900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
Tapikeni madola ya watusi muhimu na wala sio Lazima kufanya hilo licha ya kua ushahidi upo wa kutosha tu.
hakuna alazimishwae kusaidia anae jiweza 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tapikeni madola ya watusi muhimu na wala sio Lazima kufanya hilo licha ya kua ushahidi upo wa kutosha tu.
hakuna alazimishwae kusaidia anae jiweza 🐒
namwona madelu akiwa bize na kalculetangoja data zianze kupikwa sasa
Waje tu maana tunaona fedha zinazotajwa ni nyingi lakini hatuoni cha maana ila tunaona "wakubwa" wakiogelea ktk utajiri wa kutisha kuliko hata wafanyabiashara maarufu nchini!Viongozi wa Afrika wanahitaji kutupatia ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya katika zaidi ya dola bilioni 13 wanazopokea kutoka Marekani kila mwaka au warudishe fedha hizo." — Elon Musk
hayupo wa kubabaika na porojo za mmatumbi Elon gentleman 🐒Tapikeni madola ya watu
Kuna wale vijana wa Elon wana uwezo wa kudukua vi systeam vyenu hivi wakawabuangoja data zianze kupikwa sasa
Unampangia pale unapokuwa umempa misaada ya kujikwamua, umepewa pesa kwa ajili ya kupambana na malaria unatumiaje misaada hiyo kununua mabasi ya CCM.Wamarekani walisifiwa sana kwa kutoa misaada tangu zama za miaka ya sitini kuja kwa uponi mpaka misaada ya miradi ya afya kama malaria, ukoma kifua kikuu na UKIMWI. Sasa wameshituka misaada yao haitumiki vema. Sali la kuuliza, utampangiaje mtu namna ya kutumia msaada uliompa?
umenipa msaada usitake kujua nautumiajeUnampangia pale unapokuwa umempa misaada ya kujikwamua, umepewa pesa kwa ajili ya kupambana na malaria unatumiaje misaada hiyo kununua mabasi ya CCM.View attachment 3269870
Kwani tuliwalazimisha watupatie huo msaada na kuna kipengele katika mkataba kinasema tunaweza kydaiwa kurudisha hiyo pesa?"Viongozi wa Afrika wanahitaji kutupatia ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya katika zaidi ya dola bilioni 13 wanazopokea kutoka Marekani kila mwaka au warudishe fedha hizo." — Elon Musk
"Fedha zinatumika vibaya zaidi unapokuwa unatumia fedha za mtu mwingine kwa watu usiowajua. Utajali kiasi gani jinsi unavyotumia fedha wakati si zako? Hivi ndivyo Serikali yetu ya Shirikisho inavyotumia fedha zetu. Wanatumia fedha za mtu mwingine kwa watu wasiojua. Na tunapotaka kupitia jinsi fedha zote zimetumika, hatuoni chochote. Watu wanaopokea fedha wanataka kuendelea kupokea fedha na hawafanyi kile wanachopaswa kufanya nazo. Wanataka tu kuzitumia kujinufaisha wenyewe. Sababu ya mimi kuweka juhudi nyingi katika kusitisha USAID ni kwa sababu nafikiri ni hali mbaya sana. Si hiari na kama viongozi wa Afrika hawawezi kutoa ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya na mabilioni tunayowapa kila mwaka, basi hawazihitaji. Marekani inafilisika na hatuwezi kuruhusu hilo." — Elon Musk kiongozi wa Idara ya Ufanisi ya Serikali ya Marekani
Kulingana na ripoti, nchi za Afrika zinadaiwa kupokea zaidi ya dola bilioni 13 mwaka 2024 kwa ajili ya kujenga shule, hospitali nk
View attachment 3269171
c mama alikuwa anatembeza bakuli huko duniani kufungua nchiKwani tuliwalazimisha watupatie huo msaada na kuna kipengele katika mkataba kinasema tunaweza kydaiwa kurudisha hiyo pesa?
Tumejengea majumba na nyingine tumeweka huko kwenye akaunti za nje kwa ajili ya familia zetu.
Hiyo misaada wametoa tangu na tangu ndio maana USAID imekuwa hapa kwa miaka mingi.c mama alikuwa anatembeza bakuli huko duniani kufungua nchi
si muhimu na wala sio Lazima kufanya hilo licha ya kua ushahidi upo wa kutosha tu.
hakuna alazimishwae kusaidia anae jiweza 🐒
Hiyo misaada wametoa tangu na tangu ndio maana USAID imekuwa hapa kwa miaka mingi.
Halafu hiyo misaada ukitazama vzuri hata haikuwa ya bure, ilikuwa inatunika kuinfluence agenda na ukubwa wao. Sasa kama hunipi chochote utanipaje masharti.
Ila pesa tulikuwa tukanunua na majumba nje
Mwamba apewe maua yake"Viongozi wa Afrika wanahitaji kutupatia ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya katika zaidi ya dola bilioni 13 wanazopokea kutoka Marekani kila mwaka au warudishe fedha hizo." — Elon Musk
"Fedha zinatumika vibaya zaidi unapokuwa unatumia fedha za mtu mwingine kwa watu usiowajua. Utajali kiasi gani jinsi unavyotumia fedha wakati si zako? Hivi ndivyo Serikali yetu ya Shirikisho inavyotumia fedha zetu. Wanatumia fedha za mtu mwingine kwa watu wasiojua. Na tunapotaka kupitia jinsi fedha zote zimetumika, hatuoni chochote. Watu wanaopokea fedha wanataka kuendelea kupokea fedha na hawafanyi kile wanachopaswa kufanya nazo. Wanataka tu kuzitumia kujinufaisha wenyewe. Sababu ya mimi kuweka juhudi nyingi katika kusitisha USAID ni kwa sababu nafikiri ni hali mbaya sana. Si hiari na kama viongozi wa Afrika hawawezi kutoa ushahidi wa kile wamekuwa wakifanya na mabilioni tunayowapa kila mwaka, basi hawazihitaji. Marekani inafilisika na hatuwezi kuruhusu hilo." — Elon Musk kiongozi wa Idara ya Ufanisi ya Serikali ya Marekani
Kulingana na ripoti, nchi za Afrika zinadaiwa kupokea zaidi ya dola bilioni 13 mwaka 2024 kwa ajili ya kujenga shule, hospitali nk
View attachment 3269171
Kama Taifa,Ni muhimu sana sababu ya kukosa uadilifu na uwajibikaji. Tunanunua magari mengi kwenye project husika. Magari ambayo tunaishia kugawana bila kuhakikisha project zinakamilika.
Kusema kweli USA wamefanya kitu sahihi. Mtegemea cha ndugu hufa maskini. Tuanze kuwajibika wenyewe kwa maendeleo yetu
Eeeh kama wanataka tuwape ripoti hatuwapi hata wasipoleta waache sisi tushajijengea majumba na nyingine tukaweka huko uswiss.Tunakataa sasa hivi sababu tumenyimwa. Mbona tulikuwa hatusemi lolote tulipokuwa tunapokea?
Tuanze kutumia tunachokusanya kufanya maendeleo yetu. Haya mambo ya misaada yana mwisho. Tulikataa ujamaa...kwanini tunakataa kujitegemea?