Viongozi wa Afrika watakiwa kutoa ushahidi wa pesa za misaada

Viongozi wa Afrika watakiwa kutoa ushahidi wa pesa za misaada

Aione Tlaatlaah na mwenzake Lucas Mwashambwa watetezi wa uovu na uhalifu...
Aione Tlaatlaah na mwenzake Lucas Mwashambwa watetezi wa uovu na uhalifu...
mtoa maelezo kwenye comment anapotosha wadau kwa kueleza matango pori tupu,

hiyo ikimaanisha hana taarifa sahihi na kamili dhidi ya anachojaribu kupotosha. Athari za siasa za chuki zinamtesa na kumfanya kuona uongo na uptoshaji ndio uhodari,

Tz ina vifaa tiba hivyo vya kutosha karibu katika kila hospitali za rufaa nchini.🐒
 
Wamarekani walisifiwa sana kwa kutoa misaada tangu zama za miaka ya sitini kuja kwa uponi mpaka misaada ya miradi ya afya kama malaria, ukoma kifua kikuu na UKIMWI. Sasa wameshituka misaada yao haitumiki vema. Sali la kuuliza, utampangiaje mtu namna ya kutumia msaada uliompa?
Hivi kumbe huwa wanapewa tu bila utaratibu!! Mimi nilijua kwamba wanapoenda kuomba hiyo misaada wanaainisha kuwa ni Kwa ajili ya matumizi fulani mahususi. Ila wanapopewa hawaendi kutekeleza Yale mambo waliyoombea msaada. Badala yake wanafanya kinyume kabisa. Ndo maana wenye mpunga wao wamechungulia wakaona isiwe tabu. Nilifikiri hivyo eti!!! Kumbe nilikuwa nimeenda chaka!!
 
Wamarekani walisifiwa sana kwa kutoa misaada tangu zama za miaka ya sitini kuja kwa uponi mpaka misaada ya miradi ya afya kama malaria, ukoma kifua kikuu na UKIMWI. Sasa wameshituka misaada yao haitumiki vema. Sali la kuuliza, utampangiaje mtu namna ya kutumia msaada uliompa?
Ni wazi hujui uwazalo na ukawa hujui usemalo/uandikalo...

Pesa hizo sio ZAWADI ambayo unaweza kutumia upendavyo wewe mpokeaji...

Fedha za misaada hutolewa kwa masharti ya kutumika katika maeneo maalumu kwa mapatano ya mtoa msaada wa fedha hizo na mpokeaji (serikali za ki - Afrika ikiwemo Tanzania...)

Kutumia pesa hizo kinyume cha utaratibu na mapatano, ni kuvunja mkataba wa msaada na ni kukosa uadilifu na hivyo kufanya usiaminike kabisa...!

Serikali ya USA iko sahihi na wana haki kujua kwa uhakika misaada yao wanayoitoa huwafikia walengwa au pesa hizo huliwa na wanasiasa wa serikali za nchi husika...
 
mtoa maelezo kwenye comment anapotosha wadau kwa kueleza matango pori tupu,

hiyo ikimaanisha hana taarifa sahihi na kamili dhidi ya anachojaribu kupotosha. Athari za siasa za chuki zinamtesa na kumfanya kuona uongo na uptoshaji ndio uhodari,

Tz ina vifaa tiba hivyo vya kutosha karibu katika kila hospitali za rufaa nchini.🐒
Unapiga siasa tu wewe...

Na unaandika kutoa taarifa ya uwepo wa vifaa tiba vya kutosha kwenye hospitali zetu kana kwamba sisi unaotupa taarifa hii tunaishi sayari ya Mars, na kwamba hatuzijui wala kwenda kutibiwa kwenye hizo hospitali...

Na kana kwamba hatuzijui shule zetu na mapungufu yake makubwa na kumbe pesa za USAID zimeletwa kwa mabilioni...

Muonage aibu basi wakati fulani kudanganya...
 
CAG wa marekani aje afanye ukaguzi nchi inaelekea shimoni hii mpaka na Samia naye kawa Rais.
 
Unapiga siasa tu wewe...

Na unaandika kutoa taarifa ya uwepo wa vifaa tiba vya kutosha kwenye hospitali zetu kana kwamba sisi unaotupa taarifa hii tunaishi sayari ya Mars, na kwamba hatuzijui wala kwenda kutibiwa kwenye hizo hospitali...

