi ya Serikali ya Marekani

Kulingana na ripoti, nchi za Afrika zinadaiwa kupokea zaidi ya dola bilioni 13 mwaka 2024 kwa ajili ya kujenga shule, hospitali nk

View attachment 3269171
Samia na serikali yake ya ccm njooni Jf. Kuna hoja muhimu insyohitaji majibu
 
Amegusa mulemule, viongozi wa Afrika wamekuwa wakiishi kama wapo peponi huku wananchi wakiishi katika umaskini wa kutupwa.
Hakuna huduma muhimu kabisa katika jamii kila siku mambo ni yale yale , ngonjera tu.

lkn usisahau kama kwa mfano tanzagiza wakiambiwa warudishe fedha unafikiri watazitoa wapi hizo fedha za kurudisha, mifukoni mwao? la hasha, watachukuwa kodi za masikini kurudishia siajabu na tozo nyingine juu, pure evil …
 
"Viongozi wa Afrika wanahitaji kutupatia ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya katika zaidi ya dola bilioni 13 wanazopokea kutoka Marekani kila mwaka au warudishe fedha hizo." — Elon Musk

"Fedha zinatumika vibaya zaidi unapokuwa unatumia fedha za mtu mwingine kwa watu usiowajua. Utajali kiasi gani jinsi unavyotumia fedha wakati si zako? Hivi ndivyo Serikali yetu ya Shirikisho inavyotumia fedha zetu. Wanatumia fedha za mtu mwingine kwa watu wasiojua. Na tunapotaka kupitia jinsi fedha zote zimetumika, hatuoni chochote. Watu wanaopokea fedha wanataka kuendelea kupokea fedha na hawafanyi kile wanachopaswa kufanya nazo. Wanataka tu kuzitumia kujinufaisha wenyewe. Sababu ya mimi kuweka juhudi nyingi katika kusitisha USAID ni kwa sababu nafikiri ni hali mbaya sana. Si hiari na kama viongozi wa Afrika hawawezi kutoa ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya na mabilioni tunayowapa kila mwaka, basi hawazihitaji. Marekani inafilisika na hatuwezi kuruhusu hilo." — Elon Musk kiongozi wa Idara ya Ufanisi ya Serikali ya Marekani

Kulingana na ripoti, nchi za Afrika zinadaiwa kupokea zaidi ya dola bilioni 13 mwaka 2024 kwa ajili ya kujenga shule, hospitali nk

View attachment 3269171
ngoja data zianze kupikwa sasa
 
"Viongozi wa Afrika wanahitaji kutupatia ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya katika zaidi ya dola bilioni 13 wanazopokea kutoka Marekani kila mwaka au warudishe fedha hizo." — Elon Musk

"Fedha zinatumika vibaya zaidi unapokuwa unatumia fedha za mtu mwingine kwa watu usiowajua. Utajali kiasi gani jinsi unavyotumia fedha wakati si zako? Hivi ndivyo Serikali yetu ya Shirikisho inavyotumia fedha zetu. Wanatumia fedha za mtu mwingine kwa watu wasiojua. Na tunapotaka kupitia jinsi fedha zote zimetumika, hatuoni chochote. Watu wanaopokea fedha wanataka kuendelea kupokea fedha na hawafanyi kile wanachopaswa kufanya nazo. Wanataka tu kuzitumia kujinufaisha wenyewe. Sababu ya mimi kuweka juhudi nyingi katika kusitisha USAID ni kwa sababu nafikiri ni hali mbaya sana. Si hiari na kama viongozi wa Afrika hawawezi kutoa ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya na mabilioni tunayowapa kila mwaka, basi hawazihitaji. Marekani inafilisika na hatuwezi kuruhusu hilo." — Elon Musk kiongozi wa Idara ya Ufanisi ya Serikali ya Marekani

Kulingana na ripoti, nchi za Afrika zinadaiwa kupokea zaidi ya dola bilioni 13 mwaka 2024 kwa ajili ya kujenga shule, hospitali nk

View attachment 3269171
Hii imekaa poa sana
 
"Viongozi wa Afrika wanahitaji kutupatia ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya katika zaidi ya dola bilioni 13 wanazopokea kutoka Marekani kila mwaka au warudishe fedha hizo." — Elon Musk

"Fedha zinatumika vibaya zaidi unapokuwa unatumia fedha za mtu mwingine kwa watu usiowajua. Utajali kiasi gani jinsi unavyotumia fedha wakati si zako? Hivi ndivyo Serikali yetu ya Shirikisho inavyotumia fedha zetu. Wanatumia fedha za mtu mwingine kwa watu wasiojua. Na tunapotaka kupitia jinsi fedha zote zimetumika, hatuoni chochote. Watu wanaopokea fedha wanataka kuendelea kupokea fedha na hawafanyi kile wanachopaswa kufanya nazo. Wanataka tu kuzitumia kujinufaisha wenyewe. Sababu ya mimi kuweka juhudi nyingi katika kusitisha USAID ni kwa sababu nafikiri ni hali mbaya sana. Si hiari na kama viongozi wa Afrika hawawezi kutoa ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya na mabilioni tunayowapa kila mwaka, basi hawazihitaji. Marekani inafilisika na hatuwezi kuruhusu hilo." — Elon Musk kiongozi wa Idara ya Ufanisi ya Serikali ya Marekani

Kulingana na ripoti, nchi za Afrika zinadaiwa kupokea zaidi ya dola bilioni 13 mwaka 2024 kwa ajili ya kujenga shule, hospitali nk

View attachment 3269171
Naunga mikono hoja.
 
Back
Top Bottom