Na kana kwamba hatuzijui shule zetu na mapungufu yake makubwa na kumbe pesa za USAID zimeletwa kwa mabilioni...

Muonage aibu basi wakati fulani kudanganya...
Gentleman,
ni uposhaji kusema ati kuna kifaa kimoja tu nchi nzima, hali ya kua vifaa hivyo vipo miongoni mwa hospitali mballimbali humu nchini, ni upotoshaji wa kiwango cha ukibaka na utapeli,

hata hivyo,
kama taifa tunazaliana na tuna ongezeka siku hadi siku na mahitaji pia yanaongeka.

Serikali sikivu ya CCM inafanya juhudi za kila namna, na wala haitachoka kuwatumikia waTanzania kulingana na mahitaji yao ya msingi ya kijamii, kiuchumi na kisiasa kulingana na upatikanaji wa fedha.

mihemko, ghadhabu, makasiriko na upotoshaji wa watafuta kiki kwa uzushi havitafua dafu kwenye suala la serikali sikivu ya CCM kuwatumikia na kuwaletea wanainchi na waTanzania wote maendeleo endelevu.

Ni muhimu sana kurelax 🐒
 
mtoa maelezo kwenye comment anapotosha wadau kwa kueleza matango pori tupu,

hiyo ikimaanisha hana taarifa sahihi na kamili dhidi ya anachojaribu kupotosha. Athari za siasa za chuki zinamtesa na kumfanya kuona uongo na uptoshaji ndio uhodari,

Tz ina vifaa tiba hivyo vya kutosha karibu katika kila hospitali za rufaa nchini.🐒
Kilaza kwenye ubora wako ulipobobea
 
Kwa point gani ulizonazo ww kilaza njaa kali
basi mueleze huyo mmatumbi wa hapo kwa madiba kwamba Tz hatubabaiki na mikwara yake, tunalo jukumu muhimu sana la kuwatumikia wanainchi wa Tanzania kwa bidii na uaminifu wa kiwango cha juu sana 🐒
 
Pili na wao waache kusgunikiza nchi za kiafrica kuchukua madini kwa vei ya bwereree kutikana na influence za uasid
Uzuri mmoja wa hi hoja yako, ni kwamba hayo madini hawaibi, viongozi wetu wanawekaga sahihi wenyewe na Kingereza wanajua so hawalaumiki wa Marekani
 
Gentleman,
ni uposhaji kusema ati kuna kifaa kimoja tu nchi nzima, hali ya kua vifaa hivyo vipo miongoni mwa hospitali mballimbali humu nchini, ni upotoshaji wa kiwango cha ukibaka na utapeli,

hata hivyo,
kama taifa tunazaliana na tuna ongezeka siku hadi siku na mahitaji pia yanaongeka.

Serikali sikivu ya CCM inafanya juhudi za kila namna, na wala haitachoka kuwatumikia waTanzania kulingana na mahitaji yao ya msingi ya kijamii, kiuchumi na kisiasa kulingana na upatikanaji wa fedha.

mihemko, ghadhabu, makasiriko na upotoshaji wa watafuta kiki kwa uzushi havitafua dafu kwenye suala la serikali sikivu ya CCM kuwatumikia na kuwaletea wanainchi na waTanzania wote maendeleo endelevu.

Ni muhimu sana kurelax 🐒
Tunazaliana na kuongezeka, YES, I AGREE....

Je, ina maana akili za wenye dhamana na mamlaka ya kupanga mipango ya muda mfupi, kati na muda mrefu wao akili zao zinakuwa zimelala tu, hazizaliani na kuongezeka, au siyo...?

Huwa hamfanyi projection ya ongezeko la watu kwa muda fulani ili ongezeko hilo liende sambamba upanuaji wa upatikanaji wa huduma za kijamii na za kiuchumi kwa watu...?

Huu wako wote ni utetezi wa kiongozi mjinga asiye na ufahamu ambaye elimu aliyoipata shuleni haitumii ipasavyo....!!

So, you CCM better shut your mouth and get ready to receive your political letter of a summary dismissal from your positions...
 
Back
Top Bottom